• Mawasiliano Yetu |
    • Maswali ya mara kwa mara |
    • Barua pepe za Watumishi |
    • Malalamiko |
Ifakara Town Council
Ifakara Town Council

Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Ofisi ya Rais Tawala za Mikoa na Serikali za Mitaa Halmashauri ya Mji Ifakara

  • Mwanzo
  • Kuhusu Sisi
    • Wasifu wa Halmashauri
    • Dira na Dhamira
    • Maadili ya msingi
    • Mikakati
  • Utawala
    • Muundo wa Halmashauri
    • Idara
      • Ujenzi
      • Utawala na Rasilimali Watu
      • Fedha na Biashara
      • Mipango,Takwimu & Ufuatiliaji
      • Elimu Msingi
      • Elimu Sekondari
      • Afya
      • Usafi na Mazingira
      • Kilimo,Ushirika & Umwagiliaji
      • Mifugo na Uvuvi
      • Maji
      • Maendeleo ya Jamii
      • Ardhi na Maliasili
    • Vitengo
      • Manunuzi & Ugavi
      • Sheria
      • TEHAMA
      • Uchaguzi
      • Ufugaji Nyuki
      • Mkaguzi wa Ndani
  • Fursa za Uwekezaji
    • Maeneo ya Uwekezaji
  • Huduma
    • Ukodishaji wa Mitambo
    • Upimaji,Usanifu wa Viwanja,Majengo &Mashamba
  • Madiwani
    • Orodha ya waheshimiwa Madiwani
    • Kamati za kudumu
    • Ratiba za kudumu
    • Kata
      • Mbasa
      • Katindiuka
      • Mlabani
      • Lumemo
      • Kibaoni
      • Viwanja sitini
      • Ifakara
      • Michenga
      • Lipangalala
  • Miradi
    • Miradi inayoendelea
    • Miradi Iliyokamilika
    • Itakayotekelezwa
  • Machapisho
    • CHF iliyoboreshwa
    • Miongozo
    • Ripoti
    • Kanuni
    • Mkataba wa Huduma kwa Mteja
  • Kituo cha Habari
    • Taarifa kwa Vyombo vya Habari
    • Hotuba
    • Maktaba ya Video
    • Maktaba ya Picha
  • Mifumo

SHIRIKA LA FARM AFRICA KUPITIA MRADI WA KILIMO MASOKO(FARM TO MARKET ALLIANCE)LIMETOA MAFUNZO KWA MAAFISA UGANI NA WAKULIMA VIONGOZI JUU YA KANUNI BORA ZA KILIMO KWENYE ZAO LA MPUNGA

Posted on: September 22nd, 2025

SHIRIKA LA FARM AFRICA KUPITIA MRADI WA KILIMO MASOKO(FARM TO MARKET ALLIANCE)LIMETOA MAFUNZO KWA MAAFISA UGANI NA WAKULIMA VIONGOZI JUU YA KANUNI BORA ZA KILIMO KWENYE ZAO LA MPUNGA.

Mafunzo hayo yalilenga kuwaelimisha Maafisa Ugani pamoja na Wakulima Viongozi wa Halmashauri ya Mji Ifakara kuhusu Mbegu bora kwa kutumia mbegu zilizo na ubora wa hali ya juu kuwa na mgawo bora wa ukuaji na uzalishaji mkubwa.

Pia Afya ya udongo kwa kujifunza umuhimu wa ukaguzi wa udongo, kuongeza rutuba kwa kutumia mbolea zinazofaa, na kudumisha miundo ya udongo ili uzalishaji usiathiriwe vibaya.


Aidha walipata nafasi ya kujifunza usimamizi wa maji kwenye zao la mpunga unahitaji maji kwa wingi, hivyo mafunzo yamekuwa juu ya njia za kusimamia maji vizuri shambani,usimamizi wa umwagiliaji ikiwa ni moja ya mbinu muhimu sambamba na hilo walijifunza Madirisha ya muda wa kilimo Kwa kupanga wakati sahihi wa kupanda, mvua, na kuzingatia mabadiliko ya hali ya hewa ili kuepuka kusabisha upotevu wa mazao pamoja na Udhibiti wa wadudu na magonjwa,uhifadhi baada ya kuvuna.

Matangazo

  • TANGAZO LA MAOMBI YA MPIGA KURA KUPIGA KURA YA RAIS WA JAMHURI YA MUUNGANO WA TANZANIA KATIKA KITUO TOFAUTI NA KITUO ALICHOJIANDIKISHA September 18, 2025
  • Ona yote

Habari Mpya

  • WAZEE WATAKIWA KUENDELEA KUDUMISHA AMANI NCHINI

    October 01, 2025
  • WADAU WA KILIMO, MIFUGO NA UVUVI WATAKIWA KUWASAIDIA WANANCHI KUPATA MBEGU BORA

    September 26, 2025
  • WADAU MBALIMBALI WAHIMIZWA KUWEKEZA KATIKA UJENZI WA VIWANDA VYA KUCHAKATA TAKA ( RECYCLING) ILI KUONGEZEA THAMANI

    September 20, 2025
  • SHIRIKA LA FARM AFRICA KUPITIA MRADI WA KILIMO MASOKO(FARM TO MARKET ALLIANCE)LIMETOA MAFUNZO KWA MAAFISA UGANI NA WAKULIMA VIONGOZI JUU YA KANUNI BORA ZA KILIMO KWENYE ZAO LA MPUNGA

    September 22, 2025
  • Ona yote

Video

Shangwe la Mkesha wa Mwenge 2025 Uwanja wa CCM Mkamba Kidatu Msanii wa Muziki MC Hamza akiimba na wanaIfakara, Tarehe 17-04-2025.
More Videos

Kurasa za Haraka

  • MATOKEO KIDATO CHA NNE 2024
  • MATOKEO YA KIDATO CHA SITA 2024
  • MATOKEO YA KIDATO CHA PILI 2024
  • Ramani ya halmashauri ya mji wa Ifakara
  • BOFYA HAPA KUOMBA KITAMBULISHO CHA WAJASILIAMALI WADOGO
  • CHF

Kurasa Mfanano

  • Tovuti kuu ya serikali
  • Wizara ya Tamisemi
  • Wizara ya utumishi wa uma
  • Tovuti ya mkoa wa Morogoro
  • Tovuti ya Ajira Tanzania

World visitors tracker

world map hits counter

Visitors Counter

free HitCounter

Location Map

Mawasiliano Yetu

    Kibaoni - Bomani

    Sanduku la Barua: 433 Ifakara

    Simu ya Mezani: +255 (0)23 - 2934212

    Simu ya Mkononi: -

    Barua Pepe: td@ifakaratc.go.tz / info@ifakaratc.go.tz

Other Contacts

   

    • Sera ya Uhifadhi
    • Kanusho
    • Ramani
    • Huduma

Haki Miliki @2018 Halmashauri ya Mji wa Ifakara . Haki zote zimehifadhiwa