• Mawasiliano Yetu |
    • Maswali ya mara kwa mara |
    • Barua pepe za Watumishi |
    • Malalamiko |
Ifakara Town Council
Ifakara Town Council

Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Ofisi ya Rais Tawala za Mikoa na Serikali za Mitaa Halmashauri ya Mji Ifakara

  • Mwanzo
  • Kuhusu Sisi
    • Wasifu wa Halmashauri
    • Dira na Dhamira
    • Maadili ya msingi
    • Mikakati
  • Utawala
    • Muundo wa Halmashauri
    • Idara
      • Ujenzi
      • Utawala na Rasilimali Watu
      • Fedha na Biashara
      • Mipango,Takwimu & Ufuatiliaji
      • Elimu Msingi
      • Elimu Sekondari
      • Afya
      • Usafi na Mazingira
      • Kilimo,Ushirika & Umwagiliaji
      • Mifugo na Uvuvi
      • Maji
      • Maendeleo ya Jamii
      • Ardhi na Maliasili
    • Vitengo
      • Manunuzi & Ugavi
      • Sheria
      • TEHAMA
      • Uchaguzi
      • Ufugaji Nyuki
      • Mkaguzi wa Ndani
  • Fursa za Uwekezaji
    • Maeneo ya Uwekezaji
  • Huduma
    • Ukodishaji wa Mitambo
    • Upimaji,Usanifu wa Viwanja,Majengo &Mashamba
  • Madiwani
    • Orodha ya waheshimiwa Madiwani
    • Kamati za kudumu
    • Ratiba za kudumu
    • Kata
      • Mbasa
      • Katindiuka
      • Mlabani
      • Lumemo
      • Kibaoni
      • Viwanja sitini
      • Ifakara
      • Michenga
      • Lipangalala
  • Miradi
    • Miradi inayoendelea
    • Miradi Iliyokamilika
    • Itakayotekelezwa
  • Machapisho
    • CHF iliyoboreshwa
    • Miongozo
    • Ripoti
    • Kanuni
    • Mkataba wa Huduma kwa Mteja
  • Kituo cha Habari
    • Taarifa kwa Vyombo vya Habari
    • Hotuba
    • Maktaba ya Video
    • Maktaba ya Picha
  • Mifumo

VIZIMBA MAALUM VYA KUTUPA MAKOPO YA VIUWATILIFU VYATAKIWA KUJENGWA KATIKA KATA ZA HALMASHAURI YA MJI IFAKARA.

Posted on: June 5th, 2025

Na: Nuru Mangalili - Ifakaratc , Habari


Vizimba Maalum kwaajili ya Kutupa Makopo ya Viuwatilifu vimetakiwa kujengwa katika kila Kata za Halmashauri ya Mji Ifakara ili kuweka udhibiti bora wa utunzaji wa taka ndani ya Halmashauri.

Hayo yamesemwa leo Alhamisi Juni 5, 2025 na Afisa Tawala wa Wilaya ya Kilombero Bw. Fabius Byamungu aliyekuwa akimwakilisha Mkuu wa Wilaya ya Kilombero Mhe. Wakili Dunstan Kyobya wakati wa Maadhimisho ya Siku ya Mazingira Duniani ambayo kihalmashauri  iliadhimishwa kwa kufanya Usafi katika Soko Kuu la Ifakara lililopo Kata ya Ifakara.

Awali aliwataka Wananchi kuhakikisha wanakabiliana na changamoto za utunzaji wa Mazingira kwa kuwa kwa sasa Dunia imekuwa ikikabiliwa na changamoto mbalimbali za uharibifu wa mazingira zinazotokana na kuongezeka kwa shughuli za kibinadamu   ikiwemo utupaji hovyo wa taka ngumu na plastiki, ukataji holela wa miti na uchomaji wa misitu hivyo kusababisha madhara mbalimbali kama uwepo wa magonjwa hatarishi kama kansa kutokana na utupaji holela wa taka hatarishi kama chupa za viuwatilifu katika vyanzo vya maji na utumiaji wa chupa hizo majumbani kwa shughuli mbalimbali kama utunzaji wa mafuta ya kula, chumvi ,maji n.k uharibifu wa vyanzo vya Maji, ardhi kupoteza ubora na kupungua uwezo wa kuzalisha, upotevu wa viumbe hai wa ardhini na majini , ongezeko ya hali ya jangwa na ukame n.k.


Afisa Tarafa wa Ifakara Bw. Fabius Byamungu akizungumza na Wafanyabiashara wa Soko Kuu Ifakara  juu ya Utunzaji wa Mazingira wakati wa Maadhimisho ya Siku ya Mazingira Duniani


“Ili kukabiliana na changamoto za Utunzaji wa Mazingira na  rasilimali wananchi wa Ifakara tunaowajibu wa kuhakikisha tunalinda na kutunza  mazingira kwa kuzuia matumizi ya plastiki kuwa kibebeo cha bidhaa dukani, sokoni, buchani, n.k kuzuia utupaji hovyo wa makopo ya plastiki, ukataji miti hovyo na uvamizi wa maeneo ya hifadhi”. Alisema Bw. Byamungu na kuongeza “utupaji wa makopo ya viuwatilifu ufanyike  kwenye vizimba maalumu ili kuweka utunzaji wa taka,   hivyo kila Kata ijenge Kizimba maalum kwaajili ya kutupa makopo ya viuwatilifu. Alimaliza  Bw. Byamungu

Kwa upande wake Afisa Mazingira wa Halmashauri ya Mji Ifakara Bi. Salome Mayenga aliwasisitiza Wananchi wa Ifakara kuhakikisha  wanawajibika kutunza mazingira kwa kufanya usafi katika maeneo yao kila  mara na kuepuka matumizi ya plastiki.

Kauli mbiu katika Maadhimisho hayo kwa Mwaka huu ni “Mazingira Yetu na Tanzania Ijayo, Tuwajibike Sasa , “ Dhibiti Matumizi ya Plastiki”.

****MWISHO*****

Matangazo

  • KUITWA USAILI BVR TARAFA YA MANG'ULA February 07, 2025
  • KUITWA USAILI BVR TARAFA YA IFAKARA February 07, 2025
  • KUITWA USAILI BVR TARAFA YA KIDATU February 07, 2025
  • TANGAZO KWA WATUMISHI WOTE HALMASHAURI YA MJI IFAKARA November 01, 2022
  • Ona yote

Habari Mpya

  • WAKULIMA WA HALMASHAURI YA MJI IFAKARA WAHAKIKISHIWA KUENDELEA KUZALISHA MAZAO NA KUPATA FAIDA ZAIDI KUPITIA MFUMO WA STAKABADHI GHALANI

    June 11, 2025
  • VIZIMBA MAALUM VYA KUTUPA MAKOPO YA VIUWATILIFU VYATAKIWA KUJENGWA KATIKA KATA ZA HALMASHAURI YA MJI IFAKARA.

    June 05, 2025
  • KIKAO CHA MAANDALIZI YA MAONESHO YA NANENANE KANDA YA MASHARIKI 2025

    June 02, 2025
  • MKURUGENZI IFAKARA MJI AWAHIMIZA WANANCHI KUJITOKEZA KWA WINGI KUPATA HUDUMA ZA MATIBABU YA KIBINGWA.

    May 28, 2025
  • Ona yote

Video

Shangwe la Mkesha wa Mwenge 2025 Uwanja wa CCM Mkamba Kidatu Msanii wa Muziki MC Hamza akiimba na wanaIfakara, Tarehe 17-04-2025.
More Videos

Kurasa za Haraka

  • MATOKEO KIDATO CHA NNE 2024
  • MATOKEO YA KIDATO CHA SITA 2024
  • MATOKEO YA KIDATO CHA PILI 2024
  • Ramani ya halmashauri ya mji wa Ifakara
  • BOFYA HAPA KUOMBA KITAMBULISHO CHA WAJASILIAMALI WADOGO
  • CHF

Kurasa Mfanano

  • Tovuti kuu ya serikali
  • Wizara ya Tamisemi
  • Wizara ya utumishi wa uma
  • Tovuti ya mkoa wa Morogoro
  • Tovuti ya Ajira Tanzania

World visitors tracker

world map hits counter

Visitors Counter

free HitCounter

Location Map

Mawasiliano Yetu

    Kibaoni - Bomani

    Sanduku la Barua: 433 Ifakara

    Simu ya Mezani: +255 (0)23 - 2934212

    Simu ya Mkononi: -

    Barua Pepe: td@ifakaratc.go.tz / info@ifakaratc.go.tz

Other Contacts

   

    • Sera ya Uhifadhi
    • Kanusho
    • Ramani
    • Huduma

Haki Miliki @2018 Halmashauri ya Mji wa Ifakara . Haki zote zimehifadhiwa