• Mawasiliano Yetu |
    • Maswali ya mara kwa mara |
    • Barua pepe za Watumishi |
    • Malalamiko |
Ifakara Town Council
Ifakara Town Council

Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Ofisi ya Rais Tawala za Mikoa na Serikali za Mitaa Halmashauri ya Mji Ifakara

  • Mwanzo
  • Kuhusu Sisi
    • Wasifu wa Halmashauri
    • Dira na Dhamira
    • Maadili ya msingi
    • Mikakati
  • Utawala
    • Muundo wa Halmashauri
    • Idara
      • Ujenzi
      • Utawala na Rasilimali Watu
      • Fedha na Biashara
      • Mipango,Takwimu & Ufuatiliaji
      • Elimu Msingi
      • Elimu Sekondari
      • Afya
      • Usafi na Mazingira
      • Kilimo,Ushirika & Umwagiliaji
      • Mifugo na Uvuvi
      • Maji
      • Maendeleo ya Jamii
      • Ardhi na Maliasili
    • Vitengo
      • Manunuzi & Ugavi
      • Sheria
      • TEHAMA
      • Uchaguzi
      • Ufugaji Nyuki
      • Mkaguzi wa Ndani
  • Fursa za Uwekezaji
    • Maeneo ya Uwekezaji
  • Huduma
    • Ukodishaji wa Mitambo
    • Upimaji,Usanifu wa Viwanja,Majengo &Mashamba
  • Madiwani
    • Orodha ya waheshimiwa Madiwani
    • Kamati za kudumu
    • Ratiba za kudumu
    • Kata
      • Mbasa
      • Katindiuka
      • Mlabani
      • Lumemo
      • Kibaoni
      • Viwanja sitini
      • Ifakara
      • Michenga
      • Lipangalala
  • Miradi
    • Miradi inayoendelea
    • Miradi Iliyokamilika
    • Itakayotekelezwa
  • Machapisho
    • CHF iliyoboreshwa
    • Miongozo
    • Ripoti
    • Kanuni
    • Mkataba wa Huduma kwa Mteja
  • Kituo cha Habari
    • Taarifa kwa Vyombo vya Habari
    • Hotuba
    • Maktaba ya Video
    • Maktaba ya Picha
  • Mifumo

Zaidi ya Bilioni 1.5 zamulikwa na Mwenge

Posted on: April 27th, 2024


Mwenge wa Uhuru umendelea kukimbizwa Mkoani Morogoro tangu ulipowasili Aprili 20, 2024 hadi leo Aprili 26, 2024 umekwisha pitia miradi ya maendeleo mbalimbali katika Halmashauri saba kati ya Halmashauri Tisa za Mkoa wa Morogoro.

Aprili 26, 2024 Mwenge wa Uhuru umekimbizwa katika Wilaya ya Kilombero Halmashauri ya Mji Ifakara Mji na Kupitia Miradi ya maendeleo Nane yenye thamani ya zaidi ya Shilingi Bil. 1,586,216774.50.

Mchanganuo wa fedha hizo ni kama ifuatavyo: nguvu za wananchi shilingi 23,600,000.00, Halmashauri shilingi 85,568700.00, Serikali Kuu 637949954.50 na wahisani au wadau wengine wa maendeleo wamechangia kiasi cha shilingi 839,098120.00

Moja ya miradiya maendeleo iliyotembelewa ni Pamoja na uwekaji wa jiwe la msingi la ujenzi wa mradi wa maji katika Kijiji cha Mhelule kilichopo Tarafa ya Mang’ula wilayani kilombero Mkoani Morogoro wenye gharama ya shilingi 542,989,954.5 baada ya kupata fedha kutoka mfuko wa Maji wa Taifa – NWF na utanufaisha wakazi wapatao 2,838

Akiwa katika eneo hili Kiongozi wa mbio za Mwenge wa Uhuru Kitaifa alisitiza na kuwataka Wakurugenzi wa Halmashauri zote za Mkoa huo kuandaa program maalum ya kuwawezesha Wajumbe wa Kamati ya     Ulinzi na Usalama (KUU) ngazi ya Wilaya ili waweze kuelewa vema mfumo wa NeST unavyofanya jambo litakalowarahisishia wajumbe hao kufuatilia mfumo huo kufanya kazi inavyotakiwa na hivyo kutoa matokeo Chanya na yanayotarajiwa na Serikali.

Katika hatua nyingine Mwenge huo wa Uhuru uliona shughuli za utunzaji mazingira zinazofanyika katika kando yam to Lumemo unaopita katikakati ya Mji wa Ifakara ambapo kulikuwa na kampeni ya takribani wiki moja na kufanikiwa kupanda miti 2000. Mwenge wa Uhuru nao ulifanikiwa kufika katika eneo hilo na kushirikiana na wananchi wa Mji wa Ifakara kupanda miti zaidi ya 1000 hivyo kufanya jumla ya miti iliyopandwa kufikia miti 3000.

Ujumbe wa Kiongozi wa Mbio za Mwenge wa Uhuru kwa wananchi sio kupanda miti tu, bali kupanda miti 1,500,000 kila mwaka kama maagizo ya Serikali ambavyo yalishatolewa lakini zaidi ni kutunza miti hiyo ikue na kuleta mafanikio tarajiwa ikiwa ni Pamoja na kupunguza chanagamoto mabadiliko ya tabia nchi ikiwa ni Pamoja na mafuriko ambayo yamekithiri pahala pengi duniani.

Mradi mwingine uliotembelewa ni Pamoja na Uzinduzi wa Ukumbi wa Mikutano kutoka Sekta binafsi ambapo amesema Serikali ya awamu ya sita inayoongozwa na Mhe.Dkt. Samia Suluhu Hassan imeweka mazingira mazuri ya wawekezaji binafsi wa ndani nan 

Matangazo

  • KUITWA USAILI BVR TARAFA YA MANG'ULA February 07, 2025
  • KUITWA USAILI BVR TARAFA YA IFAKARA February 07, 2025
  • KUITWA USAILI BVR TARAFA YA KIDATU February 07, 2025
  • TANGAZO KWA WATUMISHI WOTE HALMASHAURI YA MJI IFAKARA November 01, 2022
  • Ona yote

Habari Mpya

  • MKUTANO WA TRA NA WAFANYABIASHARA WILAYA YA KILOMBERO

    March 05, 2025
  • HAMASA YATOLEWA KWA JAMII YA WAFUGAJI KUSHIRIKI MAADHIMISHO SIKU YA WANAWAKE DUNIANI PAMOJA NA UBORESHAJI WA DAFTARI LA KUDUMU LA WAPIGA KURA IFAKARA TC

    February 27, 2025
  • MAFUNZO KWA WATENDAJI NGAZI YA JIMBO JUU YA UBORESHAJI WA DAFTARI LA KUDUMU LA WAPIGA KURA

    February 22, 2025
  • UBORESHAJI WA DAFTARI LA KUDUMU LA WAPIGA KURA JIMBO LA KILOMBERO KUANZA TAREHE 1 MACHI, 2025 HADI TAREHE 7 MACHI 2025

    February 24, 2025
  • Ona yote

Video

Shangwe la Mkesha wa Mwenge 2025 Uwanja wa CCM Mkamba Kidatu Msanii wa Muziki MC Hamza akiimba na wanaIfakara, Tarehe 17-04-2025.
More Videos

Kurasa za Haraka

  • MATOKEO KIDATO CHA NNE 2024
  • MATOKEO YA KIDATO CHA SITA 2024
  • MATOKEO YA KIDATO CHA PILI 2024
  • Ramani ya halmashauri ya mji wa Ifakara
  • BOFYA HAPA KUOMBA KITAMBULISHO CHA WAJASILIAMALI WADOGO
  • CHF

Kurasa Mfanano

  • Tovuti kuu ya serikali
  • Wizara ya Tamisemi
  • Wizara ya utumishi wa uma
  • Tovuti ya mkoa wa Morogoro
  • Tovuti ya Ajira Tanzania

World visitors tracker

world map hits counter

Visitors Counter

free HitCounter

Location Map

Mawasiliano Yetu

    Kibaoni - Bomani

    Sanduku la Barua: 433 Ifakara

    Simu ya Mezani: +255 (0)23 - 2934212

    Simu ya Mkononi: -

    Barua Pepe: td@ifakaratc.go.tz / info@ifakaratc.go.tz

Other Contacts

   

    • Sera ya Uhifadhi
    • Kanusho
    • Ramani
    • Huduma

Haki Miliki @2018 Halmashauri ya Mji wa Ifakara . Haki zote zimehifadhiwa