• Mawasiliano Yetu |
    • Maswali ya mara kwa mara |
    • Barua pepe za Watumishi |
    • Malalamiko |
Ifakara Town Council
Ifakara Town Council

Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Ofisi ya Rais Tawala za Mikoa na Serikali za Mitaa Halmashauri ya Mji Ifakara

  • Mwanzo
  • Kuhusu Sisi
    • Wasifu wa Halmashauri
    • Dira na Dhamira
    • Maadili ya msingi
    • Mikakati
  • Utawala
    • Muundo wa Halmashauri
    • Idara
      • Ujenzi
      • Utawala na Rasilimali Watu
      • Fedha na Biashara
      • Mipango,Takwimu & Ufuatiliaji
      • Elimu Msingi
      • Elimu Sekondari
      • Afya
      • Usafi na Mazingira
      • Kilimo,Ushirika & Umwagiliaji
      • Mifugo na Uvuvi
      • Maji
      • Maendeleo ya Jamii
      • Ardhi na Maliasili
    • Vitengo
      • Manunuzi & Ugavi
      • Sheria
      • TEHAMA
      • Uchaguzi
      • Ufugaji Nyuki
      • Mkaguzi wa Ndani
  • Fursa za Uwekezaji
    • Maeneo ya Uwekezaji
  • Huduma
    • Ukodishaji wa Mitambo
    • Upimaji,Usanifu wa Viwanja,Majengo &Mashamba
  • Madiwani
    • Orodha ya waheshimiwa Madiwani
    • Kamati za kudumu
    • Ratiba za kudumu
    • Kata
      • Mbasa
      • Katindiuka
      • Mlabani
      • Lumemo
      • Kibaoni
      • Viwanja sitini
      • Ifakara
      • Michenga
      • Lipangalala
  • Miradi
    • Miradi inayoendelea
    • Miradi Iliyokamilika
    • Itakayotekelezwa
  • Machapisho
    • CHF iliyoboreshwa
    • Miongozo
    • Ripoti
    • Kanuni
    • Mkataba wa Huduma kwa Mteja
  • Kituo cha Habari
    • Taarifa kwa Vyombo vya Habari
    • Hotuba
    • Maktaba ya Video
    • Maktaba ya Picha
  • Mifumo

"WAKULIMA WANUFAIKE NA UWEPO WA KIWANDA CHA SUKARI KILOMBERO "MHE.WAKILI DUNSTAN KYOBYA

Posted on: February 7th, 2025

Mkuu wa Wilaya ya Kilombero Mhe. Wakili Dunstan Kyobya amesema uwepo wa Kampuni ya  Sukari Kilombero uwe chachu ya  kuwanufaisha  wakulima wa Miwa katika Wilaya hiyo .

Hayo ameyasema leo Alhamisi Februari 6, 2025 wakati alipokuwa Mgeni Rasmi katika Mkutano wa Wadau wa ndani wa Kampuni ya Sukari Kilombero akimuwakilisha Mkuu wa Mkoa wa Morogoro Mhe. Adam Kighoma Malima .Mkutano huo uliofanyika katika Ukumbi wa Mikutano uliopo katika Kampuni hiyo Kata ya Kidatu - Ifakara.

"Zone zifanyike vizuri ,teknolojia ya Uzalishaji iongezeke ili wakulima wazalishe kwa tija". Alieleza Mhe. Kyobya 

Aidha Mkutano huo ulihudhuriwa na Naibu Waziri wa Mambo ya Nje Ushirikiano wa Afrika Mashariki anayeshughulikia Masuala ya Afrika Mashariki Mhe. Dennis Londo( MB) ambapo aliwataka Viongozi katika Maeneo hayo  kuwa daraja la kuwaunganisha Wananchi na  Kampuni hiyo ya Sukari  kwa kuendelea kudumisha amani , utulivu na mahusiano mazuri baina yao.

" Bonde hili linategemea muwa kama chanzo cha Uchumi, Viongozi mnakazi ya kusimamia amani na utulivu, kwenye  utulivu na amani lazima kuwe na uzalishaji wenye tija". Alisisitiza Mhe.  Londo

Aidha DC Kyobya alisisitiza kila AMCOS ihakikishe inapanda Miche ya Matunda 5000 na  kuahidi kutoa miche  bure kwa AMCOS hizo .Vilevile alieleza juu ya umuhimu wa kulinda vyanzo vya maji ili kuondoa migogoro  katika vyanzo  hivyo.

Kwa upande wake Mkurugenzi wa Mahusiano na Mawasiliano wa Kampuni ya Sukari Kilombero Bw. Derrick Stanley alieleza lengo la Mkutano huo  ni kuboresha mahusiano baina ya Kampuni na Wadau wake  na  kuhakikisha mahusiano hayo yanaimarika zaidi.

" Niwapongeze  wadau wetu kuhakikisha Kiwanda  kinapata muwa kila siku, lengo kubwa ni kuhakikisha Kiwanda hiki kinapata muwa na Sukari ya uhakika". Alisema Bw. Derrick







Matangazo

  • KUITWA USAILI BVR TARAFA YA MANG'ULA February 07, 2025
  • KUITWA USAILI BVR TARAFA YA IFAKARA February 07, 2025
  • KUITWA USAILI BVR TARAFA YA KIDATU February 07, 2025
  • TANGAZO KWA WATUMISHI WOTE HALMASHAURI YA MJI IFAKARA November 01, 2022
  • Ona yote

Habari Mpya

  • MKUTANO WA TRA NA WAFANYABIASHARA WILAYA YA KILOMBERO

    March 05, 2025
  • HAMASA YATOLEWA KWA JAMII YA WAFUGAJI KUSHIRIKI MAADHIMISHO SIKU YA WANAWAKE DUNIANI PAMOJA NA UBORESHAJI WA DAFTARI LA KUDUMU LA WAPIGA KURA IFAKARA TC

    February 27, 2025
  • MAFUNZO KWA WATENDAJI NGAZI YA JIMBO JUU YA UBORESHAJI WA DAFTARI LA KUDUMU LA WAPIGA KURA

    February 22, 2025
  • UBORESHAJI WA DAFTARI LA KUDUMU LA WAPIGA KURA JIMBO LA KILOMBERO KUANZA TAREHE 1 MACHI, 2025 HADI TAREHE 7 MACHI 2025

    February 24, 2025
  • Ona yote

Video

Shangwe la Mkesha wa Mwenge 2025 Uwanja wa CCM Mkamba Kidatu Msanii wa Muziki MC Hamza akiimba na wanaIfakara, Tarehe 17-04-2025.
More Videos

Kurasa za Haraka

  • MATOKEO KIDATO CHA NNE 2024
  • MATOKEO YA KIDATO CHA SITA 2024
  • MATOKEO YA KIDATO CHA PILI 2024
  • Ramani ya halmashauri ya mji wa Ifakara
  • BOFYA HAPA KUOMBA KITAMBULISHO CHA WAJASILIAMALI WADOGO
  • CHF

Kurasa Mfanano

  • Tovuti kuu ya serikali
  • Wizara ya Tamisemi
  • Wizara ya utumishi wa uma
  • Tovuti ya mkoa wa Morogoro
  • Tovuti ya Ajira Tanzania

World visitors tracker

world map hits counter

Visitors Counter

free HitCounter

Location Map

Mawasiliano Yetu

    Kibaoni - Bomani

    Sanduku la Barua: 433 Ifakara

    Simu ya Mezani: +255 (0)23 - 2934212

    Simu ya Mkononi: -

    Barua Pepe: td@ifakaratc.go.tz / info@ifakaratc.go.tz

Other Contacts

   

    • Sera ya Uhifadhi
    • Kanusho
    • Ramani
    • Huduma

Haki Miliki @2018 Halmashauri ya Mji wa Ifakara . Haki zote zimehifadhiwa