• Mawasiliano Yetu |
    • Maswali ya mara kwa mara |
    • Barua pepe za Watumishi |
    • Malalamiko |
Ifakara Town Council
Ifakara Town Council

Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Ofisi ya Rais Tawala za Mikoa na Serikali za Mitaa Halmashauri ya Mji Ifakara

  • Mwanzo
  • Kuhusu Sisi
    • Wasifu wa Halmashauri
    • Dira na Dhamira
    • Maadili ya msingi
    • Mikakati
  • Utawala
    • Muundo wa Halmashauri
    • Idara
      • Ujenzi
      • Utawala na Rasilimali Watu
      • Fedha na Biashara
      • Mipango,Takwimu & Ufuatiliaji
      • Elimu Msingi
      • Elimu Sekondari
      • Afya
      • Usafi na Mazingira
      • Kilimo,Ushirika & Umwagiliaji
      • Mifugo na Uvuvi
      • Maji
      • Maendeleo ya Jamii
      • Ardhi na Maliasili
    • Vitengo
      • Manunuzi & Ugavi
      • Sheria
      • TEHAMA
      • Uchaguzi
      • Ufugaji Nyuki
      • Mkaguzi wa Ndani
  • Fursa za Uwekezaji
    • Maeneo ya Uwekezaji
  • Huduma
    • Ukodishaji wa Mitambo
    • Upimaji,Usanifu wa Viwanja,Majengo &Mashamba
  • Madiwani
    • Orodha ya waheshimiwa Madiwani
    • Kamati za kudumu
    • Ratiba za kudumu
    • Kata
      • Mbasa
      • Katindiuka
      • Mlabani
      • Lumemo
      • Kibaoni
      • Viwanja sitini
      • Ifakara
      • Michenga
      • Lipangalala
  • Miradi
    • Miradi inayoendelea
    • Miradi Iliyokamilika
    • Itakayotekelezwa
  • Machapisho
    • CHF iliyoboreshwa
    • Miongozo
    • Ripoti
    • Kanuni
    • Mkataba wa Huduma kwa Mteja
  • Kituo cha Habari
    • Taarifa kwa Vyombo vya Habari
    • Hotuba
    • Maktaba ya Video
    • Maktaba ya Picha
  • Mifumo

SERIKALI ILIVYOTATUA ADHA YA KUTEMBEA UMBALI WA ZAIDI YA KM 10 KWA WANAFUNZI WA SHULE YA SEKONDARI MSOLWA STATION

Posted on: October 24th, 2023

Shule ya Sekondari Msolwa Station yenye namba za usajili *S6252* inayopatikana Kijiji cha Msolwa Station, Kata ya Msolwa Station, Tarafa ya Kidatu katika  Halmashauri ya Mji Ifakara.


Shule hii imeanza rasmi mwaka huu 2023 ambapo ujenzi wake ulianzishwa Mwaka 2022 kwa nguvu za Wananchi kwa kuanzisha jengo lenye Madarasa mawili na kupelekea Uongozi wa Halmashauri ya Mji Ifakara kuona haja ya kuunga mkono juhudi za Wananchi  kwa kutoa fedha kiasi cha Shilingi Milioni 25 ili kumalizia hatua zilizoanzishwa katika ujenzi.


Kwa utashi wa Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Mhe.Samia Suluhu Hassan,Shule hii ilipokea fedha kiasi cha shilingi Milioni 60 kutoka Serikali kuu kwa ajili ya ujenzi wa Madarasa matatu na kufanya shule iwe na jumla ya Madarasa Matano


Shukrani za dhati zimuendee Mkurugenzi wa Halmashauri ya Mji Ifakara Ndg.Lena Nkaya kwa kufanikisha ukamilishaji wa ujenzi wa Shule hii.


Mpaka sasa wanafunzi wapatao 120 wameondokana na adha ya kutembea umbali mrefu  takriban km 10 kwenda Shule ya Sekondari Nyange na km 10 kurudi katika makazi yao ili kuisaka haki yao ya Msingi ya kupata Elimu.


Ni matumaini yetu kuwa Wananchi wataendelea kujitolea katika kutatua changamoto na kuleta Maendeleo yenye tija katika jamii husika na Serikali iko tayari kuwatumikia Wananchi wake kwa kuunga mkono juhudi zao.

Matangazo

  • MGAWANYO WA FEDHA ZA UJENZI WA MADARASA TOKA SERIKALI KUU 2022/2023 December 18, 2022
  • Tangazo la Uuzaji Wa Viwanja. March 03, 2023
  • TANGAZO KWA WATUMISHI WOTE HALMASHAURI YA MJI IFAKARA November 01, 2022
  • TIMU YA WASICHANA CHINI YA MIAKA 17 LEO TAREHE 18/12/2022 WATACHEZA FAINALI MKOANI ARUSHA December 18, 2022
  • Ona yote

Habari Mpya

  • TUMEWASIKIA NA TUMEWAFIKIA.

    November 02, 2023
  • UFUNGUZI WA MSIMU WA KILIMO WILAYA YA KILOMBERO 2023-2024 UMEFANYIKA KATIKA UWANJA WA MASHADA KATA YA MWAYA HALMASHAURI YA MJI IFAKARA.

    October 28, 2023
  • SERIKALI ILIVYOTATUA ADHA YA KUTEMBEA UMBALI WA ZAIDI YA KM 10 KWA WANAFUNZI WA SHULE YA SEKONDARI MSOLWA STATION

    October 24, 2023
  • KAMATI YA FEDHA NA UTAWALA YAKAGUA MIRADI YA MAENDELEO.

    October 22, 2023
  • Ona yote

Video

Mkutano wa Baraza la Madiwani robo ya nne Halm ya Mji Ifakara uliofanyika tarehe 22/09/2021
More Videos

Kurasa za Haraka

  • CHF
  • Ramani ya halmashauri ya mji wa Ifakara
  • MATOKEO KIDATO CHA NNE 2017
  • BOFYA HAPA KUOMBA KITAMBULISHO CHA WAJASILIAMALI WADOGO

Kurasa Mfanano

  • Tovuti kuu ya serikali
  • Wizara ya Tamisemi
  • Wizara ya utumishi wa uma
  • Tovuti ya mkoa wa Morogoro
  • Tovuti ya Ajira Tanzania

World visitors tracker

world map hits counter

Visitors Counter

free HitCounter

Location Map

Mawasiliano Yetu

Other Contacts

   

    • Sera ya Uhifadhi
    • Kanusho
    • Ramani
    • Huduma

Haki Miliki @2018 Halmashauri ya Mji wa Ifakara . Haki zote zimehifadhiwa