• Mawasiliano Yetu |
    • Maswali ya mara kwa mara |
    • Barua pepe za Watumishi |
    • Malalamiko |
Ifakara Town Council
Ifakara Town Council

Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Ofisi ya Rais Tawala za Mikoa na Serikali za Mitaa Halmashauri ya Mji Ifakara

  • Mwanzo
  • Kuhusu Sisi
    • Wasifu wa Halmashauri
    • Dira na Dhamira
    • Maadili ya msingi
    • Mikakati
  • Utawala
    • Muundo wa Halmashauri
    • Idara
      • Ujenzi
      • Utawala na Rasilimali Watu
      • Fedha na Biashara
      • Mipango,Takwimu & Ufuatiliaji
      • Elimu Msingi
      • Elimu Sekondari
      • Afya
      • Usafi na Mazingira
      • Kilimo,Ushirika & Umwagiliaji
      • Mifugo na Uvuvi
      • Maji
      • Maendeleo ya Jamii
      • Ardhi na Maliasili
    • Vitengo
      • Manunuzi & Ugavi
      • Sheria
      • TEHAMA
      • Uchaguzi
      • Ufugaji Nyuki
      • Mkaguzi wa Ndani
  • Fursa za Uwekezaji
    • Maeneo ya Uwekezaji
  • Huduma
    • Ukodishaji wa Mitambo
    • Upimaji,Usanifu wa Viwanja,Majengo &Mashamba
  • Madiwani
    • Orodha ya waheshimiwa Madiwani
    • Kamati za kudumu
    • Ratiba za kudumu
    • Kata
      • Mbasa
      • Katindiuka
      • Mlabani
      • Lumemo
      • Kibaoni
      • Viwanja sitini
      • Ifakara
      • Michenga
      • Lipangalala
  • Miradi
    • Miradi inayoendelea
    • Miradi Iliyokamilika
    • Itakayotekelezwa
  • Machapisho
    • CHF iliyoboreshwa
    • Miongozo
    • Ripoti
    • Kanuni
    • Mkataba wa Huduma kwa Mteja
  • Kituo cha Habari
    • Taarifa kwa Vyombo vya Habari
    • Hotuba
    • Maktaba ya Video
    • Maktaba ya Picha
  • Mifumo

ZIARA YA CMT KUTEMBELEA MIRADI YA MAENDELEO TAREHE 18 /9/2025

Posted on: September 19th, 2025

MENEJIMENTI YA HALMASHAURI YA MJI IFAKARA YAFANYA ZIARA KUTEMBELEA MIRADI YA MAENDELEO

Timu ya Menejimenti ya Halmashauri ya Mji Ifakara imefanya Ziara ya kutembelea Miradi Mbalimbali ya Maendeleo inayotekelezwa na Halmashauri ya Mji Ifakara. Ziara hiyo imefanyika siku ya Alhamisi tarehe 18 Septemba 2025 ambapo iliongozwa na Mkurugenzi wa Halmashauri ya Mji Ifakara akiambatana na Katibu Tawala wa Wilaya ya Kilombero Bw. Abraham Mwaikwila.


Miradi iliyotembelewa ni pamoja na Miradi iliyoletewa Fedha na Serikali zaidi ya Milioni 892.3 kwa mwaka wa Fedha 2024 -2025 kupitia BOOST na GPE LANES kwaajili ya Ujenzi wa Miradi Mipya ya Elimu ya Awali na Msingi ndani ya Halmashauri ya Mji Ifakara ikiwemo Ujenzi wa Shule Mpya, Madarasa , vyoo , nyumba za Walimu na Ujenzi wa Kituo cha Walimu (TRC) Mkamba na pia walitembelea  Umaliziaji wa Jengo la Maabara  OPD na Kichomea Taka katika Hospitali ya Halmashauri ya Mji Ifakara iliyopo Kiberege wenye thamani ya Shilingi Milioni 65,000,000/= na pia walitembelea kukagua maendeleo ya Ujenzi wa Jengo la Utawala.


Akizungumza katika Ziara hiyo Katibu Tawala wa Wilaya ya Kilombero Bw. Abraham Mwaikwila alipongeza hatua mbalimbali zilizofikiwa katika ukamilishaji wa Miradi hiyo na kusisitiza kuongezeka  kwa kasi ya utekelezaji ili kuendana na muda uliopangwa ili miradi hiyo iweze kuwasaidia wananchi wa Ifakara hususani katika kupunguza adha ya umbali mrefu kwa wanafunzi kufuata masomo na pia kuongeza ukaribu wa upatikanaji wa Huduma za Afya kwa Wakati.

Kwa upande wake Mkurugenzi wa Halmashauri ya Mji Ifakara Bi. Pilly Kitwana aliwasisitiza wasimamizi wa Miradi hiyo kuhakikisha Vifaa vinapatikana muda wote katika maeneo yote ya miradi na pia kuhakikisha miongozo , taratibu na kanuni zinafuatwa . Aidha alisisitiza kuongezeka kwa kasi ya ukamilishaji wa Miradi hiyo kulingana na hali ya hewa hususani katika hiki kipindi ambacho Mvua zinatarajiwa kuanza wakati wowote.

Matangazo

  • No records found
  • Ona yote

Habari Mpya

  • HALMASHAURI YA MJI IFAKARA YANUNUA GARI LA TAKA KUIMARISHA USAFI

    September 22, 2025
  • ZIARA YA CMT KUTEMBELEA MIRADI YA MAENDELEO TAREHE 18 /9/2025

    September 19, 2025
  • MKURUGENZI WA HALMASHAURI YA MJI IFAKARA PILLY KITWANA ATEMBELEA BANDA LA HALMASHAURI YA IFAKARA MJI KUKAGUA MAANDALIZI YA MWISHO KUELEKEA MAONESHO YA NANE NANE 2025 KANDA YA MASHARIKI

    July 30, 2025
  • BODI YA PAMBA TANZANIA YAFANYA UWEKEZAJI KWA KUKODI ENEO LA KIJIJI CHA KIKWAWILA LENYE UKUBWA WA EKARI ELFU 11,000 KWAAJILI YA KILIMO CHA DENGU

    July 20, 2025
  • Ona yote

Video

Shangwe la Mkesha wa Mwenge 2025 Uwanja wa CCM Mkamba Kidatu Msanii wa Muziki MC Hamza akiimba na wanaIfakara, Tarehe 17-04-2025.
More Videos

Kurasa za Haraka

  • MATOKEO KIDATO CHA NNE 2024
  • MATOKEO YA KIDATO CHA SITA 2024
  • MATOKEO YA KIDATO CHA PILI 2024
  • Ramani ya halmashauri ya mji wa Ifakara
  • BOFYA HAPA KUOMBA KITAMBULISHO CHA WAJASILIAMALI WADOGO
  • CHF

Kurasa Mfanano

  • Tovuti kuu ya serikali
  • Wizara ya Tamisemi
  • Wizara ya utumishi wa uma
  • Tovuti ya mkoa wa Morogoro
  • Tovuti ya Ajira Tanzania

World visitors tracker

world map hits counter

Visitors Counter

free HitCounter

Location Map

Mawasiliano Yetu

    Kibaoni - Bomani

    Sanduku la Barua: 433 Ifakara

    Simu ya Mezani: +255 (0)23 - 2934212

    Simu ya Mkononi: -

    Barua Pepe: td@ifakaratc.go.tz / info@ifakaratc.go.tz

Other Contacts

   

    • Sera ya Uhifadhi
    • Kanusho
    • Ramani
    • Huduma

Haki Miliki @2018 Halmashauri ya Mji wa Ifakara . Haki zote zimehifadhiwa