• Mawasiliano Yetu |
    • Maswali ya mara kwa mara |
    • Barua pepe za Watumishi |
    • Malalamiko |
Ifakara Town Council
Ifakara Town Council

Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Ofisi ya Rais Tawala za Mikoa na Serikali za Mitaa Halmashauri ya Mji Ifakara

  • Mwanzo
  • Kuhusu Sisi
    • Wasifu wa Halmashauri
    • Dira na Dhamira
    • Maadili ya msingi
    • Mikakati
  • Utawala
    • Muundo wa Halmashauri
    • Idara
      • Ujenzi
      • Utawala na Rasilimali Watu
      • Fedha na Biashara
      • Mipango,Takwimu & Ufuatiliaji
      • Elimu Msingi
      • Elimu Sekondari
      • Afya
      • Usafi na Mazingira
      • Kilimo,Ushirika & Umwagiliaji
      • Mifugo na Uvuvi
      • Maji
      • Maendeleo ya Jamii
      • Ardhi na Maliasili
    • Vitengo
      • Manunuzi & Ugavi
      • Sheria
      • TEHAMA
      • Uchaguzi
      • Ufugaji Nyuki
      • Mkaguzi wa Ndani
  • Fursa za Uwekezaji
    • Maeneo ya Uwekezaji
  • Huduma
    • Ukodishaji wa Mitambo
    • Upimaji,Usanifu wa Viwanja,Majengo &Mashamba
  • Madiwani
    • Orodha ya waheshimiwa Madiwani
    • Kamati za kudumu
    • Ratiba za kudumu
    • Kata
      • Mbasa
      • Katindiuka
      • Mlabani
      • Lumemo
      • Kibaoni
      • Viwanja sitini
      • Ifakara
      • Michenga
      • Lipangalala
  • Miradi
    • Miradi inayoendelea
    • Miradi Iliyokamilika
    • Itakayotekelezwa
  • Machapisho
    • CHF iliyoboreshwa
    • Miongozo
    • Ripoti
    • Kanuni
    • Mkataba wa Huduma kwa Mteja
  • Kituo cha Habari
    • Taarifa kwa Vyombo vya Habari
    • Hotuba
    • Maktaba ya Video
    • Maktaba ya Picha
  • Mifumo

WADAU MBALIMBALI WAHIMIZWA KUWEKEZA KATIKA UJENZI WA VIWANDA VYA KUCHAKATA TAKA ( RECYCLING) ILI KUONGEZEA THAMANI

Posted on: September 20th, 2025

WADAU  MBALIMBALI WAHIMIZWA KUWEKEZA KATIKA UJENZI WA VIWANDA VYA KUCHAKATA TAKA ( RECYCLING) ILI KUZIONGEZEA THAMANI


Wadau mbalimbali wamehimizwa kuwekeza katika ujenzi wa Viwanda vya Kuchakata taka ( Recycling) ili kuongeza thamani ya Taka na Kupunguza Uchafuzi wa Mazingira.

 Hayo yamesemwa leo Jumamosi tarehe 20 Septemba 2025 na

Mkurugenzi wa Halmashauri ya Mji Ifakara, Bi. Pilly Kitwana wakati wa maadhimisho ya Siku ya Usafishaji Duniani yaliyofanyika sehemu mbalimbali ndani ya Halmashauri ya Mji Ifakara ikiwemo stendi kuu ya mabasi,

Aidha wananchi kutoka sehemu mbalimbali walishiriki katika kufanya usafi maeneo mbalimbali wakiwemo wafanyabiashara, wadau wa mazingira, wajasiriamali, wakuu wa idara na vitengo, watumishi wa Halmashauri, viongozi wa kata na vijiji pamoja na watu maarufu.


Kaulimbiu ya mwaka huu ni: “Tunza Mazingira kwa Kuzipa Taka Thamani.”


Akizungumza katika maadhimisho hayo, Bi. Pilly Kitwana Amesisitiza kuwa Halmashauri ya Mji Ifakara iko tayari kutoa mazingira wezeshi kwa wawekezaji katika sekta hiyo.

“Nitoe wito kwa wadau kuendelea kuwekeza na kutafuta fursa katika uchakataji wa taka kwa kuziongezea thamani, hatua itakayosaidia kupunguza uchafuzi wa mazingira. Kama Halmashauri yetu pendwa, tupo tayari kutoa mazingira wezeshi kuhakikisha utekelezaji wa kaulimbiu hii unafikiwa hapa Ifakara,” alisema Bi. Pilly.


Aidha, Mkurugenzi amewapongeza watumishi na wajasiriamali wa Soko la Kibaoni  na maeneo mengine katika Kata kwa kushiriki kikamilifu katika zoezi la usafi wa mazingira kama sehemu ya maadhimisho hayo.


“Naendelea kusisitiza kuwa suala la usafi ni jukumu la kila mmoja wetu, kuanzia majumbani hadi maofisini. Nawapongeza sana kwa kujitokeza na kushiriki katika usafi wa soko letu la Kibaoni. Kama Halmashauri ya Mji Ifakara, tunaendelea kutekeleza kwa vitendo tumeshanunua gari jipya la taka ambalo linatarajiwa kuwasili hivi karibuni, hatua itakayosaidia kuboresha zaidi hali ya usafi katika mji wetu,” alisisitiza Bi. Pilly Kitwana.


Matangazo

  • TANGAZO LA MAOMBI YA MPIGA KURA KUPIGA KURA YA RAIS WA JAMHURI YA MUUNGANO WA TANZANIA KATIKA KITUO TOFAUTI NA KITUO ALICHOJIANDIKISHA September 18, 2025
  • Ona yote

Habari Mpya

  • WAZEE WATAKIWA KUENDELEA KUDUMISHA AMANI NCHINI

    October 01, 2025
  • WADAU WA KILIMO, MIFUGO NA UVUVI WATAKIWA KUWASAIDIA WANANCHI KUPATA MBEGU BORA

    September 26, 2025
  • WADAU MBALIMBALI WAHIMIZWA KUWEKEZA KATIKA UJENZI WA VIWANDA VYA KUCHAKATA TAKA ( RECYCLING) ILI KUONGEZEA THAMANI

    September 20, 2025
  • SHIRIKA LA FARM AFRICA KUPITIA MRADI WA KILIMO MASOKO(FARM TO MARKET ALLIANCE)LIMETOA MAFUNZO KWA MAAFISA UGANI NA WAKULIMA VIONGOZI JUU YA KANUNI BORA ZA KILIMO KWENYE ZAO LA MPUNGA

    September 22, 2025
  • Ona yote

Video

Shangwe la Mkesha wa Mwenge 2025 Uwanja wa CCM Mkamba Kidatu Msanii wa Muziki MC Hamza akiimba na wanaIfakara, Tarehe 17-04-2025.
More Videos

Kurasa za Haraka

  • MATOKEO KIDATO CHA NNE 2024
  • MATOKEO YA KIDATO CHA SITA 2024
  • MATOKEO YA KIDATO CHA PILI 2024
  • Ramani ya halmashauri ya mji wa Ifakara
  • BOFYA HAPA KUOMBA KITAMBULISHO CHA WAJASILIAMALI WADOGO
  • CHF

Kurasa Mfanano

  • Tovuti kuu ya serikali
  • Wizara ya Tamisemi
  • Wizara ya utumishi wa uma
  • Tovuti ya mkoa wa Morogoro
  • Tovuti ya Ajira Tanzania

World visitors tracker

world map hits counter

Visitors Counter

free HitCounter

Location Map

Mawasiliano Yetu

    Kibaoni - Bomani

    Sanduku la Barua: 433 Ifakara

    Simu ya Mezani: +255 (0)23 - 2934212

    Simu ya Mkononi: -

    Barua Pepe: td@ifakaratc.go.tz / info@ifakaratc.go.tz

Other Contacts

   

    • Sera ya Uhifadhi
    • Kanusho
    • Ramani
    • Huduma

Haki Miliki @2018 Halmashauri ya Mji wa Ifakara . Haki zote zimehifadhiwa