• Mawasiliano Yetu |
    • Maswali ya mara kwa mara |
    • Barua pepe za Watumishi |
    • Malalamiko |
Ifakara Town Council
Ifakara Town Council

Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Ofisi ya Rais Tawala za Mikoa na Serikali za Mitaa Halmashauri ya Mji Ifakara

  • Mwanzo
  • Kuhusu Sisi
    • Wasifu wa Halmashauri
    • Dira na Dhamira
    • Maadili ya msingi
    • Mikakati
  • Utawala
    • Muundo wa Halmashauri
    • Idara
      • Ujenzi
      • Utawala na Rasilimali Watu
      • Fedha na Biashara
      • Mipango,Takwimu & Ufuatiliaji
      • Elimu Msingi
      • Elimu Sekondari
      • Afya
      • Usafi na Mazingira
      • Kilimo,Ushirika & Umwagiliaji
      • Mifugo na Uvuvi
      • Maji
      • Maendeleo ya Jamii
      • Ardhi na Maliasili
    • Vitengo
      • Manunuzi & Ugavi
      • Sheria
      • TEHAMA
      • Uchaguzi
      • Ufugaji Nyuki
      • Mkaguzi wa Ndani
  • Fursa za Uwekezaji
    • Maeneo ya Uwekezaji
  • Huduma
    • Ukodishaji wa Mitambo
    • Upimaji,Usanifu wa Viwanja,Majengo &Mashamba
  • Madiwani
    • Orodha ya waheshimiwa Madiwani
    • Kamati za kudumu
    • Ratiba za kudumu
    • Kata
      • Mbasa
      • Katindiuka
      • Mlabani
      • Lumemo
      • Kibaoni
      • Viwanja sitini
      • Ifakara
      • Michenga
      • Lipangalala
  • Miradi
    • Miradi inayoendelea
    • Miradi Iliyokamilika
    • Itakayotekelezwa
  • Machapisho
    • CHF iliyoboreshwa
    • Miongozo
    • Ripoti
    • Kanuni
    • Mkataba wa Huduma kwa Mteja
  • Kituo cha Habari
    • Taarifa kwa Vyombo vya Habari
    • Hotuba
    • Maktaba ya Video
    • Maktaba ya Picha
  • Mifumo

WAKULIMA WA HALMASHAURI YA MJI IFAKARA WAHAKIKISHIWA KUENDELEA KUZALISHA MAZAO NA KUPATA FAIDA ZAIDI KUPITIA MFUMO WA STAKABADHI GHALANI

Posted on: June 11th, 2025

Wakulima wa Mazao katika Halmashauri ya Mji Ifakara wamehakikishiwa  kuendelea kuzalisha Mazao yao na kupata faida zaidi kwa kupitia mfumo wa Stakabadhi za Ghala.Hayo yamesemwa tarehe 11 Juni 2025 wakati wa Kikao cha Kujadili namna ya kusimamia Utekelezaji wa Mfumo wa Stakabadhi Ghalani kwa  Wakulima wa Mazao mbalimbali hususani katika kuelekea Msimu wa Ufuta, kilichofanyika katika Ukumbi wa Mikutano uliopo katika Ofisi ya Mkuu wa Wilaya ya Kilombero.

Kikao hicho kiliongozwa na Mkuu wa Wilaya ya Kilombero Mhe. Wakili Dunstan Dominick Kyobya ambapo kilishirikisha Bodi ya Usimamzii wa Stakabadhi za Ghala kutoka Wizara ya Viwanda na Biashara, Viongozi wa Mabenki, Kaimu Mkurugenzi wa Halmashauri ya Mji Ifakara Bw. Said Majaliwa na Wataalamu kutoka Mkoa wa  Morogoro na Halmashauri ya Mji Ifakara.

Aidha Mkurugenzi wa Bodi ya Usimamizi wa Stakabadhi za Ghala Ndugu , Asangye Bangu alisema Mfumo wa Stakabadhi za Ghala  upo kuhakikisha wakulima wa Mazao mbalimbali kama Ufuta, Kokoa n.k wanapata bei za ushindani zilizoko Sokoni.

"Mkoa wa Morogoro umefanya jitihada kubwa kuhakikisha Mfumo wa Stakabadhi unafanya vizuri  hususani hapa Halmashauri ya Mji Ifakara, ambapo wakulima wataendelea kuzalisha na kupata faida nyingi". Alieleza Ndugu Asangye Bangu

Kwa upande wake Katibu Tawala wa Wilaya ya Kilombero Ndugu Abraham Mwaikwila alisema kuwa suala la Stakabadhi Ghalani linatakiwa kuendele a kuelimishwa zaidi kwa Wananchi na Wakulima ndani ya Wilaya ya Kilombero ili iweze kuwasaidia Wananchi kuondokana na umaskini kwa wakulima na kupata faida zaidi

Matangazo

  • KUITWA USAILI BVR TARAFA YA MANG'ULA February 07, 2025
  • KUITWA USAILI BVR TARAFA YA IFAKARA February 07, 2025
  • KUITWA USAILI BVR TARAFA YA KIDATU February 07, 2025
  • TANGAZO KWA WATUMISHI WOTE HALMASHAURI YA MJI IFAKARA November 01, 2022
  • Ona yote

Habari Mpya

  • WAKULIMA WA HALMASHAURI YA MJI IFAKARA WAHAKIKISHIWA KUENDELEA KUZALISHA MAZAO NA KUPATA FAIDA ZAIDI KUPITIA MFUMO WA STAKABADHI GHALANI

    June 11, 2025
  • VIZIMBA MAALUM VYA KUTUPA MAKOPO YA VIUWATILIFU VYATAKIWA KUJENGWA KATIKA KATA ZA HALMASHAURI YA MJI IFAKARA.

    June 05, 2025
  • KIKAO CHA MAANDALIZI YA MAONESHO YA NANENANE KANDA YA MASHARIKI 2025

    June 02, 2025
  • MKURUGENZI IFAKARA MJI AWAHIMIZA WANANCHI KUJITOKEZA KWA WINGI KUPATA HUDUMA ZA MATIBABU YA KIBINGWA.

    May 28, 2025
  • Ona yote

Video

Shangwe la Mkesha wa Mwenge 2025 Uwanja wa CCM Mkamba Kidatu Msanii wa Muziki MC Hamza akiimba na wanaIfakara, Tarehe 17-04-2025.
More Videos

Kurasa za Haraka

  • MATOKEO KIDATO CHA NNE 2024
  • MATOKEO YA KIDATO CHA SITA 2024
  • MATOKEO YA KIDATO CHA PILI 2024
  • Ramani ya halmashauri ya mji wa Ifakara
  • BOFYA HAPA KUOMBA KITAMBULISHO CHA WAJASILIAMALI WADOGO
  • CHF

Kurasa Mfanano

  • Tovuti kuu ya serikali
  • Wizara ya Tamisemi
  • Wizara ya utumishi wa uma
  • Tovuti ya mkoa wa Morogoro
  • Tovuti ya Ajira Tanzania

World visitors tracker

world map hits counter

Visitors Counter

free HitCounter

Location Map

Mawasiliano Yetu

    Kibaoni - Bomani

    Sanduku la Barua: 433 Ifakara

    Simu ya Mezani: +255 (0)23 - 2934212

    Simu ya Mkononi: -

    Barua Pepe: td@ifakaratc.go.tz / info@ifakaratc.go.tz

Other Contacts

   

    • Sera ya Uhifadhi
    • Kanusho
    • Ramani
    • Huduma

Haki Miliki @2018 Halmashauri ya Mji wa Ifakara . Haki zote zimehifadhiwa