• Mawasiliano Yetu |
    • Maswali ya mara kwa mara |
    • Barua pepe za Watumishi |
    • Malalamiko |
Ifakara Town Council
Ifakara Town Council

Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Ofisi ya Rais Tawala za Mikoa na Serikali za Mitaa Halmashauri ya Mji Ifakara

  • Mwanzo
  • Kuhusu Sisi
    • Wasifu wa Halmashauri
    • Dira na Dhamira
    • Maadili ya msingi
    • Mikakati
  • Utawala
    • Muundo wa Halmashauri
    • Idara
      • Ujenzi
      • Utawala na Rasilimali Watu
      • Fedha na Biashara
      • Mipango,Takwimu & Ufuatiliaji
      • Elimu Msingi
      • Elimu Sekondari
      • Afya
      • Usafi na Mazingira
      • Kilimo,Ushirika & Umwagiliaji
      • Mifugo na Uvuvi
      • Maji
      • Maendeleo ya Jamii
      • Ardhi na Maliasili
    • Vitengo
      • Manunuzi & Ugavi
      • Sheria
      • TEHAMA
      • Uchaguzi
      • Ufugaji Nyuki
      • Mkaguzi wa Ndani
  • Fursa za Uwekezaji
    • Maeneo ya Uwekezaji
  • Huduma
    • Ukodishaji wa Mitambo
    • Upimaji,Usanifu wa Viwanja,Majengo &Mashamba
  • Madiwani
    • Orodha ya waheshimiwa Madiwani
    • Kamati za kudumu
    • Ratiba za kudumu
    • Kata
      • Mbasa
      • Katindiuka
      • Mlabani
      • Lumemo
      • Kibaoni
      • Viwanja sitini
      • Ifakara
      • Michenga
      • Lipangalala
  • Miradi
    • Miradi inayoendelea
    • Miradi Iliyokamilika
    • Itakayotekelezwa
  • Machapisho
    • CHF iliyoboreshwa
    • Miongozo
    • Ripoti
    • Kanuni
    • Mkataba wa Huduma kwa Mteja
  • Kituo cha Habari
    • Taarifa kwa Vyombo vya Habari
    • Hotuba
    • Maktaba ya Video
    • Maktaba ya Picha
  • Mifumo

MAFUNZO KWA WAANDISHI WASAIDIZI NA WAENDESHA VIFAA VYA BAYOMETRIKI (BVR) KWA AJILI YA UBORESHAJI WA DAFTARI LA KUDUMU LA WAPIGA KURA KWENYE UCHAGUZI MKUU 2025.

Posted on: February 26th, 2025

Waandishi Wasaidizi na Waendeshaji wa Vifaa vya Bayometriki (BVR)  Jimbo la Kilombero Februari 26 ,2025 wamepatiwa Mafunzo  kuelekea zoezi hilo linalotarajiwa kufanyika kuanzia 1-7 Machi 2025 katika Vituo mbalimbali ndani ya Kata zote 19 za Jimbo la Kilombero.


Mafunzo hayo yamelenga kuwawezesha wahusika kupata ujuzi wa kina kuhusu matumizi sahihi ya vifaa vya BVR, usimamizi wa taarifa za wapiga kura, na kuhakikisha usahihi wa taarifa ili kuepusha dosari zinazoweza kuathiri mchakato wa uchaguzi. Vilevile kuhimiza uadilifu, uwajibikaji, na weledi katika kutekeleza majukumu yao.


Aidha, Mratibu wa Uandikishaji wa  Mkoa wa Morogoro Bw. Herman Tesha  aliwasisitiza Washiriki hao kuwa wasikivu na Makini katika Mafunzo hayo Ili wakafanye Kazi kwa weledi katika Vituo watakavyokwenda kufanyia Kazi  na kuhakikisha kila mmoja  anatunza vizuri  vifaa hivyo vya zoezi la Uboreshaji wa Daftari la Kudumu la Wapiga kura

.

" Hili ni suala muhimu kitaifa muhakikishe mnaongeza umakini na Uadilifu wa hali ya Juu, mkazingatie Sheria , kanuni na weledi katika zoezi hili. " Alieleza Bw. Tesha.


Mgeni Rasmi katika Mafunzo hayo alikua Mkurugenzi wa Halmashauri ya Mji Ifakara Bi. Pilly Kitwana ambaye aliwataka Wasaidizi hao kuhakikisha wanafuta yale watakayofundishwa katika semina hiyo Ili zoezi la Uboreshaji wa Daftari la Wapiga kura lifanyike kwa weledi.


Jumla ya Washiriki 634 wamepatiwa Mafunzo hayo ya siku mbili  yaliyoanza leo tarehe 26 Februari 2025 na kuhitimishwa hapo kesho tarehe 27 Februari 2025.







Matangazo

  • KUITWA USAILI BVR TARAFA YA MANG'ULA February 07, 2025
  • KUITWA USAILI BVR TARAFA YA IFAKARA February 07, 2025
  • KUITWA USAILI BVR TARAFA YA KIDATU February 07, 2025
  • TANGAZO KWA WATUMISHI WOTE HALMASHAURI YA MJI IFAKARA November 01, 2022
  • Ona yote

Habari Mpya

  • MKURUGENZI IFAKARA MJI AWAHIMIZA WANANCHI KUJITOKEZA KWA WINGI KUPATA HUDUMA ZA MATIBABU YA KIBINGWA.

    May 28, 2025
  • MKUTANO WA TRA NA WAFANYABIASHARA WILAYA YA KILOMBERO

    March 05, 2025
  • HAMASA YATOLEWA KWA JAMII YA WAFUGAJI KUSHIRIKI MAADHIMISHO SIKU YA WANAWAKE DUNIANI PAMOJA NA UBORESHAJI WA DAFTARI LA KUDUMU LA WAPIGA KURA IFAKARA TC

    February 27, 2025
  • MAFUNZO KWA WATENDAJI NGAZI YA JIMBO JUU YA UBORESHAJI WA DAFTARI LA KUDUMU LA WAPIGA KURA

    February 22, 2025
  • Ona yote

Video

Shangwe la Mkesha wa Mwenge 2025 Uwanja wa CCM Mkamba Kidatu Msanii wa Muziki MC Hamza akiimba na wanaIfakara, Tarehe 17-04-2025.
More Videos

Kurasa za Haraka

  • MATOKEO KIDATO CHA NNE 2024
  • MATOKEO YA KIDATO CHA SITA 2024
  • MATOKEO YA KIDATO CHA PILI 2024
  • Ramani ya halmashauri ya mji wa Ifakara
  • BOFYA HAPA KUOMBA KITAMBULISHO CHA WAJASILIAMALI WADOGO
  • CHF

Kurasa Mfanano

  • Tovuti kuu ya serikali
  • Wizara ya Tamisemi
  • Wizara ya utumishi wa uma
  • Tovuti ya mkoa wa Morogoro
  • Tovuti ya Ajira Tanzania

World visitors tracker

world map hits counter

Visitors Counter

free HitCounter

Location Map

Mawasiliano Yetu

    Kibaoni - Bomani

    Sanduku la Barua: 433 Ifakara

    Simu ya Mezani: +255 (0)23 - 2934212

    Simu ya Mkononi: -

    Barua Pepe: td@ifakaratc.go.tz / info@ifakaratc.go.tz

Other Contacts

   

    • Sera ya Uhifadhi
    • Kanusho
    • Ramani
    • Huduma

Haki Miliki @2018 Halmashauri ya Mji wa Ifakara . Haki zote zimehifadhiwa