• Mawasiliano Yetu |
    • Maswali ya mara kwa mara |
    • Barua pepe za Watumishi |
    • Malalamiko |
Ifakara Town Council
Ifakara Town Council

Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Ofisi ya Rais Tawala za Mikoa na Serikali za Mitaa Halmashauri ya Mji Ifakara

  • Mwanzo
  • Kuhusu Sisi
    • Wasifu wa Halmashauri
    • Dira na Dhamira
    • Maadili ya msingi
    • Mikakati
  • Utawala
    • Muundo wa Halmashauri
    • Idara
      • Ujenzi
      • Utawala na Rasilimali Watu
      • Fedha na Biashara
      • Mipango,Takwimu & Ufuatiliaji
      • Elimu Msingi
      • Elimu Sekondari
      • Afya
      • Usafi na Mazingira
      • Kilimo,Ushirika & Umwagiliaji
      • Mifugo na Uvuvi
      • Maji
      • Maendeleo ya Jamii
      • Ardhi na Maliasili
    • Vitengo
      • Manunuzi & Ugavi
      • Sheria
      • TEHAMA
      • Uchaguzi
      • Ufugaji Nyuki
      • Mkaguzi wa Ndani
  • Fursa za Uwekezaji
    • Maeneo ya Uwekezaji
  • Huduma
    • Ukodishaji wa Mitambo
    • Upimaji,Usanifu wa Viwanja,Majengo &Mashamba
  • Madiwani
    • Orodha ya waheshimiwa Madiwani
    • Kamati za kudumu
    • Ratiba za kudumu
    • Kata
      • Mbasa
      • Katindiuka
      • Mlabani
      • Lumemo
      • Kibaoni
      • Viwanja sitini
      • Ifakara
      • Michenga
      • Lipangalala
  • Miradi
    • Miradi inayoendelea
    • Miradi Iliyokamilika
    • Itakayotekelezwa
  • Machapisho
    • CHF iliyoboreshwa
    • Miongozo
    • Ripoti
    • Kanuni
    • Mkataba wa Huduma kwa Mteja
  • Kituo cha Habari
    • Taarifa kwa Vyombo vya Habari
    • Hotuba
    • Maktaba ya Video
    • Maktaba ya Picha
  • Mifumo

UZINDUZI WA ZOEZI LA UTOAJI WA MIKOPO YA ASILIMIA 10

Posted on: November 18th, 2024

Mkuu wa Wilaya ya Kilombero Mhe. Wakili Dunstan Kyobya amezindua Rasmi zoezi la  utoaji wa Mikopo  ya Asilimia 10 kwa Vikundi vya Wanawake , Vijana na Watu wenye ulemavu , ambazo ni Fedha za Mapato ya ndani ya Halmashauri na kutoa  Hundi ya Mfano yenye thamani ya Shilingi Milioni 817,619,365.


Uzinduzi huo umefanyika leo Jumatatu tarehe 18 Novemba katika Ukumbi wa Chuo cha Maendeleo ya Wananchi ( Ifakara FDC) uliopo uliopo Halmashauri ya Mji Ifakara


" Nawapongeza sana  Vikundi vyote , Fedha hizo  mkazitumie kulingana na Malengo mliyojiwekea . Halmashauri inaenda kutoa Fedha  Milioni 817, 619,365  kwa makundi matatu , Wanawake , Vijana na Watu wenye Ulemavu, mkazitumie vizuri Ili mkatimize Malengo yenu" . Alisema Mhe. Kyobya 


Wakati huohuo, Kaimu Mkurugenzi wa Halmashauri ya Mji Ifakara Bibi. Witness Kimoleta aliwasihi  wote walioomba na watakaopata Mikopo hiyo kuzingatia kanuni, taratibu na Sheria za Mikopo ili ikatoe matokeo chanya katika shughuli wanazoenda kuzifanya na kutimiza azma ya  Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania  Mhe. Dkt. Samia Suluhu Hassan ya kuhakikisha makundi mbalimbali  ya wanawake, Vijana na Watu wenye ulemavu yanajikwamua kiuchumi.


" Tumewaandaa  Maafisa  wanaoshughulikia Mikopo kuendelea kutoa Elimu na  kuwatembelea mara kwa mara katika maeneo yao kuhakikisha shughuli wanazofanya zinaleta tija". Alisisitiza Bibi. Kimoleta na kuongeza

"  Kiasi cha Sh. Milioni 261,000,000 kitatolewa  kwa Kata 15 kati ya 19 kwa  Vikundi  vilivyokaguliwa na kukidhi vigezo kwa  awamu ya kwanza , awamu nyingine zinafuatia, Halmashauri ya Mji Ifakara iko bega kwa bega na Wananchi  kuhakikisha kwamba wanatumia Mikopo vizuri na Mikopo hiyo inaleta Mabadiliko katika maisha yao". Alimaliza Bibi. Kimoleta 


Mmoja wa Wanakikundi hao Bi. Hilda Imani kutoka Kata ya Katindiuka  alishukuru Halmashauri ya Mji Ifakara kwa kuwapa Elimu ya kujiunga kwenye Vikundi Ili waweze Kupata Mikopo hiyo

" Kikubwa tujue hii ni Mikopo lazima turejeshe kwa wakati , ninaimani Mikopo hii itatutoa sehemu Moja kwenda nyingine". Alisema  Bi. Hilda






Matangazo

  • KUITWA USAILI BVR TARAFA YA MANG'ULA February 07, 2025
  • KUITWA USAILI BVR TARAFA YA IFAKARA February 07, 2025
  • KUITWA USAILI BVR TARAFA YA KIDATU February 07, 2025
  • TANGAZO KWA WATUMISHI WOTE HALMASHAURI YA MJI IFAKARA November 01, 2022
  • Ona yote

Habari Mpya

  • MKUTANO WA TRA NA WAFANYABIASHARA WILAYA YA KILOMBERO

    March 05, 2025
  • HAMASA YATOLEWA KWA JAMII YA WAFUGAJI KUSHIRIKI MAADHIMISHO SIKU YA WANAWAKE DUNIANI PAMOJA NA UBORESHAJI WA DAFTARI LA KUDUMU LA WAPIGA KURA IFAKARA TC

    February 27, 2025
  • MAFUNZO KWA WATENDAJI NGAZI YA JIMBO JUU YA UBORESHAJI WA DAFTARI LA KUDUMU LA WAPIGA KURA

    February 22, 2025
  • UBORESHAJI WA DAFTARI LA KUDUMU LA WAPIGA KURA JIMBO LA KILOMBERO KUANZA TAREHE 1 MACHI, 2025 HADI TAREHE 7 MACHI 2025

    February 24, 2025
  • Ona yote

Video

Shangwe la Mkesha wa Mwenge 2025 Uwanja wa CCM Mkamba Kidatu Msanii wa Muziki MC Hamza akiimba na wanaIfakara, Tarehe 17-04-2025.
More Videos

Kurasa za Haraka

  • MATOKEO KIDATO CHA NNE 2024
  • MATOKEO YA KIDATO CHA SITA 2024
  • MATOKEO YA KIDATO CHA PILI 2024
  • Ramani ya halmashauri ya mji wa Ifakara
  • BOFYA HAPA KUOMBA KITAMBULISHO CHA WAJASILIAMALI WADOGO
  • CHF

Kurasa Mfanano

  • Tovuti kuu ya serikali
  • Wizara ya Tamisemi
  • Wizara ya utumishi wa uma
  • Tovuti ya mkoa wa Morogoro
  • Tovuti ya Ajira Tanzania

World visitors tracker

world map hits counter

Visitors Counter

free HitCounter

Location Map

Mawasiliano Yetu

    Kibaoni - Bomani

    Sanduku la Barua: 433 Ifakara

    Simu ya Mezani: +255 (0)23 - 2934212

    Simu ya Mkononi: -

    Barua Pepe: td@ifakaratc.go.tz / info@ifakaratc.go.tz

Other Contacts

   

    • Sera ya Uhifadhi
    • Kanusho
    • Ramani
    • Huduma

Haki Miliki @2018 Halmashauri ya Mji wa Ifakara . Haki zote zimehifadhiwa