• Nukuu ya Ukaribisho
  • Maswali ya mara kwa mara
  • Mawasiliano Yetu
Ifakara Town Council

Jamhuri ya Muungano wa Tanzania
Ofisi ya Rais Tawala za Mikoa na Serikali za Mitaa
Halmashauri ya Mji Ifakara

  • Mwanzo
  • Kuhusu Sisi
    • Dira na Dhamira
    • Historia
    • Taswira
  • Wilaya
    • Babati
    • Mbulu
    • Hanang
    • Kiteto
    • Simanjiro
  • Idara
    • Rasilimali Watu
    • Planning and Management
    • Fedha na Biashara
    • Ukaguzi wa Ndani
    • Manunuzi & Ugavi
    • Uchumi na Uzalishaji
    • Miundombinu
    • Serikali za Mitaa
    • Ustawi wa Jamii
    • TEHAMA
    • Afya
    • Elimu
    • Maji
  • Machapisho
    • Fomu
    • Miongozo
    • Hatua
    • Ripoti
  • Uwekezaji
    • Investment One
    • Investment Two
    • Investment Three
    • Investment Four
    • Investment Five
  • Kituo cha Habari
    • Habari
    • Matangazo
    • Kapu
    • Utamaduni,Sanaa & Michezo
    • Hotuba
    • Taarifa kwa Vyombo vya Habari
    • Videos

Mchengerwa atembelee Ifakara

Posted on: May 21st, 2024


Waziri wa Nchi Ofisi ya Rais TAMISEMI Mhe.Mohamed Mchengerwa amefanya Ziara ya katika Mji wa Ifakara Mei 20,2024.

Katika Ziara hiyo Mhe.Mchengerwa amekagua Jengo la Hospitali ya Halmashauri ya Mji Ifakara Kiberege na kuongea na Wananchi wa Kata ya Kiberege.

Aidha Mhe.Mchengerwa amewataka Viongozi wa Halmashauri hiyo kusimamia Mradi huo na kuhakikisha unakamilika kabla ya Agosti 1,2024.

Hata hivyo ameahidi kufika katika Kata hiyo wakati wa uzinduzi wa Jengo hilo pamoja na kuweka Jiwe la Msingi la ujenzi wa Daraja la Mkasu ambalo ni kilio kikubwa kwa Wananchi.

Katika hatua Nyingine Mhe.Mchengerwa ameitaka TARURA kukarabati Barabara za Kata hiyo ili kurahisisha shuhuli za usafiri na usafirishaji kwa Wananchi kama Diwani wa Kata ya Kiberege Mhe.Sultan Kwanja alivyoomba kwa niaba ya Wananchi wake.


Si hayo tu lakini pia Mhe. Mchengerwa amewaahidi Wananchi wa Ifakara kuhakikisha wanapata Shule ya Ghorofa mbadala wa Shule ya Msingi Kibaoni ambapo kwasasa inamrundikano wa Wanafunzi na haina eneo la kutosha la Kuongeza zaidi Majengo ya Madarasa.

Ahadi hiyo imetokana na Ombi la Mbunge wa Jimbo la Kilombero Mhe.Abubakar Asenga pamoja na Diwani wa Kata ya Ifakara Mhe.James Uliza katika Mkutano wa Hadhara uliofanyika Soko Kuu la Ifakara uliokamilisha Ziara.

Mbunge wa Jimbo la Kilombero Mhe.Abubakar Asenga 

Diwani wa Kata ya Ifakara,Mhe.James Uliza

Latest Announcements

  • TANGAZO LA MAOMBI YA MPIGA KURA KUPIGA KURA YA RAIS WA JAMHURI YA MUUNGANO WA TANZANIA KATIKA KITUO TOFAUTI NA KITUO ALICHOJIANDIKISHA

    read more
  • TANGAZO LA ULIPAJI WA ADA NA USHURU KWA WANANCHI, WAFANYABIASHARA NA TAASISI MBALIMBALI IFAKARA MJI

    read more
  • View More

Habari Mpya

  • MAANDALIZI YA MPANGO MKAKATI WA HALMASHAURI KWA MWAKA 2026/27 HADI 20230/31
  • MKURUGENZI WA HALMASHAURI YA MJI IFAKARA, TIMU YA MENEJIMENTI WAPONGEZWA
  • MHESHIMIWA KASSIM FAYA NAKAPALA ASHINDA NAFASI YA MWENYEKITI WA HALMASHAURI YA MJI IFAKARA
  • MHESHIMIWA KASSIM FAYA NAKAPALA ASHINDA NAFASI YA MWENYEKITI WA HALMASHAURI YA MJI IFAKARA
  • KATIBU WA CHAMA CHA MAPINDUZI WILAYA YA KILOMBERO AWATAKA MADIWANI KUHAKIKISHA KERO ZA WANANCHI ZINATATULIWA
  • More

Mawasiliano Yetu

Ofisi ya Rais Tawala za Mikoa na Serikali za Mitaa Halmashauri ya Mji Ifakara
Kibaoni - Bomani
Sanduku la Barua: 433 Ifakara
Simu ya Mezani: +255 (0)23 - 2934212
Barua Pepe: td@ifakaratc.go.tz / info@ifakaratc.go.tz
Simu ya Mkononi: -

Kurasa za Haraka

  • CHF
  • Ramani ya halmashauri ya mji wa Ifakara
  • MATOKEO KIDATO CHA NNE 2024
  • BOFYA HAPA KUOMBA KITAMBULISHO CHA WAJASILIAMALI WADOGO
  • MATOKEO YA KIDATO CHA PILI 2024
  • MATOKEO YA KIDATO CHA SITA 2024

Kurasa Mfanano

  • Tovuti kuu ya serikali
  • Wizara ya Tamisemi
  • Wizara ya utumishi wa uma
  • Tovuti ya mkoa wa Morogoro
  • Tovuti ya Ajira Tanzania

Mitandao ya Kijamii

  • Like us on Facebook
  • Follow us on Twitter
  • Find us on Youtube
  • Follow us on Instagram

Copyright ©2016 GWF . All rights reserved.

  • Kanusho
  • Sera ya Uhifadhi
  • Maswali ya mara kwa mara
  • Ramani