• Mawasiliano Yetu |
    • Maswali ya mara kwa mara |
    • Barua pepe za Watumishi |
    • Malalamiko |
Ifakara Town Council
Ifakara Town Council

Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Ofisi ya Rais Tawala za Mikoa na Serikali za Mitaa Halmashauri ya Mji Ifakara

  • Mwanzo
  • Kuhusu Sisi
    • Wasifu wa Halmashauri
    • Dira na Dhamira
    • Maadili ya msingi
    • Mikakati
  • Utawala
    • Muundo wa Halmashauri
    • Idara
      • Ujenzi
      • Utawala na Rasilimali Watu
      • Fedha na Biashara
      • Mipango,Takwimu & Ufuatiliaji
      • Elimu Msingi
      • Elimu Sekondari
      • Afya
      • Usafi na Mazingira
      • Kilimo,Ushirika & Umwagiliaji
      • Mifugo na Uvuvi
      • Maji
      • Maendeleo ya Jamii
      • Ardhi na Maliasili
    • Vitengo
      • Manunuzi & Ugavi
      • Sheria
      • TEHAMA
      • Uchaguzi
      • Ufugaji Nyuki
      • Mkaguzi wa Ndani
  • Fursa za Uwekezaji
    • Maeneo ya Uwekezaji
  • Huduma
    • Ukodishaji wa Mitambo
    • Upimaji,Usanifu wa Viwanja,Majengo &Mashamba
  • Madiwani
    • Orodha ya waheshimiwa Madiwani
    • Kamati za kudumu
    • Ratiba za kudumu
    • Kata
      • Mbasa
      • Katindiuka
      • Mlabani
      • Lumemo
      • Kibaoni
      • Viwanja sitini
      • Ifakara
      • Michenga
      • Lipangalala
  • Miradi
    • Miradi inayoendelea
    • Miradi Iliyokamilika
    • Itakayotekelezwa
  • Machapisho
    • CHF iliyoboreshwa
    • Miongozo
    • Ripoti
    • Kanuni
    • Mkataba wa Huduma kwa Mteja
  • Kituo cha Habari
    • Taarifa kwa Vyombo vya Habari
    • Hotuba
    • Maktaba ya Video
    • Maktaba ya Picha
  • Mifumo

WAZEE WATAKIWA KUENDELEA KUDUMISHA AMANI NCHINI

Posted on: October 1st, 2025

WAZEE WATAKIWA KUENDELEA KUDUMISHA AMANI NCHINI 

Wazee wa Halmashauri ya Mji Ifakara wametakiwa kuendelea  kudumisha amani nchini haswa katika kipindi hiki cha kuelekea Uchaguzi Mkuu tarehe 29 Oktoba 2025 na kushiriki kutumia haki yao ya Msingi kwa  kupiga Kura .

Rai hiyo imetolewa tarehe 1 Oktoba 2025 na Mkuu wa Wilaya ya Kilombero Mhe. Wakili Dunstan Kyobya wakati alipokuwa Mgeni Rasmi kwenye Maadhimisho ya Siku ya Wazee Duniani yaliyofanyika katika Kijiji cha Kilama Kata ya Kibaoni, Halmashauri ya Mji Ifakara.

Aidha katika Maadhimisho hayo Mhe. Kyobya  alisisitiza Jamii kuendelea kuwathamini Wazee na kuhakikisha wanapata haki zao za Msingi ikiwemo  kupewa fursa ya kupata  Mikopo ya Asilimia 10 na WBN.

“Maafisa Maendeleo ya Jamii hakikisheni Wazee wanapata Mikopo, umri wa Kijana umeongezeka kutoka Miaka 35 hadi 40 na kwa upande wa wanawake na watu wenye ulemavu umri hauna mwisho ili mradi ukidhi masharti ya Mikopo hiyo”. Alieleza Mhe. Kyobya.

Awali Wazee hao katika Risala yao walieleza Changamoto mbalimbali zinazowakabili ikiwemo changamoto za Afya, Migogoro ya Ardhi, Saikolojia, Sheria n.k

Wakati huo huo Mkurugenzi wa Halmashauri ya Mji Ifakara Bi. Pilly Kitwana alisema kuwa Halmashauri imepokea changamoto za Wazee hao na kuahidi  kuzifanyia kazi kwa haraka,baadhi ikiwemo changamoto za Bima ya Afya, Dawa n.k . Aidha alieleza kuwa baadhi ya Changamoto zimeshaanza kutatuliwa ikiwemo utoaji wa Kadi za Bima za Afya za CHF kwa wazee 300 na Wajane 300.

Aidha,  takwimu zinaonesha Jumla ya Wazee Elfu 21, 468 wapo ndani ya Halmashauri ya Mji Ifakara kwa Kata zote 19 wakiwemo Wanaume 9611 na Wanawake 11857.

Kauli Mbiu katika Maadhimisho hayo kwa mwaka huu ilikuwa ni “Wazee Tushiriki Uchaguzi kwa Ustawi wa Jamii Yetu”.

Matangazo

  • TANGAZO LA MAOMBI YA MPIGA KURA KUPIGA KURA YA RAIS WA JAMHURI YA MUUNGANO WA TANZANIA KATIKA KITUO TOFAUTI NA KITUO ALICHOJIANDIKISHA September 18, 2025
  • Ona yote

Habari Mpya

  • WAZEE WATAKIWA KUENDELEA KUDUMISHA AMANI NCHINI

    October 01, 2025
  • WADAU WA KILIMO, MIFUGO NA UVUVI WATAKIWA KUWASAIDIA WANANCHI KUPATA MBEGU BORA

    September 26, 2025
  • WADAU MBALIMBALI WAHIMIZWA KUWEKEZA KATIKA UJENZI WA VIWANDA VYA KUCHAKATA TAKA ( RECYCLING) ILI KUONGEZEA THAMANI

    September 20, 2025
  • SHIRIKA LA FARM AFRICA KUPITIA MRADI WA KILIMO MASOKO(FARM TO MARKET ALLIANCE)LIMETOA MAFUNZO KWA MAAFISA UGANI NA WAKULIMA VIONGOZI JUU YA KANUNI BORA ZA KILIMO KWENYE ZAO LA MPUNGA

    September 22, 2025
  • Ona yote

Video

Shangwe la Mkesha wa Mwenge 2025 Uwanja wa CCM Mkamba Kidatu Msanii wa Muziki MC Hamza akiimba na wanaIfakara, Tarehe 17-04-2025.
More Videos

Kurasa za Haraka

  • MATOKEO KIDATO CHA NNE 2024
  • MATOKEO YA KIDATO CHA SITA 2024
  • MATOKEO YA KIDATO CHA PILI 2024
  • Ramani ya halmashauri ya mji wa Ifakara
  • BOFYA HAPA KUOMBA KITAMBULISHO CHA WAJASILIAMALI WADOGO
  • CHF

Kurasa Mfanano

  • Tovuti kuu ya serikali
  • Wizara ya Tamisemi
  • Wizara ya utumishi wa uma
  • Tovuti ya mkoa wa Morogoro
  • Tovuti ya Ajira Tanzania

World visitors tracker

world map hits counter

Visitors Counter

free HitCounter

Location Map

Mawasiliano Yetu

    Kibaoni - Bomani

    Sanduku la Barua: 433 Ifakara

    Simu ya Mezani: +255 (0)23 - 2934212

    Simu ya Mkononi: -

    Barua Pepe: td@ifakaratc.go.tz / info@ifakaratc.go.tz

Other Contacts

   

    • Sera ya Uhifadhi
    • Kanusho
    • Ramani
    • Huduma

Haki Miliki @2018 Halmashauri ya Mji wa Ifakara . Haki zote zimehifadhiwa