• Mawasiliano Yetu |
    • Maswali ya mara kwa mara |
    • Barua pepe za Watumishi |
    • Malalamiko |
Ifakara Town Council
Ifakara Town Council

Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Ofisi ya Rais Tawala za Mikoa na Serikali za Mitaa Halmashauri ya Mji Ifakara

  • Mwanzo
  • Kuhusu Sisi
    • Wasifu wa Halmashauri
    • Dira na Dhamira
    • Maadili ya msingi
    • Mikakati
  • Utawala
    • Muundo wa Halmashauri
    • Idara
      • Ujenzi
      • Utawala na Rasilimali Watu
      • Fedha na Biashara
      • Mipango,Takwimu & Ufuatiliaji
      • Elimu Msingi
      • Elimu Sekondari
      • Afya
      • Usafi na Mazingira
      • Kilimo,Ushirika & Umwagiliaji
      • Mifugo na Uvuvi
      • Maji
      • Maendeleo ya Jamii
      • Ardhi na Maliasili
    • Vitengo
      • Manunuzi & Ugavi
      • Sheria
      • TEHAMA
      • Uchaguzi
      • Ufugaji Nyuki
      • Mkaguzi wa Ndani
  • Fursa za Uwekezaji
    • Maeneo ya Uwekezaji
  • Huduma
    • Ukodishaji wa Mitambo
    • Upimaji,Usanifu wa Viwanja,Majengo &Mashamba
  • Madiwani
    • Orodha ya waheshimiwa Madiwani
    • Kamati za kudumu
    • Ratiba za kudumu
    • Kata
      • Mbasa
      • Katindiuka
      • Mlabani
      • Lumemo
      • Kibaoni
      • Viwanja sitini
      • Ifakara
      • Michenga
      • Lipangalala
  • Miradi
    • Miradi inayoendelea
    • Miradi Iliyokamilika
    • Itakayotekelezwa
  • Machapisho
    • CHF iliyoboreshwa
    • Miongozo
    • Ripoti
    • Kanuni
    • Mkataba wa Huduma kwa Mteja
  • Kituo cha Habari
    • Taarifa kwa Vyombo vya Habari
    • Hotuba
    • Maktaba ya Video
    • Maktaba ya Picha
  • Mifumo

WATUMISHI HALMASHAURI YA MJI IFAKARA NA HALAMSAHURI YA WILAYA MLIMBA WAJENGEWA UWEZO JUU YA UTEKELEZAJI WA MFUMO WA USIMAMIZI WA UTENDAJI KAZI KATIKA UTUMISHI WA UMMA (e -UTENDAJI).

Posted on: June 26th, 2025


Na: Nuru Mangalili – Ifakara Tc , Habari

Wataalam Wilaya ya Kilombero wapatiwa mafunzo ya kuwajengea  uwezo juu ya Utekelezaji wa Mfumo wa Usimamizi wa Utendaji kazi katika Utumishi wa UMMA (e - Utendaji) leo Alhamisi tarehe 26 Juni 2025 katika Ukumbi wa Halmashauri ya Mlimba uliopo Ifakara Mji. Wawezeshaji  katika Kikao hicho ni Bi. Shomi Jonas na Bw.  Mutani Josephat Manyama kutoka Ofisi ya Rais, Menejimenti ya Utumishi wa Umma na Utawala Bora.

Aidha, Mafunzo hayo yamehudhuriwa na Wakurugenzi wa Halmashauri za Mji Ifakara na Halmashauri ya Wilaya Mlimba, Wakuu wa Idara, Vitengo, na Sehemu. Wafawidhi wa Vituo vya kutolea huduma za Afya, Maafisa Elimu Kata na Watendaji wa Kata wa Halmashauri zote mbili ambazo ni Halmashauri ya Mji Ifakara na Halmashauri ya Wilaya Mlimba.

Akizungumza wakati akihitimisha Mafunzo hayo Katibu Tawala wa Wilaya ya Kilombero Ndugu Abraham Mwaikwila aliwashukuru Wawezeshaji hao kwa kuwasaidia watumishi kuendelea kuuelewa Mfumo huo wa kupima utendaji kazi na shughuli zinazofanyika kila siku za Mtumishi kwa njia ya Mtandao.

“Kadri tunavyozidi kuutumia Mfumo  huu ndivyo tunavyozidi kuuelewa zaidi, Kikao hiki kimeendelea kutusaidia zaidi namna ya kutumia mfumo huu Vizuri tunawashukuru kwa mafunzo”. Alieleza Ndugu, Mwaikwila.

Kwa upande wake Kaimu Mkurugenzi wa Halmashauri ya Mji Ifakara Bw. Thomas Luambano alitoa Rai kwa kila Mtumishi kuhakikisha anafuatilia Mpango Mkakati na Malengo yake katika Mfumo huo wa Utendaji Kazi kwa Watumishi ili waweze kutumia Mfumo huo kwa wepesi


Wakati huohuo  Mkuu wa Idara ya Utawala na Usimamizi wa  Rasilimali Watu Bw. Rashidi Semngoya  aliendelea kusisitiza watumishi kujaza majukumu yao ya kila siku katika Mfumo  huo 

”Mfumo huo utaamua utendaji kazi wa Mtumishi kama Mtu hatajaza majukumu yake ya kila siku mfumo unaweza kusababisha watumishi kutokwenda likizo, kukosa Mshahara, kutokupanda Vyeo, kushindwa kupata Mkopo n.k hivyo kila mtumishi ahakikishe anajaza na kutuma kwa Mkuu wake wa Idara, Kitengo na Sehemu na sisi Viongozi tunatakiwa tuhakikishe tuna idhinisha  kazi za Watumishi  na kuwafanyia tathmini .”. Alisisitiza Bw. Semgoya

Aidha, mmoja kati ya Wakufunzi hao kutoka Ofisi ya Rais, Menejimenti ya Utumishi wa Umma na Utawala Bora Bw.  Mutani Manyama alisisitiza Viongozi kuhakikisha wanatekeleza majukumu yao kwa kuwafanyia tahmini watumishi kwenye Mfumo kwani wasipofanya hivyo Serikali itakosa taarifa za Mtumishi kwenye Mfumo .

Matangazo

  • KUITWA USAILI BVR TARAFA YA MANG'ULA February 07, 2025
  • KUITWA USAILI BVR TARAFA YA IFAKARA February 07, 2025
  • KUITWA USAILI BVR TARAFA YA KIDATU February 07, 2025
  • TANGAZO KWA WATUMISHI WOTE HALMASHAURI YA MJI IFAKARA November 01, 2022
  • Ona yote

Habari Mpya

  • WATUMISHI HALMASHAURI YA MJI IFAKARA NA HALMASHAURI YA WILAYA MLIMBA WAJENGEWA UWEZO JUU YA UTEKELEZAJI WA MFUMO WA USIMAMIZI WA UTENDAJI KAZI KATIKA UTUMISHI WA UMMA (e -UTENDAJI).

    June 26, 2025
  • WATUMISHI HALMASHAURI YA MJI IFAKARA NA HALAMSAHURI YA WILAYA MLIMBA WAJENGEWA UWEZO JUU YA UTEKELEZAJI WA MFUMO WA USIMAMIZI WA UTENDAJI KAZI KATIKA UTUMISHI WA UMMA (e -UTENDAJI).

    June 26, 2025
  • WAKULIMA WA HALMASHAURI YA MJI IFAKARA WAHAKIKISHIWA KUENDELEA KUZALISHA MAZAO NA KUPATA FAIDA ZAIDI KUPITIA MFUMO WA STAKABADHI GHALANI

    June 11, 2025
  • VIZIMBA MAALUM VYA KUTUPA MAKOPO YA VIUWATILIFU VYATAKIWA KUJENGWA KATIKA KATA ZA HALMASHAURI YA MJI IFAKARA.

    June 05, 2025
  • Ona yote

Video

Shangwe la Mkesha wa Mwenge 2025 Uwanja wa CCM Mkamba Kidatu Msanii wa Muziki MC Hamza akiimba na wanaIfakara, Tarehe 17-04-2025.
More Videos

Kurasa za Haraka

  • MATOKEO KIDATO CHA NNE 2024
  • MATOKEO YA KIDATO CHA SITA 2024
  • MATOKEO YA KIDATO CHA PILI 2024
  • Ramani ya halmashauri ya mji wa Ifakara
  • BOFYA HAPA KUOMBA KITAMBULISHO CHA WAJASILIAMALI WADOGO
  • CHF

Kurasa Mfanano

  • Tovuti kuu ya serikali
  • Wizara ya Tamisemi
  • Wizara ya utumishi wa uma
  • Tovuti ya mkoa wa Morogoro
  • Tovuti ya Ajira Tanzania

World visitors tracker

world map hits counter

Visitors Counter

free HitCounter

Location Map

Mawasiliano Yetu

    Kibaoni - Bomani

    Sanduku la Barua: 433 Ifakara

    Simu ya Mezani: +255 (0)23 - 2934212

    Simu ya Mkononi: -

    Barua Pepe: td@ifakaratc.go.tz / info@ifakaratc.go.tz

Other Contacts

   

    • Sera ya Uhifadhi
    • Kanusho
    • Ramani
    • Huduma

Haki Miliki @2018 Halmashauri ya Mji wa Ifakara . Haki zote zimehifadhiwa