• Mawasiliano Yetu |
    • Maswali ya mara kwa mara |
    • Barua pepe za Watumishi |
    • Malalamiko |
Ifakara Town Council
Ifakara Town Council

Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Ofisi ya Rais Tawala za Mikoa na Serikali za Mitaa Halmashauri ya Mji Ifakara

  • Mwanzo
  • Kuhusu Sisi
    • Wasifu wa Halmashauri
    • Dira na Dhamira
    • Maadili ya msingi
    • Mikakati
  • Utawala
    • Muundo wa Halmashauri
    • Idara
      • Ujenzi
      • Utawala na Rasilimali Watu
      • Fedha na Biashara
      • Mipango,Takwimu & Ufuatiliaji
      • Elimu Msingi
      • Elimu Sekondari
      • Afya
      • Usafi na Mazingira
      • Kilimo,Ushirika & Umwagiliaji
      • Mifugo na Uvuvi
      • Maji
      • Maendeleo ya Jamii
      • Ardhi na Maliasili
    • Vitengo
      • Manunuzi & Ugavi
      • Sheria
      • TEHAMA
      • Uchaguzi
      • Ufugaji Nyuki
      • Mkaguzi wa Ndani
  • Fursa za Uwekezaji
    • Maeneo ya Uwekezaji
  • Huduma
    • Ukodishaji wa Mitambo
    • Upimaji,Usanifu wa Viwanja,Majengo &Mashamba
  • Madiwani
    • Orodha ya waheshimiwa Madiwani
    • Kamati za kudumu
    • Ratiba za kudumu
    • Kata
      • Mbasa
      • Katindiuka
      • Mlabani
      • Lumemo
      • Kibaoni
      • Viwanja sitini
      • Ifakara
      • Michenga
      • Lipangalala
  • Miradi
    • Miradi inayoendelea
    • Miradi Iliyokamilika
    • Itakayotekelezwa
  • Machapisho
    • CHF iliyoboreshwa
    • Miongozo
    • Ripoti
    • Kanuni
    • Mkataba wa Huduma kwa Mteja
  • Kituo cha Habari
    • Taarifa kwa Vyombo vya Habari
    • Hotuba
    • Maktaba ya Video
    • Maktaba ya Picha
  • Mifumo

TAASISI MBALIMBALI ZAHIMIZWA KUJITOKEZA KUPANDA MITI ILI KUKABILIANA NA MABADILIKO YA TABIA NCHI

Posted on: November 9th, 2024

Wadau  mbalimbali na Wananchi kwa ujumla wametakiwa kujitokeza kushiriki kupanda miti ili kukabiliana na mabadiliko ya Tabia ya Nchi.

Hayo yamesemwa na Mkuu wa Wilaya ya Kilombero Mhe. Wakili Dunstan Kyobya wakati akizindua  zoezi la upandaji miti la Shirika la SOLIDARMED katika eneo lililopo  pembezoni mwa Mto Lumemo lilipojengwa tuta kwaajili ya kuzuia mafuriko.

Aidha Tuta hilo limejengwa kuanzia  Kata  ya Mbasa hadi Kata ya Lipangalala kutokana na mafuriko yaliyotokea mwaka huu 5/5/2024 .

Katika kuendelea kukabiliana na mabadiliko ya Tabia ya Nchi , Shirika la SOLIDARMED limetengeneza bustani kwaajili ya Kupanda miti ya aina mbalimbali katika utunzaji wa mazingira na mabadiliko ya Tabia ya nchi .

" Niwapongeze SOLIDARMED kwa hatua hii na nikaribishe wadau mbalimbali waige mfano mzuri wa hawa wadau , waje wachukue eneo kwaajili ya bustani,  kila taasisi tuwe na bustani" . Alisema Mhe. Kyobya na kuongeza

" Kwa kufanya hivyo tunalinda Mto Lumemo na kuzuia kutokea kwa mafuriko.

Wakati huohuo,  Kaimu Mkurugenzi wa Halmashauri ya Mji Ifakara Bw. Said Majaliwa alilipongeza Shirika hilo kwa hatua hiyo na kusisitiza Wananchi kuendelea kupanda miti katika maeneo yao.

" Athari za mabadiliko ya Tabia ya Nchi kama tunavyojua huwa ni kubwa , hivyo kila mwananchi ashiriki katika suala Zima la utunzaji wa mazingira ". Alisisitiza Bw. Majaliwa

Kwa upande  wake , Mkurugenzi  wa Shirika la SOLIDARMED Dkt. Bernatus Sambili alisema Shirika hilo mbali na kufanya shughuli za Afya pia waliamua kushiriki kupanda bustani Ili kulinda Mazingira.

" Tutashiriki shughuli mbalimbali za ujenzi wa Taifa miongoni ni hii ambapo tutapanda miti zaidi ya 2000  katika eneo hili". Alieleza Dkt. Bernatus.


Matangazo

  • KUITWA USAILI BVR TARAFA YA MANG'ULA February 07, 2025
  • KUITWA USAILI BVR TARAFA YA IFAKARA February 07, 2025
  • KUITWA USAILI BVR TARAFA YA KIDATU February 07, 2025
  • TANGAZO KWA WATUMISHI WOTE HALMASHAURI YA MJI IFAKARA November 01, 2022
  • Ona yote

Habari Mpya

  • MKUTANO WA TRA NA WAFANYABIASHARA WILAYA YA KILOMBERO

    March 05, 2025
  • HAMASA YATOLEWA KWA JAMII YA WAFUGAJI KUSHIRIKI MAADHIMISHO SIKU YA WANAWAKE DUNIANI PAMOJA NA UBORESHAJI WA DAFTARI LA KUDUMU LA WAPIGA KURA IFAKARA TC

    February 27, 2025
  • MAFUNZO KWA WATENDAJI NGAZI YA JIMBO JUU YA UBORESHAJI WA DAFTARI LA KUDUMU LA WAPIGA KURA

    February 22, 2025
  • UBORESHAJI WA DAFTARI LA KUDUMU LA WAPIGA KURA JIMBO LA KILOMBERO KUANZA TAREHE 1 MACHI, 2025 HADI TAREHE 7 MACHI 2025

    February 24, 2025
  • Ona yote

Video

Shangwe la Mkesha wa Mwenge 2025 Uwanja wa CCM Mkamba Kidatu Msanii wa Muziki MC Hamza akiimba na wanaIfakara, Tarehe 17-04-2025.
More Videos

Kurasa za Haraka

  • MATOKEO KIDATO CHA NNE 2024
  • MATOKEO YA KIDATO CHA SITA 2024
  • MATOKEO YA KIDATO CHA PILI 2024
  • Ramani ya halmashauri ya mji wa Ifakara
  • BOFYA HAPA KUOMBA KITAMBULISHO CHA WAJASILIAMALI WADOGO
  • CHF

Kurasa Mfanano

  • Tovuti kuu ya serikali
  • Wizara ya Tamisemi
  • Wizara ya utumishi wa uma
  • Tovuti ya mkoa wa Morogoro
  • Tovuti ya Ajira Tanzania

World visitors tracker

world map hits counter

Visitors Counter

free HitCounter

Location Map

Mawasiliano Yetu

    Kibaoni - Bomani

    Sanduku la Barua: 433 Ifakara

    Simu ya Mezani: +255 (0)23 - 2934212

    Simu ya Mkononi: -

    Barua Pepe: td@ifakaratc.go.tz / info@ifakaratc.go.tz

Other Contacts

   

    • Sera ya Uhifadhi
    • Kanusho
    • Ramani
    • Huduma

Haki Miliki @2018 Halmashauri ya Mji wa Ifakara . Haki zote zimehifadhiwa