• Mawasiliano Yetu |
    • Maswali ya mara kwa mara |
    • Barua pepe za Watumishi |
    • Malalamiko |
Ifakara Town Council
Ifakara Town Council

Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Ofisi ya Rais Tawala za Mikoa na Serikali za Mitaa Halmashauri ya Mji Ifakara

  • Mwanzo
  • Kuhusu Sisi
    • Wasifu wa Halmashauri
    • Dira na Dhamira
    • Maadili ya msingi
    • Mikakati
  • Utawala
    • Muundo wa Halmashauri
    • Idara
      • Ujenzi
      • Utawala na Rasilimali Watu
      • Fedha na Biashara
      • Mipango,Takwimu & Ufuatiliaji
      • Elimu Msingi
      • Elimu Sekondari
      • Afya
      • Usafi na Mazingira
      • Kilimo,Ushirika & Umwagiliaji
      • Mifugo na Uvuvi
      • Maji
      • Maendeleo ya Jamii
      • Ardhi na Maliasili
    • Vitengo
      • Manunuzi & Ugavi
      • Sheria
      • TEHAMA
      • Uchaguzi
      • Ufugaji Nyuki
      • Mkaguzi wa Ndani
  • Fursa za Uwekezaji
    • Maeneo ya Uwekezaji
  • Huduma
    • Ukodishaji wa Mitambo
    • Upimaji,Usanifu wa Viwanja,Majengo &Mashamba
  • Madiwani
    • Orodha ya waheshimiwa Madiwani
    • Kamati za kudumu
    • Ratiba za kudumu
    • Kata
      • Mbasa
      • Katindiuka
      • Mlabani
      • Lumemo
      • Kibaoni
      • Viwanja sitini
      • Ifakara
      • Michenga
      • Lipangalala
  • Miradi
    • Miradi inayoendelea
    • Miradi Iliyokamilika
    • Itakayotekelezwa
  • Machapisho
    • CHF iliyoboreshwa
    • Miongozo
    • Ripoti
    • Kanuni
    • Mkataba wa Huduma kwa Mteja
  • Kituo cha Habari
    • Taarifa kwa Vyombo vya Habari
    • Hotuba
    • Maktaba ya Video
    • Maktaba ya Picha
  • Mifumo

WAKULIMA WA HALMASHAURI YA MJI IFAKARA WAHAKIKISHIWA KUENDELEA KUZALISHA MAZAO NA KUPATA FAIDA ZAIDI KUPITIA MFUMO WA STAKABADHI GHALANI

Posted on: June 11th, 2025

Wakulima wa Mazao katika Halmashauri ya Mji Ifakara wamehakikishiwa  kuendelea kuzalisha Mazao yao na kupata faida zaidi kwa kupitia mfumo wa Stakabadhi za Ghala.Hayo yamesemwa tarehe 11 Juni 2025 wakati wa Kikao cha Kujadili namna ya kusimamia Utekelezaji wa Mfumo wa Stakabadhi Ghalani kwa  Wakulima wa Mazao mbalimbali hususani katika kuelekea Msimu wa Ufuta, kilichofanyika katika Ukumbi wa Mikutano uliopo katika Ofisi ya Mkuu wa Wilaya ya Kilombero.

Kikao hicho kiliongozwa na Mkuu wa Wilaya ya Kilombero Mhe. Wakili Dunstan Dominick Kyobya ambapo kilishirikisha Bodi ya Usimamzii wa Stakabadhi za Ghala kutoka Wizara ya Viwanda na Biashara, Viongozi wa Mabenki, Kaimu Mkurugenzi wa Halmashauri ya Mji Ifakara Bw. Said Majaliwa na Wataalamu kutoka Mkoa wa  Morogoro na Halmashauri ya Mji Ifakara.

Aidha Mkurugenzi wa Bodi ya Usimamizi wa Stakabadhi za Ghala Ndugu , Asangye Bangu alisema Mfumo wa Stakabadhi za Ghala  upo kuhakikisha wakulima wa Mazao mbalimbali kama Ufuta, Kokoa n.k wanapata bei za ushindani zilizoko Sokoni.

"Mkoa wa Morogoro umefanya jitihada kubwa kuhakikisha Mfumo wa Stakabadhi unafanya vizuri  hususani hapa Halmashauri ya Mji Ifakara, ambapo wakulima wataendelea kuzalisha na kupata faida nyingi". Alieleza Ndugu Asangye Bangu

Kwa upande wake Katibu Tawala wa Wilaya ya Kilombero Ndugu Abraham Mwaikwila alisema kuwa suala la Stakabadhi Ghalani linatakiwa kuendele a kuelimishwa zaidi kwa Wananchi na Wakulima ndani ya Wilaya ya Kilombero ili iweze kuwasaidia Wananchi kuondokana na umaskini kwa wakulima na kupata faida zaidi

Matangazo

  • No records found
  • Ona yote

Habari Mpya

  • MGOGORO WA MPAKA BAINA YA WANANCHI WA KIJIJI CHA MACHIPI NA HIFADHI YA MILIMA YA UDZUNGWA KATIKA ENEO LA ITULA UNATAFUTIWA SULUHU YA KUDUMU, TIMU YA WATAALAMU NA WAWAKILISHI WA WANANCHI KUFIKA ENEO HILO KWAAJILI YA KUKAGUA MIPAKA

    July 11, 2025
  • DC KYOBYA NA MENEJIMENTI (CMT) YA HALMASHAURI YA MJI IFAKARA WATEMBELEA MASOKO YA WAFANYA BIASHARA WA SAMAKI WALIOPO STENDI YA KIBAONI NA SOKO LA KARIAKOO KATIKA KATA YA VIWANJA SITINI

    July 09, 2025
  • MKURUGENZI WA HALMASHAURI YA MJI IFAKARA BI. PILLY KITWANA AWATAKA MAAFISA ELIMU KATA NA WAKUU WA SHULE ZA SEKONDARI KUSIMAMIA VIZURI MIRADI YA MAENDELEO

    July 09, 2025
  • WATUMISHI HALMASHAURI YA MJI IFAKARA NA HALMASHAURI YA WILAYA MLIMBA WAJENGEWA UWEZO JUU YA UTEKELEZAJI WA MFUMO WA USIMAMIZI WA UTENDAJI KAZI KATIKA UTUMISHI WA UMMA (e -UTENDAJI).

    June 26, 2025
  • Ona yote

Video

Shangwe la Mkesha wa Mwenge 2025 Uwanja wa CCM Mkamba Kidatu Msanii wa Muziki MC Hamza akiimba na wanaIfakara, Tarehe 17-04-2025.
More Videos

Kurasa za Haraka

  • MATOKEO KIDATO CHA NNE 2024
  • MATOKEO YA KIDATO CHA SITA 2024
  • MATOKEO YA KIDATO CHA PILI 2024
  • Ramani ya halmashauri ya mji wa Ifakara
  • BOFYA HAPA KUOMBA KITAMBULISHO CHA WAJASILIAMALI WADOGO
  • CHF

Kurasa Mfanano

  • Tovuti kuu ya serikali
  • Wizara ya Tamisemi
  • Wizara ya utumishi wa uma
  • Tovuti ya mkoa wa Morogoro
  • Tovuti ya Ajira Tanzania

World visitors tracker

world map hits counter

Visitors Counter

free HitCounter

Location Map

Mawasiliano Yetu

    Kibaoni - Bomani

    Sanduku la Barua: 433 Ifakara

    Simu ya Mezani: +255 (0)23 - 2934212

    Simu ya Mkononi: -

    Barua Pepe: td@ifakaratc.go.tz / info@ifakaratc.go.tz

Other Contacts

   

    • Sera ya Uhifadhi
    • Kanusho
    • Ramani
    • Huduma

Haki Miliki @2018 Halmashauri ya Mji wa Ifakara . Haki zote zimehifadhiwa