• Mawasiliano Yetu |
    • Maswali ya mara kwa mara |
    • Barua pepe za Watumishi |
    • Malalamiko |
Ifakara Town Council
Ifakara Town Council

Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Ofisi ya Rais Tawala za Mikoa na Serikali za Mitaa Halmashauri ya Mji Ifakara

  • Mwanzo
  • Kuhusu Sisi
    • Wasifu wa Halmashauri
    • Dira na Dhamira
    • Maadili ya msingi
    • Mikakati
  • Utawala
    • Muundo wa Halmashauri
    • Idara
      • Ujenzi
      • Utawala na Rasilimali Watu
      • Fedha na Biashara
      • Mipango,Takwimu & Ufuatiliaji
      • Elimu Msingi
      • Elimu Sekondari
      • Afya
      • Usafi na Mazingira
      • Kilimo,Ushirika & Umwagiliaji
      • Mifugo na Uvuvi
      • Maji
      • Maendeleo ya Jamii
      • Ardhi na Maliasili
    • Vitengo
      • Manunuzi & Ugavi
      • Sheria
      • TEHAMA
      • Uchaguzi
      • Ufugaji Nyuki
      • Mkaguzi wa Ndani
  • Fursa za Uwekezaji
    • Maeneo ya Uwekezaji
  • Huduma
    • Ukodishaji wa Mitambo
    • Upimaji,Usanifu wa Viwanja,Majengo &Mashamba
  • Madiwani
    • Orodha ya waheshimiwa Madiwani
    • Kamati za kudumu
    • Ratiba za kudumu
    • Kata
      • Mbasa
      • Katindiuka
      • Mlabani
      • Lumemo
      • Kibaoni
      • Viwanja sitini
      • Ifakara
      • Michenga
      • Lipangalala
  • Miradi
    • Miradi inayoendelea
    • Miradi Iliyokamilika
    • Itakayotekelezwa
  • Machapisho
    • CHF iliyoboreshwa
    • Miongozo
    • Ripoti
    • Kanuni
    • Mkataba wa Huduma kwa Mteja
  • Kituo cha Habari
    • Taarifa kwa Vyombo vya Habari
    • Hotuba
    • Maktaba ya Video
    • Maktaba ya Picha
  • Mifumo

WATENDAJI WA KATA 19 ZA HALMASHAURI YA MJI IFAKARA WAKABIDHIWA PIKIPIKI.

Posted on: November 16th, 2024

Watendaji wa Kata 19 za Halmashauri ya Mji Ifakara  wamekabidhiwa Pikipiki ikiwa ni njia ya kutatua changamoto ya usafiri iliyokua ikiwakabili watendaji hao  hasa  katika utekelezaji wa majukumu yao ya kila siku.


Hafla hiyo imefanyika  Jumamosi tarehe 16 Novemba 2024 katika Ukumbi wa Halmashauri ya Mlimba uliopo Halmashauri ya Mji Ifakara.


Pikipiki hizo zilinunuliwa mara baada ya Mkurugenzi wa Halmashauri ya Mji Ifakara  Bi . Zahara Michuzi kukataa kununuliwa gari kutoka kwenye  Fedha za mapato ya ndani kiasi cha Shilingi Milioni 186,000,0000 zilizokua zimetengwa kwaajili ya Ununuzi wa Gari la Mkurugenzi, Hivyo badala yake akaomba fedha hizo zielekezwe  kwenye matumizi ya ununuzi wa Pikipiki za watendaji wa Kata 19 za Halmashauri ya Mji Ifakara, na kiasi kinachobakia kielezwe kwenye shughuli nyingine za miradi mbali mbali ya Maendeleo.


Hivyo  kupitia  Vikao mbalimbali vya kisheria vya Halmashauri, CMT na Madiwani wa Halmashauri ya Mji Ifakara kwa pamoja waliridhia ombi hilo la  ununuzi wa Pikipiki 19  zenye thamani ya Shilingi Milioni 67,450,000 kwa ajili ya watendaji wa kata wote 19.


"Niliona Watendaji  wa Kata wakipata shida  ya usafiri  katika kufikia  maeneo mbalimbali katika Kata zao , na wakati mwingine kuchelewesha kuhudumia Wananchi kwa wakati na hata kushindwa kufikia  vyanzo vyao vya mapato kwa ukamilifu, hivyo naamini kwa usafiri huu utawasaidia kusimamia kazi zao na Kutatua kero mbalimbali za wananchi". Alisema Bi. Zahara


 Mtendaji wa Kata ya Mwaya Bw. Acley Mhenga alimshukuru  Mkurugenzi huyo kwa kuwatatulia changamoto hizo  na kuwasihi watendaji wenzake  kuzitunza na kuzitumia vizuri Pikipiki hizo ili ziwe chachu ya  kufanya Kazi kwa weledi na ufanisi zaidi.


Mgeni Rasmi katika hafla hiyo alikua Mkuu wa Wilaya ya Kilombero Mhe. Wakili Danstan Kyobya ambaye alimpongeza sana Mkurugenzi kwa uthubutu huo wa kuwajali watendaji wenzake wa kada ya chini kwa kuwaondolea adha ya muda mrefu ya  kukosa usafiri, na kuwasihi kwenda kuzitumia Pikipiki hizo kwa Kazi za Serikali kwa kutatua changamoto na kero za Wananchi.









Matangazo

  • KUITWA USAILI BVR TARAFA YA MANG'ULA February 07, 2025
  • KUITWA USAILI BVR TARAFA YA IFAKARA February 07, 2025
  • KUITWA USAILI BVR TARAFA YA KIDATU February 07, 2025
  • TANGAZO KWA WATUMISHI WOTE HALMASHAURI YA MJI IFAKARA November 01, 2022
  • Ona yote

Habari Mpya

  • MKUTANO WA TRA NA WAFANYABIASHARA WILAYA YA KILOMBERO

    March 05, 2025
  • HAMASA YATOLEWA KWA JAMII YA WAFUGAJI KUSHIRIKI MAADHIMISHO SIKU YA WANAWAKE DUNIANI PAMOJA NA UBORESHAJI WA DAFTARI LA KUDUMU LA WAPIGA KURA IFAKARA TC

    February 27, 2025
  • MAFUNZO KWA WATENDAJI NGAZI YA JIMBO JUU YA UBORESHAJI WA DAFTARI LA KUDUMU LA WAPIGA KURA

    February 22, 2025
  • UBORESHAJI WA DAFTARI LA KUDUMU LA WAPIGA KURA JIMBO LA KILOMBERO KUANZA TAREHE 1 MACHI, 2025 HADI TAREHE 7 MACHI 2025

    February 24, 2025
  • Ona yote

Video

Shangwe la Mkesha wa Mwenge 2025 Uwanja wa CCM Mkamba Kidatu Msanii wa Muziki MC Hamza akiimba na wanaIfakara, Tarehe 17-04-2025.
More Videos

Kurasa za Haraka

  • MATOKEO KIDATO CHA NNE 2024
  • MATOKEO YA KIDATO CHA SITA 2024
  • MATOKEO YA KIDATO CHA PILI 2024
  • Ramani ya halmashauri ya mji wa Ifakara
  • BOFYA HAPA KUOMBA KITAMBULISHO CHA WAJASILIAMALI WADOGO
  • CHF

Kurasa Mfanano

  • Tovuti kuu ya serikali
  • Wizara ya Tamisemi
  • Wizara ya utumishi wa uma
  • Tovuti ya mkoa wa Morogoro
  • Tovuti ya Ajira Tanzania

World visitors tracker

world map hits counter

Visitors Counter

free HitCounter

Location Map

Mawasiliano Yetu

    Kibaoni - Bomani

    Sanduku la Barua: 433 Ifakara

    Simu ya Mezani: +255 (0)23 - 2934212

    Simu ya Mkononi: -

    Barua Pepe: td@ifakaratc.go.tz / info@ifakaratc.go.tz

Other Contacts

   

    • Sera ya Uhifadhi
    • Kanusho
    • Ramani
    • Huduma

Haki Miliki @2018 Halmashauri ya Mji wa Ifakara . Haki zote zimehifadhiwa