• Nukuu ya Ukaribisho
  • Maswali ya mara kwa mara
  • Mawasiliano Yetu
Ifakara Town Council

Jamhuri ya Muungano wa Tanzania
Ofisi ya Rais Tawala za Mikoa na Serikali za Mitaa
Halmashauri ya Mji Ifakara

  • Mwanzo
  • Kuhusu Sisi
    • Dira na Dhamira
    • Historia
    • Taswira
  • Wilaya
    • Babati
    • Mbulu
    • Hanang
    • Kiteto
    • Simanjiro
  • Idara
    • Rasilimali Watu
    • Planning and Management
    • Fedha na Biashara
    • Ukaguzi wa Ndani
    • Manunuzi & Ugavi
    • Uchumi na Uzalishaji
    • Miundombinu
    • Serikali za Mitaa
    • Ustawi wa Jamii
    • TEHAMA
    • Afya
    • Elimu
    • Maji
  • Machapisho
    • Fomu
    • Miongozo
    • Hatua
    • Ripoti
  • Uwekezaji
    • Investment One
    • Investment Two
    • Investment Three
    • Investment Four
    • Investment Five
  • Kituo cha Habari
    • Habari
    • Matangazo
    • Kapu
    • Utamaduni,Sanaa & Michezo
    • Hotuba
    • Taarifa kwa Vyombo vya Habari
    • Videos

MKURUGENZI HALMASHAURI YA MJI IFAKARA AKAGUA MWITIKIO WA WANAFUNZI KURIPOTI SHULENI

Posted on: January 13th, 2026

MKURUGENZI HALMASHAURI YA MJI IFAKARA AKAGUA  MWITIKIO WA WANAFUNZI WALIORIPOTI SHULENI


Na: Nuru Mangalili - Ifakara Mji , Habari


Ikiwa ni siku ya kwanza ya kufungua Shule  za Awali , Msingi na Sekondari  Leo tarehe 13 Januari 2026  Mkurugenzi wa Halmashauri ya Mji Ifakara Bi. Pilly Kitwana amekagua  hali ya wanafunzi kuripoti shuleni katika Shule Mbalimbali  Zilizopo Halmashauri ya Mji Ifakara.


Akizungumza  wakati alipokuwa katika  Shule ya Sekondari Kilombero ,Bi. Pilly Kitwana aliwasisitiza Walimu kuhakikisha Suala la Lishe linatiliwa mkazo na kutoa Elimu ya kutosha kwa wazazi Ili wanafunzi wapatiwe Chakula Mashuleni na kuongeza Ufaulu .


Aidha Bi. Kitwana alitoa wito kwa Wazazi ambao bado hawajapeleka watoto Shuleni kuhakikisha watoto wanaripoti mapema Ili masomo yasiwapite.


" Shule zimefunguliwa leo ,hali ya wanafunzi kuripoti shuleni ni nzuri na wanafunzi wameanza masomo ,niwasihi wazazi wote ambao bado hawajapeleka watoto Shuleni wahakikishe watoto wameripoti shuleni  bila kukosa". Alisema Bi. Pilly Kitwana na kuongeza" Walimu wote kwenye Shule zote za Halmashauri ya Mji Ifakara muhakikishe mnafundisha tangu siku ya kwanza wanafunzi wameripoti Shuleni. ". Alimaliza Bi. Pilly Kitwana


Kwa upande wake Afisa Elimu Sekondari  wa Halmashauri ya Mji Ifakara Bwana Folkward Mchami alieleza kuwa Hali ya Wanafunzi kuripoti Shuleni ni kubwa na wanafunzi waliojiandikisha kidato cha Kwanza kwa shule zote imeongezeka na kuwasihi wazazi kuhakikisha watoto wote wanafika kuanza masomo kwa wakati.


Nae Afisa Elimu Msingi Bi. Witness Kimoleta alieleza kuwa  wanafunzi walioripoti shuleni kwa siku ya Leo tarehe 13 Januari ni kubwa  kuanzia Darasa la Awali Mpaka Elimu Msingi.

Latest Announcements

  • TANGAZO LA MAOMBI YA MPIGA KURA KUPIGA KURA YA RAIS WA JAMHURI YA MUUNGANO WA TANZANIA KATIKA KITUO TOFAUTI NA KITUO ALICHOJIANDIKISHA

    read more
  • TANGAZO LA ULIPAJI WA ADA NA USHURU KWA WANANCHI, WAFANYABIASHARA NA TAASISI MBALIMBALI IFAKARA MJI

    read more
  • View More

Habari Mpya

  • MKURUGENZI HALMASHAURI YA MJI IFAKARA AKAGUA MWITIKIO WA WANAFUNZI KURIPOTI SHULENI
  • KAMISHNA WA OPERESHENI NA MAFUNZO AKAGUA KITUO KIPYA CHA POLISI KIBAONI ,IFAKARA
  • KAYA MASKINI ZILIZO TAMBULIWA ZAINGIZWA KWENYE MFUMO ILI KUWEZESHA SERIKALI KUTOA HUDUMA KWA HARAKA NA KWA UFANISI
  • HALMASHAURI YA MJI IFAKARA YAENDELEA NA UTAMBUZI WA KAYA MASKINI
  • MADIWANI WILAYA YA KILOMBERO WATAKIWA KUIBUA NA KUSIMAMIA MIRADI YA MAENDELEO KATIKA KATA
  • More

Mawasiliano Yetu

Ofisi ya Rais Tawala za Mikoa na Serikali za Mitaa Halmashauri ya Mji Ifakara
Kibaoni - Bomani
Sanduku la Barua: 433 Ifakara
Simu ya Mezani: +255 (0)23 - 2934212
Barua Pepe: td@ifakaratc.go.tz / info@ifakaratc.go.tz
Simu ya Mkononi: -

Kurasa za Haraka

  • CHF
  • Ramani ya halmashauri ya mji wa Ifakara
  • MATOKEO KIDATO CHA NNE 2024
  • BOFYA HAPA KUOMBA KITAMBULISHO CHA WAJASILIAMALI WADOGO
  • MATOKEO YA KIDATO CHA PILI 2024
  • MATOKEO YA KIDATO CHA SITA 2024

Kurasa Mfanano

  • Tovuti kuu ya serikali
  • Wizara ya Tamisemi
  • Wizara ya utumishi wa uma
  • Tovuti ya mkoa wa Morogoro
  • Tovuti ya Ajira Tanzania

Mitandao ya Kijamii

  • Like us on Facebook
  • Follow us on Twitter
  • Find us on Youtube
  • Follow us on Instagram

Copyright ©2016 GWF . All rights reserved.

  • Kanusho
  • Sera ya Uhifadhi
  • Maswali ya mara kwa mara
  • Ramani