• Mawasiliano Yetu |
    • Maswali ya mara kwa mara |
    • Barua pepe za Watumishi |
    • Malalamiko |
Ifakara Town Council
Ifakara Town Council

Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Ofisi ya Rais Tawala za Mikoa na Serikali za Mitaa Halmashauri ya Mji Ifakara

  • Mwanzo
  • Kuhusu Sisi
    • Wasifu wa Halmashauri
    • Dira na Dhamira
    • Maadili ya msingi
    • Mikakati
  • Utawala
    • Muundo wa Halmashauri
    • Idara
      • Ujenzi
      • Utawala na Rasilimali Watu
      • Fedha na Biashara
      • Mipango,Takwimu & Ufuatiliaji
      • Elimu Msingi
      • Elimu Sekondari
      • Afya
      • Usafi na Mazingira
      • Kilimo,Ushirika & Umwagiliaji
      • Mifugo na Uvuvi
      • Maji
      • Maendeleo ya Jamii
      • Ardhi na Maliasili
    • Vitengo
      • Manunuzi & Ugavi
      • Sheria
      • TEHAMA
      • Uchaguzi
      • Ufugaji Nyuki
      • Mkaguzi wa Ndani
  • Fursa za Uwekezaji
    • Maeneo ya Uwekezaji
  • Huduma
    • Ukodishaji wa Mitambo
    • Upimaji,Usanifu wa Viwanja,Majengo &Mashamba
  • Madiwani
    • Orodha ya waheshimiwa Madiwani
    • Kamati za kudumu
    • Ratiba za kudumu
    • Kata
      • Mbasa
      • Katindiuka
      • Mlabani
      • Lumemo
      • Kibaoni
      • Viwanja sitini
      • Ifakara
      • Michenga
      • Lipangalala
  • Miradi
    • Miradi inayoendelea
    • Miradi Iliyokamilika
    • Itakayotekelezwa
  • Machapisho
    • CHF iliyoboreshwa
    • Miongozo
    • Ripoti
    • Kanuni
    • Mkataba wa Huduma kwa Mteja
  • Kituo cha Habari
    • Taarifa kwa Vyombo vya Habari
    • Hotuba
    • Maktaba ya Video
    • Maktaba ya Picha
  • Mifumo

Mafunzo Mfumo wa Upimaji Utendaji Kazi Yatolewa

Posted on: December 11th, 2023

Wakuu wa Divisheni na Vitengo wa Halmashauri za Ifakara,Mlimba,Ulanga na Malinyi  wamehudhuria mafunzo ya mfumo wa Upimaji  Utendaji kazi wa Taasisi - PIPMIS na yale ya Mfumo wa Upimaji Utendaji kazi kwa Watumishi wa Umma -PEPMIS

Mafunzo hayo yameanza leo Disemba 11,2025 hadi  Disemba 16 2023 katika ukumbi wa Halmashauri ya Mji Ifakara yaliyoandaliwa na Ofisi ya Rais-Menejimenti ya Utumishi wa Umma na Utawala bora, yakiwahusisha pia Wakurugenzi wa Halmashauri hizo.

Akifungua mafunzo hayo Mkuu wa Wilaya ya Kilombero Mhe.Dunstan Kyobya,amewataka Watumishi hao kuzingatia mafunzo yanayotolewa  kwani yataongeza umakini katika vituo vyao vya kazi na kutoa taarifa ya uwajibikaji wa kila siku. “Nawasihi watumishi mnaopata mafunzo haya ambayo yanafanyika nchi nzima hakikisheni mnatoa ushirikiano katika kuhakikisha tunafikia kusudio la serikali kufikia malengo yaliyowekwa.” Amesisitiza Kyobya.

Kwa Upande wake Afisa kutoka Ofisi ya Rais-Menejimenti ya Utumishi na Umma Utawala bora ametoa maelekezo ya kuhakikisha usimamizi wa utendaji kazi  katika Utumishi wa Umma unazingatiwa kwa kufuata vigezo wakati wote na upimaji wa utendaji kazi kwa watumishi wa serikali uzingatiwe.

Mifumo hii ya kielektroniki ya Usimamizi wa Utendaji kazi( PEPMIS na  PIPMIS) pamoja na  mfumo wa Tathmini ya rasilimali watu ili kujiridhisha kama majukumu yanatekelezwa ipasavyo imeanza tangu Septemba 2023 ambapo  itasaidia kubaini hali ya mahitaji ya rasilimali watu,kufanya tathmini ya uhitaji wa Maafisa, wasaidizi na watumishi wanaohitajika ili kupata mahitaji sahihi ya watumishi  wanaohitajika kwani mfumo utachakata wenyewe idadi ya mahitaji ya watumishi wanaohitajika.

Mbali na hayo Mifumo itasaidia maombi ya uhamisho kufanyika kwa urahisi, usimamizi wa Utendaji kazi,utoaji wa taarifa za uwajibikaji,upangaji wa malengo na shuhuli za idara husika pamoja na uombaji wa mikopo bila kupoteza muda na gharama zisizo za lazima.

Matukio Katika Picha:


Matangazo

  • KUITWA USAILI BVR TARAFA YA MANG'ULA February 07, 2025
  • KUITWA USAILI BVR TARAFA YA IFAKARA February 07, 2025
  • KUITWA USAILI BVR TARAFA YA KIDATU February 07, 2025
  • TANGAZO KWA WATUMISHI WOTE HALMASHAURI YA MJI IFAKARA November 01, 2022
  • Ona yote

Habari Mpya

  • MKUTANO WA TRA NA WAFANYABIASHARA WILAYA YA KILOMBERO

    March 05, 2025
  • HAMASA YATOLEWA KWA JAMII YA WAFUGAJI KUSHIRIKI MAADHIMISHO SIKU YA WANAWAKE DUNIANI PAMOJA NA UBORESHAJI WA DAFTARI LA KUDUMU LA WAPIGA KURA IFAKARA TC

    February 27, 2025
  • MAFUNZO KWA WATENDAJI NGAZI YA JIMBO JUU YA UBORESHAJI WA DAFTARI LA KUDUMU LA WAPIGA KURA

    February 22, 2025
  • UBORESHAJI WA DAFTARI LA KUDUMU LA WAPIGA KURA JIMBO LA KILOMBERO KUANZA TAREHE 1 MACHI, 2025 HADI TAREHE 7 MACHI 2025

    February 24, 2025
  • Ona yote

Video

Shangwe la Mkesha wa Mwenge 2025 Uwanja wa CCM Mkamba Kidatu Msanii wa Muziki MC Hamza akiimba na wanaIfakara, Tarehe 17-04-2025.
More Videos

Kurasa za Haraka

  • MATOKEO KIDATO CHA NNE 2024
  • MATOKEO YA KIDATO CHA SITA 2024
  • MATOKEO YA KIDATO CHA PILI 2024
  • Ramani ya halmashauri ya mji wa Ifakara
  • BOFYA HAPA KUOMBA KITAMBULISHO CHA WAJASILIAMALI WADOGO
  • CHF

Kurasa Mfanano

  • Tovuti kuu ya serikali
  • Wizara ya Tamisemi
  • Wizara ya utumishi wa uma
  • Tovuti ya mkoa wa Morogoro
  • Tovuti ya Ajira Tanzania

World visitors tracker

world map hits counter

Visitors Counter

free HitCounter

Location Map

Mawasiliano Yetu

    Kibaoni - Bomani

    Sanduku la Barua: 433 Ifakara

    Simu ya Mezani: +255 (0)23 - 2934212

    Simu ya Mkononi: -

    Barua Pepe: td@ifakaratc.go.tz / info@ifakaratc.go.tz

Other Contacts

   

    • Sera ya Uhifadhi
    • Kanusho
    • Ramani
    • Huduma

Haki Miliki @2018 Halmashauri ya Mji wa Ifakara . Haki zote zimehifadhiwa