Posted on: January 27th, 2024
Halmashauri ya Mji Ifakara imeungana na Watanzania wengine kusherehekea Siku ya Kuzaliwa Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania January 27,2024.
Uongozi wa Halmashauri hiyo umesherehekea ...
Posted on: January 27th, 2024
Mbunge wa Jimbo la Kilombero Mhe.Abubakar Asenga, amekabidhi vifaa Tiba kwa Mkurugenzi wa Halmashauri ya Mji Ifakara bi.zahara Michuzi katika Siku ya kumbukizi ya Kuzaliwa Rais wa Jamhuri ya ...
Posted on: January 29th, 2024
Kaimu Mkurugenzi wa Halmashauri ya Mji Ifakara Mwl.Christopher Wangwe ameendesha kikao cha Baraza la Wafanyakazi kujadili na kufanya mapitio ya mapendekezo ya Bajeti kwa Mwaka wa Fedha 2024/2025.
...