• Mawasiliano Yetu |
    • Maswali ya mara kwa mara |
    • Barua pepe za Watumishi |
    • Malalamiko |
Ifakara Town Council
Ifakara Town Council

Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Ofisi ya Rais Tawala za Mikoa na Serikali za Mitaa Halmashauri ya Mji Ifakara

  • Mwanzo
  • Kuhusu Sisi
    • Wasifu wa Halmashauri
    • Dira na Dhamira
    • Maadili ya msingi
    • Mikakati
  • Utawala
    • Muundo wa Halmashauri
    • Idara
      • Ujenzi
      • Utawala na Rasilimali Watu
      • Fedha na Biashara
      • Mipango,Takwimu & Ufuatiliaji
      • Elimu Msingi
      • Elimu Sekondari
      • Afya
      • Usafi na Mazingira
      • Kilimo,Ushirika & Umwagiliaji
      • Mifugo na Uvuvi
      • Maji
      • Maendeleo ya Jamii
      • Ardhi na Maliasili
    • Vitengo
      • Manunuzi & Ugavi
      • Sheria
      • TEHAMA
      • Uchaguzi
      • Ufugaji Nyuki
      • Mkaguzi wa Ndani
  • Fursa za Uwekezaji
    • Maeneo ya Uwekezaji
  • Huduma
    • Ukodishaji wa Mitambo
    • Upimaji,Usanifu wa Viwanja,Majengo &Mashamba
  • Madiwani
    • Orodha ya waheshimiwa Madiwani
    • Kamati za kudumu
    • Ratiba za kudumu
    • Kata
      • Mbasa
      • Katindiuka
      • Mlabani
      • Lumemo
      • Kibaoni
      • Viwanja sitini
      • Ifakara
      • Michenga
      • Lipangalala
  • Miradi
    • Miradi inayoendelea
    • Miradi Iliyokamilika
    • Itakayotekelezwa
  • Machapisho
    • CHF iliyoboreshwa
    • Miongozo
    • Ripoti
    • Kanuni
    • Mkataba wa Huduma kwa Mteja
  • Kituo cha Habari
    • Taarifa kwa Vyombo vya Habari
    • Hotuba
    • Maktaba ya Video
    • Maktaba ya Picha
  • Mifumo

Matarajio ya Mradi

MIPANGO YA BAADAYE ( KUONGEZA UANDIKISHAJI UFIKIE 81%)



1.Kuingiza katika bajeti za Halmashauri fedha ya kuwalipia kaya ambazo hazina uwezo kama vile Watoto Walio Katika Mazingira Hatarishi, Walemavu na Wazee wasiojiweza.



2.Kuwashawishi waheshimiwa Madiwani na viongozi wa Serikali za Vijiji/ Mitaa kuonyesha mfano kwa kujiunga na CHF, hata kama wanazo kadi za NHIF, basi wawalipie ndugu na jamaa zao ambao bado hawajajiandikisha na CHF Iliyoboreshwa.



3.Maafisa Watendaji wa Kata walete kwa Mkurugenzi taarifa za CHF za kila mwezi ili kuwapima mwenendo wao wa utekelezaji.



4.Kuendelea kufanya uhamasishaji ili wananchi wajiunge na CHF, kwa kutumia Radio ya Halmashauri Kilombero na Pambazuko na vilevile kumtumia Afisa Habari wa Halmashauri ya Mji wa Ifakara katika kuhamasisha.



5.Kwa kushirikiana na Mkuu wa Wilaya, Halmashauri ya Mji wa Ifakara, itapita katika Asasi za Serikali na zisizo za Serikali zifuatazo KPL, ILLOVO, TANAPA, BENKI zote, MITIKI n.k ili kuwashawishi wasaidie kulipia kaya zijiunge na CHF, hasa zile zisizojiweza kiuchumi.



6.Katika mgao wa Fedha za Mfuko wa Afya wa Pamoja ( BUSKET FUND) ambazo zimeletwa katika  robo ya tatu ( Jan-Machi 2017), Halmashauri ya Mji wa Ifakara imepata Tsh 80,000,000/= ili iweze kutekeleza shughuli zake ambazo zilipangwa katika mwaka wa fedha 2016/2017. Kwa kuona umuhimu wa kuwapatia wananchi huduma bora, imemuliwa kwamba fedha hizi zote zinaenda kununulia dawa, hivyo basi hizo shughuli zingine tofauti na dawa zitatekelezwa katika robo ya ijayo (ya 4).



Matangazo

  • KUITWA USAILI BVR TARAFA YA MANG'ULA February 07, 2025
  • KUITWA USAILI BVR TARAFA YA IFAKARA February 07, 2025
  • KUITWA USAILI BVR TARAFA YA KIDATU February 07, 2025
  • TANGAZO KWA WATUMISHI WOTE HALMASHAURI YA MJI IFAKARA November 01, 2022
  • Ona yote

Habari Mpya

  • WAKULIMA WA HALMASHAURI YA MJI IFAKARA WAHAKIKISHIWA KUENDELEA KUZALISHA MAZAO NA KUPATA FAIDA ZAIDI KUPITIA MFUMO WA STAKABADHI GHALANI

    June 11, 2025
  • VIZIMBA MAALUM VYA KUTUPA MAKOPO YA VIUWATILIFU VYATAKIWA KUJENGWA KATIKA KATA ZA HALMASHAURI YA MJI IFAKARA.

    June 05, 2025
  • KIKAO CHA MAANDALIZI YA MAONESHO YA NANENANE KANDA YA MASHARIKI 2025

    June 02, 2025
  • MKURUGENZI IFAKARA MJI AWAHIMIZA WANANCHI KUJITOKEZA KWA WINGI KUPATA HUDUMA ZA MATIBABU YA KIBINGWA.

    May 28, 2025
  • Ona yote

Video

Shangwe la Mkesha wa Mwenge 2025 Uwanja wa CCM Mkamba Kidatu Msanii wa Muziki MC Hamza akiimba na wanaIfakara, Tarehe 17-04-2025.
More Videos

Kurasa za Haraka

  • MATOKEO KIDATO CHA NNE 2024
  • MATOKEO YA KIDATO CHA SITA 2024
  • MATOKEO YA KIDATO CHA PILI 2024
  • Ramani ya halmashauri ya mji wa Ifakara
  • BOFYA HAPA KUOMBA KITAMBULISHO CHA WAJASILIAMALI WADOGO
  • CHF

Kurasa Mfanano

  • Tovuti kuu ya serikali
  • Wizara ya Tamisemi
  • Wizara ya utumishi wa uma
  • Tovuti ya mkoa wa Morogoro
  • Tovuti ya Ajira Tanzania

World visitors tracker

world map hits counter

Visitors Counter

free HitCounter

Location Map

Mawasiliano Yetu

    Kibaoni - Bomani

    Sanduku la Barua: 433 Ifakara

    Simu ya Mezani: +255 (0)23 - 2934212

    Simu ya Mkononi: -

    Barua Pepe: td@ifakaratc.go.tz / info@ifakaratc.go.tz

Other Contacts

   

    • Sera ya Uhifadhi
    • Kanusho
    • Ramani
    • Huduma

Haki Miliki @2018 Halmashauri ya Mji wa Ifakara . Haki zote zimehifadhiwa