• Mawasiliano Yetu |
    • Maswali ya mara kwa mara |
    • Barua pepe za Watumishi |
    • Malalamiko |
Ifakara Town Council
Ifakara Town Council

Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Ofisi ya Rais Tawala za Mikoa na Serikali za Mitaa Halmashauri ya Mji Ifakara

  • Mwanzo
  • Kuhusu Sisi
    • Wasifu wa Halmashauri
    • Dira na Dhamira
    • Maadili ya msingi
    • Mikakati
  • Utawala
    • Muundo wa Halmashauri
    • Idara
      • Ujenzi
      • Utawala na Rasilimali Watu
      • Fedha na Biashara
      • Mipango,Takwimu & Ufuatiliaji
      • Elimu Msingi
      • Elimu Sekondari
      • Afya
      • Usafi na Mazingira
      • Kilimo,Ushirika & Umwagiliaji
      • Mifugo na Uvuvi
      • Maji
      • Maendeleo ya Jamii
      • Ardhi na Maliasili
    • Vitengo
      • Manunuzi & Ugavi
      • Sheria
      • TEHAMA
      • Uchaguzi
      • Ufugaji Nyuki
      • Mkaguzi wa Ndani
  • Fursa za Uwekezaji
    • Maeneo ya Uwekezaji
  • Huduma
    • Ukodishaji wa Mitambo
    • Upimaji,Usanifu wa Viwanja,Majengo &Mashamba
  • Madiwani
    • Orodha ya waheshimiwa Madiwani
    • Kamati za kudumu
    • Ratiba za kudumu
    • Kata
      • Mbasa
      • Katindiuka
      • Mlabani
      • Lumemo
      • Kibaoni
      • Viwanja sitini
      • Ifakara
      • Michenga
      • Lipangalala
  • Miradi
    • Miradi inayoendelea
    • Miradi Iliyokamilika
    • Itakayotekelezwa
  • Machapisho
    • CHF iliyoboreshwa
    • Miongozo
    • Ripoti
    • Kanuni
    • Mkataba wa Huduma kwa Mteja
  • Kituo cha Habari
    • Taarifa kwa Vyombo vya Habari
    • Hotuba
    • Maktaba ya Video
    • Maktaba ya Picha
  • Mifumo

WENYEVITI WA SERIKALI ZA MITAA WATAKIWA KUWA MSTARI WA MBELE KATIKA KUTATUA KERO ZA WANANCHI

Posted on: January 7th, 2025

Wenyeviti wa Vitongoji, Vijiji na Mitaa wa Halmashauri ya Mji Ifakara wametakiwa kuhakikisha wanasikiliza na kutatua kero mbalimbali zinazowakabili wananchi katika maeneo yao.


Hayo yamesemwa   Januari 7 ,2024 na Afisa Tawala wa Wilaya ya Kilombero Phabius Byamungu alipokua akimuwakilisha Mkuu wa Wilaya ya Kilombero Mhe. Wakili Dunstan Kyobya aliyekuwa Mgeni Rasmi wakati wa   kufungua Mafunzo Elekezi kwa  Wenyeviti wa Mitaa, Vitongoji na Vijiji katika Ukumbi wa Mlimba uliopo Halmashauri ya Mji Ifakara.


Aidha aliwataka  Wenyeviti hao  kuhakikisha wanasimamia suala la Ulinzi na usalama katika maeneo yao, kupambana na Rushwa, kupinga ukatili wa kijinsia, kusimamia Mazingira, kushiriki katika miradi ya Maendeleo na kuibua vyanzo vya mapato.


" Twende tukatende haki tukawasikilize Wananchi wetu, tukasimamie majukumu yetu,tunatarajia ninyi ndio muwe mfano na walimu mara baada ya Mafunzo haya". Alieleza Bw .Byamungu


Mmoja wa  Wenyeviti hao Bw. Geoffrey Mtapika ambaye ni Mwenyekiti wa Kijiji cha Njokamoni  Kata ya Mang' ula aliishukuru  Halmashauri ya Mji Ifakara kwa  kuwapatia Mafunzo hayo kwani yatakua muongozo katika majukumu yao na kuahidi kuboresha maeneo yote yaliyokua na mapungufu .


"Ninashukuru kwa Mafunzo haya kwani yananipa mwanga katika Shughuli zangu za kiutendaji".Alisema Bw. Geofrey.


Kwa upande wake Mkuu wa Idara ya Utawala na Usimamizi wa Rasilimaliwatu wa Halmashauri ya Mji Ifakara Bw. Rashid Semngoya alisema Mafunzo hayo yameandaliwa kwa Viongozi hao Ili waweze kutambua majukumu yao na kufanya Kazi kwa ufanisi. Aidha Mafunzo hayo yalitolewa na  wawezeshaji  kutoka Chuo cha Serikali za Mitaa  (LGTI) - Hombolo .





Matangazo

  • KUITWA USAILI BVR TARAFA YA MANG'ULA February 07, 2025
  • KUITWA USAILI BVR TARAFA YA IFAKARA February 07, 2025
  • KUITWA USAILI BVR TARAFA YA KIDATU February 07, 2025
  • TANGAZO KWA WATUMISHI WOTE HALMASHAURI YA MJI IFAKARA November 01, 2022
  • Ona yote

Habari Mpya

  • MKUTANO WA TRA NA WAFANYABIASHARA WILAYA YA KILOMBERO

    March 05, 2025
  • HAMASA YATOLEWA KWA JAMII YA WAFUGAJI KUSHIRIKI MAADHIMISHO SIKU YA WANAWAKE DUNIANI PAMOJA NA UBORESHAJI WA DAFTARI LA KUDUMU LA WAPIGA KURA IFAKARA TC

    February 27, 2025
  • MAFUNZO KWA WATENDAJI NGAZI YA JIMBO JUU YA UBORESHAJI WA DAFTARI LA KUDUMU LA WAPIGA KURA

    February 22, 2025
  • UBORESHAJI WA DAFTARI LA KUDUMU LA WAPIGA KURA JIMBO LA KILOMBERO KUANZA TAREHE 1 MACHI, 2025 HADI TAREHE 7 MACHI 2025

    February 24, 2025
  • Ona yote

Video

Shangwe la Mkesha wa Mwenge 2025 Uwanja wa CCM Mkamba Kidatu Msanii wa Muziki MC Hamza akiimba na wanaIfakara, Tarehe 17-04-2025.
More Videos

Kurasa za Haraka

  • MATOKEO KIDATO CHA NNE 2024
  • MATOKEO YA KIDATO CHA SITA 2024
  • MATOKEO YA KIDATO CHA PILI 2024
  • Ramani ya halmashauri ya mji wa Ifakara
  • BOFYA HAPA KUOMBA KITAMBULISHO CHA WAJASILIAMALI WADOGO
  • CHF

Kurasa Mfanano

  • Tovuti kuu ya serikali
  • Wizara ya Tamisemi
  • Wizara ya utumishi wa uma
  • Tovuti ya mkoa wa Morogoro
  • Tovuti ya Ajira Tanzania

World visitors tracker

world map hits counter

Visitors Counter

free HitCounter

Location Map

Mawasiliano Yetu

    Kibaoni - Bomani

    Sanduku la Barua: 433 Ifakara

    Simu ya Mezani: +255 (0)23 - 2934212

    Simu ya Mkononi: -

    Barua Pepe: td@ifakaratc.go.tz / info@ifakaratc.go.tz

Other Contacts

   

    • Sera ya Uhifadhi
    • Kanusho
    • Ramani
    • Huduma

Haki Miliki @2018 Halmashauri ya Mji wa Ifakara . Haki zote zimehifadhiwa