Mh.Mkuu wa Wilaya ya Kilombero akiwa katika uhamasishaji wa uchangiaji wa nguvu na mali katika ujenzi wa miradi ya maendeleo akiwa katika kijiji cha Msolwa Station ameshiriki shughuli mbalimbali za uhamasishaji akizindua ziara yake kuelekea sherehe za miaka sitini (60) ya Uhuru na Hamsini na tisa (59) ya Jamhuri.
Haki Miliki @2018 Halmashauri ya Mji wa Ifakara . Haki zote zimehifadhiwa