• Mawasiliano Yetu |
    • Maswali ya mara kwa mara |
    • Barua pepe za Watumishi |
    • Malalamiko |
Ifakara Town Council
Ifakara Town Council

Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Ofisi ya Rais Tawala za Mikoa na Serikali za Mitaa Halmashauri ya Mji Ifakara

  • Mwanzo
  • Kuhusu Sisi
    • Wasifu wa Halmashauri
    • Dira na Dhamira
    • Maadili ya msingi
    • Mikakati
  • Utawala
    • Muundo wa Halmashauri
    • Idara
      • Ujenzi
      • Utawala na Rasilimali Watu
      • Fedha na Biashara
      • Mipango,Takwimu & Ufuatiliaji
      • Elimu Msingi
      • Elimu Sekondari
      • Afya
      • Usafi na Mazingira
      • Kilimo,Ushirika & Umwagiliaji
      • Mifugo na Uvuvi
      • Maji
      • Maendeleo ya Jamii
      • Ardhi na Maliasili
    • Vitengo
      • Manunuzi & Ugavi
      • Sheria
      • TEHAMA
      • Uchaguzi
      • Ufugaji Nyuki
      • Mkaguzi wa Ndani
  • Fursa za Uwekezaji
    • Maeneo ya Uwekezaji
  • Huduma
    • Ukodishaji wa Mitambo
    • Upimaji,Usanifu wa Viwanja,Majengo &Mashamba
  • Madiwani
    • Orodha ya waheshimiwa Madiwani
    • Kamati za kudumu
    • Ratiba za kudumu
    • Kata
      • Mbasa
      • Katindiuka
      • Mlabani
      • Lumemo
      • Kibaoni
      • Viwanja sitini
      • Ifakara
      • Michenga
      • Lipangalala
  • Miradi
    • Miradi inayoendelea
    • Miradi Iliyokamilika
    • Itakayotekelezwa
  • Machapisho
    • CHF iliyoboreshwa
    • Miongozo
    • Ripoti
    • Kanuni
    • Mkataba wa Huduma kwa Mteja
  • Kituo cha Habari
    • Taarifa kwa Vyombo vya Habari
    • Hotuba
    • Maktaba ya Video
    • Maktaba ya Picha
  • Mifumo

HALMASHAURI YA MJI IFAKARA YANUNUA GARI LA TAKA KUIMARISHA USAFI

Posted on: September 22nd, 2025

HALMASHAURI YA MJI IFAKARA YANUNUA GARI KWAAJILI YA KUZOA TAKA NA KUWEKA MJI SAFI

Halmashauri ya Mji Ifakara imenunua Gari kwaajili ya kubeba taka na kuweka Mji Safi. Gari hilo limezinduliwa  Jumatatu tarehe 22 Septemba 2025 na Mkuu wa Wilaya ya Kilombero Mhe. Wakili Dunstan Kyobya nje ya Ofisi za Halmashauri ya Mji Ifakara.

Awali Mkurugenzi wa Halmashauri ya Mji Ifakara Bi. Pilly Kitwana alieleza kuwa Gari hilo limenunuliwa kutokana na Mapato ya ndani ya Halmashauri  na Bajeti hiyo ilipangwa ili kuondokana na adha iliyokuwepo awali ya uzoaji taka.

Wakati huohuo Mkuu wa Idara ya Utawala na Usimamizi wa Rasilimaliwatu Bw. Rashidi Semngoya alisema kuwa kutokana na ujio wa gari hilo lenye uwezo wa kubeba taka  nyingi kwa wakati mmoja  alitoa wito kwa wananchi wa Ifakara kuhifadhi taka kwenye vyombo mahususi ili taka hizo ziweze kuchukuliwa kirahisis na watoe ada /tozo za taka bila shuruti.

" Ninaamini Gari hili tutalitumia na kulitunza vizuri ili liweze kutoa huduma kwa kipindi kirefu zaidi na kuhakikisha Mji wetu unakua safi muda wote ". Alisisitiza Bwana Semngoya.

Nae Mkuu wa Kitengo cha Usafi na Udhibiti wa Taka ngumu Bw. Gabriel Malisa  alieleza jinsi Mji utakavyokuwa Msafi kwani hii ni nyenzo muhimu na wananchi wanapaswa kuchangia kulipa ada za taka ili huduma hiyo iendelee kuwa nzuri.

Kwa upande wake Mgeni Rasmi wakati wa Hafla hiyo ya Uzinduzi Mhe. Wakili Dunstan Kyobya alisisitiza kuendelea kutolewa kwa Elimu ya Usafi wa Mazingira kwa Wananchi wa Halmashauri ya Mji Ifakara  katika ngazi za Mtaa, Vijiji, Vitongoji, na Taasisi zote.

" Changamoto ya Usafi wa Mji ilikuwa kubwa sana , uwepo wa Gari hiii utakuwa Muarobaini wa kwenda kuondoa uchafu wote katika maeneo yote na kila Duka liwe na chomboo cha kuhifadhia taka ". Alisema Mhe. Kyobya.

Matangazo

  • No records found
  • Ona yote

Habari Mpya

  • HALMASHAURI YA MJI IFAKARA YANUNUA GARI LA TAKA KUIMARISHA USAFI

    September 22, 2025
  • ZIARA YA CMT KUTEMBELEA MIRADI YA MAENDELEO TAREHE 18 /9/2025

    September 19, 2025
  • MKURUGENZI WA HALMASHAURI YA MJI IFAKARA PILLY KITWANA ATEMBELEA BANDA LA HALMASHAURI YA IFAKARA MJI KUKAGUA MAANDALIZI YA MWISHO KUELEKEA MAONESHO YA NANE NANE 2025 KANDA YA MASHARIKI

    July 30, 2025
  • BODI YA PAMBA TANZANIA YAFANYA UWEKEZAJI KWA KUKODI ENEO LA KIJIJI CHA KIKWAWILA LENYE UKUBWA WA EKARI ELFU 11,000 KWAAJILI YA KILIMO CHA DENGU

    July 20, 2025
  • Ona yote

Video

Shangwe la Mkesha wa Mwenge 2025 Uwanja wa CCM Mkamba Kidatu Msanii wa Muziki MC Hamza akiimba na wanaIfakara, Tarehe 17-04-2025.
More Videos

Kurasa za Haraka

  • MATOKEO KIDATO CHA NNE 2024
  • MATOKEO YA KIDATO CHA SITA 2024
  • MATOKEO YA KIDATO CHA PILI 2024
  • Ramani ya halmashauri ya mji wa Ifakara
  • BOFYA HAPA KUOMBA KITAMBULISHO CHA WAJASILIAMALI WADOGO
  • CHF

Kurasa Mfanano

  • Tovuti kuu ya serikali
  • Wizara ya Tamisemi
  • Wizara ya utumishi wa uma
  • Tovuti ya mkoa wa Morogoro
  • Tovuti ya Ajira Tanzania

World visitors tracker

world map hits counter

Visitors Counter

free HitCounter

Location Map

Mawasiliano Yetu

    Kibaoni - Bomani

    Sanduku la Barua: 433 Ifakara

    Simu ya Mezani: +255 (0)23 - 2934212

    Simu ya Mkononi: -

    Barua Pepe: td@ifakaratc.go.tz / info@ifakaratc.go.tz

Other Contacts

   

    • Sera ya Uhifadhi
    • Kanusho
    • Ramani
    • Huduma

Haki Miliki @2018 Halmashauri ya Mji wa Ifakara . Haki zote zimehifadhiwa