Ikiwa ni siku ya kuzaliwa ya Rais wa Jamhuri Ya Muungano wa Tanzania Mh.Samia Suluhu Hassan, Katika wilaya ya Kilombero Mkuu wa Wilaya akishirikiana na Watumishi wa serikali pamoja na wanafunzi wa Shule ya Sekondari Kilombero wamemtakia Kheri ya Kuzaliwa Mh.Samia Suluhu Hassan.
Haki Miliki @2018 Halmashauri ya Mji wa Ifakara . Haki zote zimehifadhiwa