• Mawasiliano Yetu |
    • Maswali ya mara kwa mara |
    • Barua pepe za Watumishi |
    • Malalamiko |
Ifakara Town Council
Ifakara Town Council

Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Ofisi ya Rais Tawala za Mikoa na Serikali za Mitaa Halmashauri ya Mji Ifakara

  • Mwanzo
  • Kuhusu Sisi
    • Wasifu wa Halmashauri
    • Dira na Dhamira
    • Maadili ya msingi
    • Mikakati
  • Utawala
    • Muundo wa Halmashauri
    • Idara
      • Ujenzi
      • Utawala na Rasilimali Watu
      • Fedha na Biashara
      • Mipango,Takwimu & Ufuatiliaji
      • Elimu Msingi
      • Elimu Sekondari
      • Afya
      • Usafi na Mazingira
      • Kilimo,Ushirika & Umwagiliaji
      • Mifugo na Uvuvi
      • Maji
      • Maendeleo ya Jamii
      • Ardhi na Maliasili
    • Vitengo
      • Manunuzi & Ugavi
      • Sheria
      • TEHAMA
      • Uchaguzi
      • Ufugaji Nyuki
      • Mkaguzi wa Ndani
  • Fursa za Uwekezaji
    • Maeneo ya Uwekezaji
  • Huduma
    • Ukodishaji wa Mitambo
    • Upimaji,Usanifu wa Viwanja,Majengo &Mashamba
  • Madiwani
    • Orodha ya waheshimiwa Madiwani
    • Kamati za kudumu
    • Ratiba za kudumu
    • Kata
      • Mbasa
      • Katindiuka
      • Mlabani
      • Lumemo
      • Kibaoni
      • Viwanja sitini
      • Ifakara
      • Michenga
      • Lipangalala
  • Miradi
    • Miradi inayoendelea
    • Miradi Iliyokamilika
    • Itakayotekelezwa
  • Machapisho
    • CHF iliyoboreshwa
    • Miongozo
    • Ripoti
    • Kanuni
    • Mkataba wa Huduma kwa Mteja
  • Kituo cha Habari
    • Taarifa kwa Vyombo vya Habari
    • Hotuba
    • Maktaba ya Video
    • Maktaba ya Picha
  • Mifumo

Biteko awatoa hofu Watanzania kuhusu Umeme

Posted on: April 1st, 2024

Naibu Waziri Mkuu na Waziri wa Nishati,Mhe.Dkt Doto Biteko, amefanya Ziara katika Kituo cha kuzalisha umeme Kidatu Ifakara Wilayani Kilombero leo Aprili 1,2024.

Ziara hiyo ni kutokana na kukatika kwa Umeme Nchi nzima kutokana na kuzima kwa Gridi ya Taifa hali ambayo imesababishwa na hitilafu katika Mitambo ya umeme ikiwa chanzo chake ni Mvua Kubwa zinazoendelea.

Hata hivyo Dkt.Biteko amewataka Wananchi kutokuwa na wasiwasi wa kuendelea kwa hali hiyo kwani Matengenezo ya urekebishaji wa Mitambo yanaendelea."Hali hii ni hitilafu katika Mitambo ya umeme na TANESCO wanashughulikia kwa uharaka na umakini ili kuwaondolea adha Watanzania, niwahakikishie Watanzania wenzangu kuwa kwa sasa hakuna Mgao wa umeme" Amesema  Dkt.Biteko.

Sambamba na hayo Biteko amewataka Wataalam wa TANESCO kufanya marekebisho haraka iwezekenavyo kufanya marekebisho haraka iwezekenavyo mara tu hitilafu ya umeme inapojitokeza ili kuepusha hasara kwa Watanzania hasa ambao shughuli zao za Kiuchumi zinategea Nishati hiyo.

Akimuwakilisha Mkuu wa Mkoa wa Morogoro Mhe.Kighoma Malima, Mkuu wa Wilaya ya Kilombero Mhe.Dunstan Kyobya Ameahidi kusimamia Miundombinu ya kituo hicho ili kuepusha adha ya aina yoyote inayohusu umeme kwa Wananchi.

Matangazo

  • No records found
  • Ona yote

Habari Mpya

  • MKURUGENZI WA HALMASHAURI YA MJI IFAKARA PILLY KITWANA ATEMBELEA BANDA LA HALMASHAURI YA IFAKARA MJI KUKAGUA MAANDALIZI YA MWISHO KUELEKEA MAONESHO YA NANE NANE 2025 KANDA YA MASHARIKI

    July 30, 2025
  • BODI YA PAMBA TANZANIA YAFANYA UWEKEZAJI KWA KUKODI ENEO LA KIJIJI CHA KIKWAWILA LENYE UKUBWA WA EKARI ELFU 11,000 KWAAJILI YA KILIMO CHA DENGU

    July 20, 2025
  • MGOGORO WA MPAKA BAINA YA WANANCHI WA KIJIJI CHA MACHIPI NA HIFADHI YA MILIMA YA UDZUNGWA KATIKA ENEO LA ITULA UNATAFUTIWA SULUHU YA KUDUMU, TIMU YA WATAALAMU NA WAWAKILISHI WA WANANCHI KUFIKA ENEO HILO KWAAJILI YA KUKAGUA MIPAKA

    July 11, 2025
  • DC KYOBYA NA MENEJIMENTI (CMT) YA HALMASHAURI YA MJI IFAKARA WATEMBELEA MASOKO YA WAFANYA BIASHARA WA SAMAKI WALIOPO STENDI YA KIBAONI NA SOKO LA KARIAKOO KATIKA KATA YA VIWANJA SITINI

    July 09, 2025
  • Ona yote

Video

Shangwe la Mkesha wa Mwenge 2025 Uwanja wa CCM Mkamba Kidatu Msanii wa Muziki MC Hamza akiimba na wanaIfakara, Tarehe 17-04-2025.
More Videos

Kurasa za Haraka

  • MATOKEO KIDATO CHA NNE 2024
  • MATOKEO YA KIDATO CHA SITA 2024
  • MATOKEO YA KIDATO CHA PILI 2024
  • Ramani ya halmashauri ya mji wa Ifakara
  • BOFYA HAPA KUOMBA KITAMBULISHO CHA WAJASILIAMALI WADOGO
  • CHF

Kurasa Mfanano

  • Tovuti kuu ya serikali
  • Wizara ya Tamisemi
  • Wizara ya utumishi wa uma
  • Tovuti ya mkoa wa Morogoro
  • Tovuti ya Ajira Tanzania

World visitors tracker

world map hits counter

Visitors Counter

free HitCounter

Location Map

Mawasiliano Yetu

    Kibaoni - Bomani

    Sanduku la Barua: 433 Ifakara

    Simu ya Mezani: +255 (0)23 - 2934212

    Simu ya Mkononi: -

    Barua Pepe: td@ifakaratc.go.tz / info@ifakaratc.go.tz

Other Contacts

   

    • Sera ya Uhifadhi
    • Kanusho
    • Ramani
    • Huduma

Haki Miliki @2018 Halmashauri ya Mji wa Ifakara . Haki zote zimehifadhiwa