• Nukuu ya Ukaribisho
  • Maswali ya mara kwa mara
  • Mawasiliano Yetu
Ifakara Town Council

Jamhuri ya Muungano wa Tanzania
Ofisi ya Rais Tawala za Mikoa na Serikali za Mitaa
Halmashauri ya Mji Ifakara

  • Mwanzo
  • Kuhusu Sisi
    • Dira na Dhamira
    • Historia
    • Taswira
  • Wilaya
    • Babati
    • Mbulu
    • Hanang
    • Kiteto
    • Simanjiro
  • Idara
    • Rasilimali Watu
    • Planning and Management
    • Fedha na Biashara
    • Ukaguzi wa Ndani
    • Manunuzi & Ugavi
    • Uchumi na Uzalishaji
    • Miundombinu
    • Serikali za Mitaa
    • Ustawi wa Jamii
    • TEHAMA
    • Afya
    • Elimu
    • Maji
  • Machapisho
    • Fomu
    • Miongozo
    • Hatua
    • Ripoti
  • Uwekezaji
    • Investment One
    • Investment Two
    • Investment Three
    • Investment Four
    • Investment Five
  • Kituo cha Habari
    • Habari
    • Matangazo
    • Kapu
    • Utamaduni,Sanaa & Michezo
    • Hotuba
    • Taarifa kwa Vyombo vya Habari
    • Videos

KAMISHNA WA OPERESHENI NA MAFUNZO AKAGUA KITUO KIPYA CHA POLISI KIBAONI ,IFAKARA

Posted on: January 12th, 2026

KAMISHNA WA OPERESHENI NA MAFUNZO AKAGUA KITUO KIPYA CHA POLISI IFAKARA


Leo tarehe 12 Januari, 2026, Kamishna wa Polisi Idara ya Operesheni na Mafunzo, CP Awadhi Juma Haji, amefanya ziara ya kikazi katika Wilaya ya Kilombero, Mkoani Morogoro, ambapo amekagua Maendeleo ya ujenzi wa Kituo Kipya cha Polisi Ifakara.


Katika ziara hiyo, CP Awadhi Juma Haji ameipongeza Kamati ya Ujenzi kwa usimamizi mzuri wa Mradi huo muhimu, akieleza kuridhishwa na kasi pamoja na ubora wa ujenzi unaoendelea ambapo hadi sasa ujenzi wa kituo hicho umefikia asilimia 99, hatua inayoashiria kukaribia kukamilika kwake.


Aidha Kamishna huyo amewataka Kamanda wa Polisi Mkoa wa Morogoro SACP Alex Mkama pamoja na Mkuu wa Polisi Wilaya ya Kilombero SSP Daud Nkuba kuhakikisha kuwa usalama wa jengo hilo jipya vinaimarishwa wakati wote, kutokana na kuwa ujenzi bado unaendelea na jengo likiwa katika hatua za mwisho za ukamilishaji.


Akihitimisha ziara yake, CP Awadhi Juma Haji amemshukuru Kamanda wa Polisi Mkoa wa Morogoro pamoja na uongozi wa Polisi Wilaya ya Kilombero kwa mapokezi mazuri, ushirikiano na maandalizi yaliyowezesha ziara hiyo kufanyika kwa mafanikio

Latest Announcements

  • TANGAZO LA MAOMBI YA MPIGA KURA KUPIGA KURA YA RAIS WA JAMHURI YA MUUNGANO WA TANZANIA KATIKA KITUO TOFAUTI NA KITUO ALICHOJIANDIKISHA

    read more
  • TANGAZO LA ULIPAJI WA ADA NA USHURU KWA WANANCHI, WAFANYABIASHARA NA TAASISI MBALIMBALI IFAKARA MJI

    read more
  • View More

Habari Mpya

  • MKURUGENZI HALMASHAURI YA MJI IFAKARA AKAGUA MWITIKIO WA WANAFUNZI KURIPOTI SHULENI
  • KAMISHNA WA OPERESHENI NA MAFUNZO AKAGUA KITUO KIPYA CHA POLISI KIBAONI ,IFAKARA
  • KAYA MASKINI ZILIZO TAMBULIWA ZAINGIZWA KWENYE MFUMO ILI KUWEZESHA SERIKALI KUTOA HUDUMA KWA HARAKA NA KWA UFANISI
  • HALMASHAURI YA MJI IFAKARA YAENDELEA NA UTAMBUZI WA KAYA MASKINI
  • MADIWANI WILAYA YA KILOMBERO WATAKIWA KUIBUA NA KUSIMAMIA MIRADI YA MAENDELEO KATIKA KATA
  • More

Mawasiliano Yetu

Ofisi ya Rais Tawala za Mikoa na Serikali za Mitaa Halmashauri ya Mji Ifakara
Kibaoni - Bomani
Sanduku la Barua: 433 Ifakara
Simu ya Mezani: +255 (0)23 - 2934212
Barua Pepe: td@ifakaratc.go.tz / info@ifakaratc.go.tz
Simu ya Mkononi: -

Kurasa za Haraka

  • CHF
  • Ramani ya halmashauri ya mji wa Ifakara
  • MATOKEO KIDATO CHA NNE 2024
  • BOFYA HAPA KUOMBA KITAMBULISHO CHA WAJASILIAMALI WADOGO
  • MATOKEO YA KIDATO CHA PILI 2024
  • MATOKEO YA KIDATO CHA SITA 2024

Kurasa Mfanano

  • Tovuti kuu ya serikali
  • Wizara ya Tamisemi
  • Wizara ya utumishi wa uma
  • Tovuti ya mkoa wa Morogoro
  • Tovuti ya Ajira Tanzania

Mitandao ya Kijamii

  • Like us on Facebook
  • Follow us on Twitter
  • Find us on Youtube
  • Follow us on Instagram

Copyright ©2016 GWF . All rights reserved.

  • Kanusho
  • Sera ya Uhifadhi
  • Maswali ya mara kwa mara
  • Ramani