• Mawasiliano Yetu |
    • Maswali ya mara kwa mara |
    • Barua pepe za Watumishi |
    • Malalamiko |
Ifakara Town Council
Ifakara Town Council

Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Ofisi ya Rais Tawala za Mikoa na Serikali za Mitaa Halmashauri ya Mji Ifakara

  • Mwanzo
  • Kuhusu Sisi
    • Wasifu wa Halmashauri
    • Dira na Dhamira
    • Maadili ya msingi
    • Mikakati
  • Utawala
    • Muundo wa Halmashauri
    • Idara
      • Ujenzi
      • Utawala na Rasilimali Watu
      • Fedha na Biashara
      • Mipango,Takwimu & Ufuatiliaji
      • Elimu Msingi
      • Elimu Sekondari
      • Afya
      • Usafi na Mazingira
      • Kilimo,Ushirika & Umwagiliaji
      • Mifugo na Uvuvi
      • Maji
      • Maendeleo ya Jamii
      • Ardhi na Maliasili
    • Vitengo
      • Manunuzi & Ugavi
      • Sheria
      • TEHAMA
      • Uchaguzi
      • Ufugaji Nyuki
      • Mkaguzi wa Ndani
  • Fursa za Uwekezaji
    • Maeneo ya Uwekezaji
  • Huduma
    • Ukodishaji wa Mitambo
    • Upimaji,Usanifu wa Viwanja,Majengo &Mashamba
  • Madiwani
    • Orodha ya waheshimiwa Madiwani
    • Kamati za kudumu
    • Ratiba za kudumu
    • Kata
      • Mbasa
      • Katindiuka
      • Mlabani
      • Lumemo
      • Kibaoni
      • Viwanja sitini
      • Ifakara
      • Michenga
      • Lipangalala
  • Miradi
    • Miradi inayoendelea
    • Miradi Iliyokamilika
    • Itakayotekelezwa
  • Machapisho
    • CHF iliyoboreshwa
    • Miongozo
    • Ripoti
    • Kanuni
    • Mkataba wa Huduma kwa Mteja
  • Kituo cha Habari
    • Taarifa kwa Vyombo vya Habari
    • Hotuba
    • Maktaba ya Video
    • Maktaba ya Picha
  • Mifumo

MKURUGENZI IFAKARA MJI AWAHIMIZA WANANCHI KUJITOKEZA KWA WINGI KUPATA HUDUMA ZA MATIBABU YA KIBINGWA.

Posted on: May 28th, 2025

Mkurugenzi wa Halmashauri ya Mji Ifakara Bi. Pilly Kitwana amewahimiza Wananchi  wa Halmashauri ya Mji Ifakara na maeneo ya jirani  kujitokeza kwa wingi kupata huduma za  Matibabu ya Kibingwa  kutoka kwa Madaktari Bingwa waliotoka nchini Italia wakishirikiana na Madaktari wa Hospitali ya Rufaa ya Mkoa ya Mtakatifu Fransisko - Ifakara  kwaajili ya kutoa huduma za Matibabu ya  Upimaji wa Magonjwa ya Masikio ,  Pua na Koo . Mdomo sungura, Matende na mabusha , vidonda n.k

Hayo ameyasema leo tarehe 28 Mei ,2025 wakati akizindua  huduma za Matibabu ya Kibingwa katika  Hospitali ya Rufaa ya Mkoa ya Mtakatifu Fransisko zinazotolewa na Madaktari hao waliotoka nchini Italia  kwa kushirikiana na Madaktari wa Hospitali ya Rufaa ya Mkoa ya Mtakatifu Fransisko Ifakara.


Aidha  alimshukuru  Mhe.Rais Dkt. Samia Suluhu Hassan kwa kuendelea kuimarisha mahusiano kati ya Taasisi za Dini na Serikali ambayo yanapelekea kuboresha utolewaji wa huduma kwa jamii.


Wakati huohuo Mkurugenzi wa Tiba Hospitali ya Rufaa ya Mkoa ya  Mtakatifu Fransisko Ifakara Fr. Dkt . Winifridi Gingo alisema Hospitali hiyo ya Rufaa ya  Mkoa ya  Mtakatifu Fransisko hupokea Madaktari hao kila mwaka kwa ajili ya kutoa huduma za Kibingwa kwa Wagonjwa hao ambapo mara baada ya kumaliza huwaachia ujuzi , uzoefu na vifaa  Madaktari Bingwa wa Hospitali hiyo.

" Huduma hizi zimeanza kuanzia leo tarehe 28 /5/2025 Hadi tarehe 11/6/2025  na uchunguzi wa magonjwa haya ni bure na Matibabu yake yanafanyika kwa punguzo la bei" . Alisema  Fr. Dkt. Gingo


Kwa upande wake Kiongozi wa Madaktari  Bingwa kutoka Bologna - Italy Dkt. Actovia Vichi alishukuru kwa Mapokezi mazuri kwa Ofisi ya Mkurugenzi  kwa kushirikiana na  Hospitali ya Rufaa ya Mkoa ya Mtakatifu Fransisko na kuahidi kuwahudumia vizuri   kwa Wagonjwa wote  watakaofika hapo Kupata Matibabu.

Huduma hizo zinatolewa kwa Kushirikiana na  Ofisi ya Mkurugenzi wa Halmashauri ya Mji Ifakara na Hospitali ya Rufaa ya Mkoa ya Mtakatifu Fransisko -Ifakara.





Matangazo

  • No records found
  • Ona yote

Habari Mpya

  • MGOGORO WA MPAKA BAINA YA WANANCHI WA KIJIJI CHA MACHIPI NA HIFADHI YA MILIMA YA UDZUNGWA KATIKA ENEO LA ITULA UNATAFUTIWA SULUHU YA KUDUMU, TIMU YA WATAALAMU NA WAWAKILISHI WA WANANCHI KUFIKA ENEO HILO KWAAJILI YA KUKAGUA MIPAKA

    July 11, 2025
  • DC KYOBYA NA MENEJIMENTI (CMT) YA HALMASHAURI YA MJI IFAKARA WATEMBELEA MASOKO YA WAFANYA BIASHARA WA SAMAKI WALIOPO STENDI YA KIBAONI NA SOKO LA KARIAKOO KATIKA KATA YA VIWANJA SITINI

    July 09, 2025
  • MKURUGENZI WA HALMASHAURI YA MJI IFAKARA BI. PILLY KITWANA AWATAKA MAAFISA ELIMU KATA NA WAKUU WA SHULE ZA SEKONDARI KUSIMAMIA VIZURI MIRADI YA MAENDELEO

    July 09, 2025
  • WATUMISHI HALMASHAURI YA MJI IFAKARA NA HALMASHAURI YA WILAYA MLIMBA WAJENGEWA UWEZO JUU YA UTEKELEZAJI WA MFUMO WA USIMAMIZI WA UTENDAJI KAZI KATIKA UTUMISHI WA UMMA (e -UTENDAJI).

    June 26, 2025
  • Ona yote

Video

Shangwe la Mkesha wa Mwenge 2025 Uwanja wa CCM Mkamba Kidatu Msanii wa Muziki MC Hamza akiimba na wanaIfakara, Tarehe 17-04-2025.
More Videos

Kurasa za Haraka

  • MATOKEO KIDATO CHA NNE 2024
  • MATOKEO YA KIDATO CHA SITA 2024
  • MATOKEO YA KIDATO CHA PILI 2024
  • Ramani ya halmashauri ya mji wa Ifakara
  • BOFYA HAPA KUOMBA KITAMBULISHO CHA WAJASILIAMALI WADOGO
  • CHF

Kurasa Mfanano

  • Tovuti kuu ya serikali
  • Wizara ya Tamisemi
  • Wizara ya utumishi wa uma
  • Tovuti ya mkoa wa Morogoro
  • Tovuti ya Ajira Tanzania

World visitors tracker

world map hits counter

Visitors Counter

free HitCounter

Location Map

Mawasiliano Yetu

    Kibaoni - Bomani

    Sanduku la Barua: 433 Ifakara

    Simu ya Mezani: +255 (0)23 - 2934212

    Simu ya Mkononi: -

    Barua Pepe: td@ifakaratc.go.tz / info@ifakaratc.go.tz

Other Contacts

   

    • Sera ya Uhifadhi
    • Kanusho
    • Ramani
    • Huduma

Haki Miliki @2018 Halmashauri ya Mji wa Ifakara . Haki zote zimehifadhiwa