• Mawasiliano Yetu |
    • Maswali ya mara kwa mara |
    • Barua pepe za Watumishi |
    • Malalamiko |
Ifakara Town Council
Ifakara Town Council

Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Ofisi ya Rais Tawala za Mikoa na Serikali za Mitaa Halmashauri ya Mji Ifakara

  • Mwanzo
  • Kuhusu Sisi
    • Wasifu wa Halmashauri
    • Dira na Dhamira
    • Maadili ya msingi
    • Mikakati
  • Utawala
    • Muundo wa Halmashauri
    • Idara
      • Ujenzi
      • Utawala na Rasilimali Watu
      • Fedha na Biashara
      • Mipango,Takwimu & Ufuatiliaji
      • Elimu Msingi
      • Elimu Sekondari
      • Afya
      • Usafi na Mazingira
      • Kilimo,Ushirika & Umwagiliaji
      • Mifugo na Uvuvi
      • Maji
      • Maendeleo ya Jamii
      • Ardhi na Maliasili
    • Vitengo
      • Manunuzi & Ugavi
      • Sheria
      • TEHAMA
      • Uchaguzi
      • Ufugaji Nyuki
      • Mkaguzi wa Ndani
  • Fursa za Uwekezaji
    • Maeneo ya Uwekezaji
  • Huduma
    • Ukodishaji wa Mitambo
    • Upimaji,Usanifu wa Viwanja,Majengo &Mashamba
  • Madiwani
    • Orodha ya waheshimiwa Madiwani
    • Kamati za kudumu
    • Ratiba za kudumu
    • Kata
      • Mbasa
      • Katindiuka
      • Mlabani
      • Lumemo
      • Kibaoni
      • Viwanja sitini
      • Ifakara
      • Michenga
      • Lipangalala
  • Miradi
    • Miradi inayoendelea
    • Miradi Iliyokamilika
    • Itakayotekelezwa
  • Machapisho
    • CHF iliyoboreshwa
    • Miongozo
    • Ripoti
    • Kanuni
    • Mkataba wa Huduma kwa Mteja
  • Kituo cha Habari
    • Taarifa kwa Vyombo vya Habari
    • Hotuba
    • Maktaba ya Video
    • Maktaba ya Picha
  • Mifumo

TCRA KUINOA IFAKARA MJI DHIDI YA UTAPELI WA MITANDAONI

Posted on: February 2nd, 2025

Kufuatia kukithiri Kwa wimbi la utapeli na wizi wa mitandaoni Mamlaka ya Mawasiliano Tanzania (TCRA) imetoa mafunzo Kwa Madiwani,Viongozi wa Serikali za Mitaa,vijiji na Kata wa Halmashauri ya Mji Ifakara.

Semina hiyo ya Mapambano dhidi ya utapeli wa  Mitandaoni iliandaliwa na Mbunge wa Jimbo la Kilombero Mhe.Abubakary Asenga ambapo alisema kuwa kumekuwa na wimbi la utapeli wa Mitandaoni katika jamii zetu.

Aidha Mhe. Asenga amesema kuwa lengo la kuwaita viongozi wa Serikali za Mitaa, vijiji na Madiwani ni kujadili Kwa pamoja ni namna gani wanaweza kutatua changamoto hii lakini pia kufikisha ujumbe Kwa jamii zinazowazungukuka kuhusu suala la utapeli na wizi wa Mitandaoni.

Hata hivyo Mkuu wa Polisi Wilaya ya Kilombero SP Daudi Nkuba  ameitaka Mamlaka ya Mawasiliano Tanzania (TCRA) kuwadhibiti watoa huduma za kusajili line ambao wamekuwa chanzo kikubwa cha uwepo wa  vijana wanaojikita katika kutafuta pesa kwa njia zisizofaa maarufu kama (Halohalo).

"hakuna uhalifu unaotuumiza Ifakara na Kilombero kama halohalo,sasa hivi kumekuwa na wimbi kubwa la vijana wakijishughulisha na vitendo hivi vya uhalifu wa Mitandaoni na Kuna baadhi ya Wazazi au walezi ambao wanachochea watoto wao kufanya wizi huu," Alisema SP Nkuba.

Meneja wa kitengo cha masuala ya wateja na watumiaji wa huduma za Mawasiliano (TCRA) mhandisi Kadaya Baluhye Amesema kuwa Mamlaka ya Mawasiliano Tanzania haijihusishi na Michezo yeyote ya bahati na sibu pia Kuna umuhimu wa Wazazi kufuatilia tabia na mienendo ya watoto wao ili kudhibiti kujikita katika makundi yasiyofaa.

"Ulinzi na Usalama ni jukumu letu sote, Mbunge anataka kuwa na jamii inayofaa ndio maana tumekuja kutoa elimu hii Kwa wakazi wa Halmashauri ya Mji Ifakara Kila mmoja ana wajibu wa kulinda na kutumia Mawasiliano Kwa ufasaha

Naye Mkuu wa Wilaya Kilombero Mhe.Wakili Dunstan Kyobya amesema kuwa  anahitaji Ifakara ibadilike Kwa Kila Kijiji na Mtaa kuwe na daftari la wakazi ili kuweza kutambuana,Sambamba na hilo amesisitiza viongozi waliohudhuria semina hiyo kwenda kuwa mabalozi na kutoa Elimu Kwa jamii dhidi ya utapeli wa Mitandaoni.

 








Matangazo

  • No records found
  • Ona yote

Habari Mpya

  • MKURUGENZI WA HALMASHAURI YA MJI IFAKARA PILLY KITWANA ATEMBELEA BANDA LA HALMASHAURI YA IFAKARA MJI KUKAGUA MAANDALIZI YA MWISHO KUELEKEA MAONESHO YA NANE NANE 2025 KANDA YA MASHARIKI

    July 30, 2025
  • BODI YA PAMBA TANZANIA YAFANYA UWEKEZAJI KWA KUKODI ENEO LA KIJIJI CHA KIKWAWILA LENYE UKUBWA WA EKARI ELFU 11,000 KWAAJILI YA KILIMO CHA DENGU

    July 20, 2025
  • MGOGORO WA MPAKA BAINA YA WANANCHI WA KIJIJI CHA MACHIPI NA HIFADHI YA MILIMA YA UDZUNGWA KATIKA ENEO LA ITULA UNATAFUTIWA SULUHU YA KUDUMU, TIMU YA WATAALAMU NA WAWAKILISHI WA WANANCHI KUFIKA ENEO HILO KWAAJILI YA KUKAGUA MIPAKA

    July 11, 2025
  • DC KYOBYA NA MENEJIMENTI (CMT) YA HALMASHAURI YA MJI IFAKARA WATEMBELEA MASOKO YA WAFANYA BIASHARA WA SAMAKI WALIOPO STENDI YA KIBAONI NA SOKO LA KARIAKOO KATIKA KATA YA VIWANJA SITINI

    July 09, 2025
  • Ona yote

Video

Shangwe la Mkesha wa Mwenge 2025 Uwanja wa CCM Mkamba Kidatu Msanii wa Muziki MC Hamza akiimba na wanaIfakara, Tarehe 17-04-2025.
More Videos

Kurasa za Haraka

  • MATOKEO KIDATO CHA NNE 2024
  • MATOKEO YA KIDATO CHA SITA 2024
  • MATOKEO YA KIDATO CHA PILI 2024
  • Ramani ya halmashauri ya mji wa Ifakara
  • BOFYA HAPA KUOMBA KITAMBULISHO CHA WAJASILIAMALI WADOGO
  • CHF

Kurasa Mfanano

  • Tovuti kuu ya serikali
  • Wizara ya Tamisemi
  • Wizara ya utumishi wa uma
  • Tovuti ya mkoa wa Morogoro
  • Tovuti ya Ajira Tanzania

World visitors tracker

world map hits counter

Visitors Counter

free HitCounter

Location Map

Mawasiliano Yetu

    Kibaoni - Bomani

    Sanduku la Barua: 433 Ifakara

    Simu ya Mezani: +255 (0)23 - 2934212

    Simu ya Mkononi: -

    Barua Pepe: td@ifakaratc.go.tz / info@ifakaratc.go.tz

Other Contacts

   

    • Sera ya Uhifadhi
    • Kanusho
    • Ramani
    • Huduma

Haki Miliki @2018 Halmashauri ya Mji wa Ifakara . Haki zote zimehifadhiwa