• Mawasiliano Yetu |
    • Maswali ya mara kwa mara |
    • Barua pepe za Watumishi |
    • Malalamiko |
Ifakara Town Council
Ifakara Town Council

Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Ofisi ya Rais Tawala za Mikoa na Serikali za Mitaa Halmashauri ya Mji Ifakara

  • Mwanzo
  • Kuhusu Sisi
    • Wasifu wa Halmashauri
    • Dira na Dhamira
    • Maadili ya msingi
    • Mikakati
  • Utawala
    • Muundo wa Halmashauri
    • Idara
      • Ujenzi
      • Utawala na Rasilimali Watu
      • Fedha na Biashara
      • Mipango,Takwimu & Ufuatiliaji
      • Elimu Msingi
      • Elimu Sekondari
      • Afya
      • Usafi na Mazingira
      • Kilimo,Ushirika & Umwagiliaji
      • Mifugo na Uvuvi
      • Maji
      • Maendeleo ya Jamii
      • Ardhi na Maliasili
    • Vitengo
      • Manunuzi & Ugavi
      • Sheria
      • TEHAMA
      • Uchaguzi
      • Ufugaji Nyuki
      • Mkaguzi wa Ndani
  • Fursa za Uwekezaji
    • Maeneo ya Uwekezaji
  • Huduma
    • Ukodishaji wa Mitambo
    • Upimaji,Usanifu wa Viwanja,Majengo &Mashamba
  • Madiwani
    • Orodha ya waheshimiwa Madiwani
    • Kamati za kudumu
    • Ratiba za kudumu
    • Kata
      • Mbasa
      • Katindiuka
      • Mlabani
      • Lumemo
      • Kibaoni
      • Viwanja sitini
      • Ifakara
      • Michenga
      • Lipangalala
  • Miradi
    • Miradi inayoendelea
    • Miradi Iliyokamilika
    • Itakayotekelezwa
  • Machapisho
    • CHF iliyoboreshwa
    • Miongozo
    • Ripoti
    • Kanuni
    • Mkataba wa Huduma kwa Mteja
  • Kituo cha Habari
    • Taarifa kwa Vyombo vya Habari
    • Hotuba
    • Maktaba ya Video
    • Maktaba ya Picha
  • Mifumo

ZIARA YA KAMATI YA BUNGE YA VIWANDA, BIASHARA, KILIMO NA MIFUGO.

Posted on: February 19th, 2025

Kamati ya Kudumu ya Bunge ya Viwanda, Biashara, Kilimo na Mifugo, ikiongozwa na Mwenyekiti wake Mhe. Deodatus Philip Mwanyika (Mb), imefanya ziara yake katika Miradi mbalimbali inayopatikana Halmashauri ya Mji Ifakara, Wilayani Kilombero ambapo baadhi ya Miradi hiyo ni Kituo cha Utafiti wa Kilimo cha Tanzania (TARI) Ifakara, Ifakara White Rice Milling machines, pamoja na kiwanda cha Sukari Kilombero (K4) Februari 19, 2025.


TARI Ifakara  kinajishughulisha na utafiti wa mazao mbalimbali, hususan mpunga, kwa lengo la kuboresha,uzalishaji na tija kwa wakulima pia kuweza kuja na mbegu bora zitakazo vumilia mafuriko.


Katika ziara hiyo, kamati imelenga kujionea shughuli za utafiti na maendeleo ya kilimo zinazofanywa katika kituo cha TARI Ifakara pia ilipata fursa ya kutembelea maabara za utafiti, shamba darasa, na maeneo mengine ya kituo, ambapo walijionea teknolojia na mbinu bunifu zinazotumika kuboresha kilimo.


Mhe. Mwanyika amezipongeza juhudi za TARI Ifakara katika kuendeleza sekta ya kilimo na kuhimiza ushirikiano zaidi kati ya kituo hicho na wadau mbalimbali ili kuhakikisha matokeo ya utafiti yanafikia wakulima kwa ufanisi na kuahidi kuja na namna bora ya kuongeza wafanyakazi ambao watakuwa wanawafikia wakulima moja Kwa moja.


Ziara hii inaendana na mikakati ya serikali ya kuinua sekta ya kilimo kupitia uwekezaji katika utafiti na maendeleo, ili kuongeza uzalishaji na kuinua kipato cha wakulima Halmashauri ya Mji Ifakara na nchini Kwa ujumla.


Mhe.David Silinde Naibu waziri wa Kilimo amesema wanaifakara wajifunze kuwekeza katika viwanda kwani serikali ipo tayari kuwaunga Mkono wananchi wote wenye nia ya kuwekeza kupitia Mfuko wa pembejeo (AGITF)ambao unajihusisha na utoaji wa  Mikopo Kwa wakulima kwenye mnyororo wa kuongeza thamani.


Hata hivyo Kwa upande wake Mhe.Ng'wasi Kamani  Mbunge Muwakilishi Vijana Taifa amesema Serikali ya Jamhuri ya Muungano wa Tanzania imelenga kunyanyua watanzania wote kwani wamejionea uwekezaji mkubwa katika sekta  ya kilimo.





Matangazo

  • KUITWA USAILI BVR TARAFA YA MANG'ULA February 07, 2025
  • KUITWA USAILI BVR TARAFA YA IFAKARA February 07, 2025
  • KUITWA USAILI BVR TARAFA YA KIDATU February 07, 2025
  • TANGAZO KWA WATUMISHI WOTE HALMASHAURI YA MJI IFAKARA November 01, 2022
  • Ona yote

Habari Mpya

  • MKUTANO WA TRA NA WAFANYABIASHARA WILAYA YA KILOMBERO

    March 05, 2025
  • HAMASA YATOLEWA KWA JAMII YA WAFUGAJI KUSHIRIKI MAADHIMISHO SIKU YA WANAWAKE DUNIANI PAMOJA NA UBORESHAJI WA DAFTARI LA KUDUMU LA WAPIGA KURA IFAKARA TC

    February 27, 2025
  • MAFUNZO KWA WATENDAJI NGAZI YA JIMBO JUU YA UBORESHAJI WA DAFTARI LA KUDUMU LA WAPIGA KURA

    February 22, 2025
  • UBORESHAJI WA DAFTARI LA KUDUMU LA WAPIGA KURA JIMBO LA KILOMBERO KUANZA TAREHE 1 MACHI, 2025 HADI TAREHE 7 MACHI 2025

    February 24, 2025
  • Ona yote

Video

Shangwe la Mkesha wa Mwenge 2025 Uwanja wa CCM Mkamba Kidatu Msanii wa Muziki MC Hamza akiimba na wanaIfakara, Tarehe 17-04-2025.
More Videos

Kurasa za Haraka

  • MATOKEO KIDATO CHA NNE 2024
  • MATOKEO YA KIDATO CHA SITA 2024
  • MATOKEO YA KIDATO CHA PILI 2024
  • Ramani ya halmashauri ya mji wa Ifakara
  • BOFYA HAPA KUOMBA KITAMBULISHO CHA WAJASILIAMALI WADOGO
  • CHF

Kurasa Mfanano

  • Tovuti kuu ya serikali
  • Wizara ya Tamisemi
  • Wizara ya utumishi wa uma
  • Tovuti ya mkoa wa Morogoro
  • Tovuti ya Ajira Tanzania

World visitors tracker

world map hits counter

Visitors Counter

free HitCounter

Location Map

Mawasiliano Yetu

    Kibaoni - Bomani

    Sanduku la Barua: 433 Ifakara

    Simu ya Mezani: +255 (0)23 - 2934212

    Simu ya Mkononi: -

    Barua Pepe: td@ifakaratc.go.tz / info@ifakaratc.go.tz

Other Contacts

   

    • Sera ya Uhifadhi
    • Kanusho
    • Ramani
    • Huduma

Haki Miliki @2018 Halmashauri ya Mji wa Ifakara . Haki zote zimehifadhiwa