Posted on: December 3rd, 2024
Mafunzo haya yalifanyika siku ya jumatatu tarehe 2,Disemba 2024 katika Tarafa ya Ifakara yakiwa na lengo la kuwawezesha wakulima kuboresha uzalishaji wa mazao ya mbogamboga na matunda kupitia mbinu za...
Posted on: December 1st, 2024
Wananchi wa Halmashauri ya Mji Ifakara leo Disemba 1, 2024 wameshiriki katika kuadhimisha siku ya Ukimwi Duniani inayoadhimishwa Duniani Kote kila ifikapo Disemba, 1 ya kila mwaka.
M...
Posted on: November 26th, 2024
Mkuu wa Wilaya ya Kilombero Mhe. Wakili Dunstan Kyobya leo tarehe 26 Novemba 2024 , ameongoza matembezi ya kuhamasisha Wananchi wa Kilombero kushiriki Uchaguzi kesho tarehe 27 Novemba 2024...