• Mawasiliano Yetu |
    • Maswali ya mara kwa mara |
    • Barua pepe za Watumishi |
    • Malalamiko |
Ifakara Town Council
Ifakara Town Council

Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Ofisi ya Rais Tawala za Mikoa na Serikali za Mitaa Halmashauri ya Mji Ifakara

  • Mwanzo
  • Kuhusu Sisi
    • Wasifu wa Halmashauri
    • Dira na Dhamira
    • Maadili ya msingi
    • Mikakati
  • Utawala
    • Muundo wa Halmashauri
    • Idara
      • Ujenzi
      • Utawala na Rasilimali Watu
      • Fedha na Biashara
      • Mipango,Takwimu & Ufuatiliaji
      • Elimu Msingi
      • Elimu Sekondari
      • Afya
      • Usafi na Mazingira
      • Kilimo,Ushirika & Umwagiliaji
      • Mifugo na Uvuvi
      • Maji
      • Maendeleo ya Jamii
      • Ardhi na Maliasili
    • Vitengo
      • Manunuzi & Ugavi
      • Sheria
      • TEHAMA
      • Uchaguzi
      • Ufugaji Nyuki
      • Mkaguzi wa Ndani
  • Fursa za Uwekezaji
    • Maeneo ya Uwekezaji
  • Huduma
    • Ukodishaji wa Mitambo
    • Upimaji,Usanifu wa Viwanja,Majengo &Mashamba
  • Madiwani
    • Orodha ya waheshimiwa Madiwani
    • Kamati za kudumu
    • Ratiba za kudumu
    • Kata
      • Mbasa
      • Katindiuka
      • Mlabani
      • Lumemo
      • Kibaoni
      • Viwanja sitini
      • Ifakara
      • Michenga
      • Lipangalala
  • Miradi
    • Miradi inayoendelea
    • Miradi Iliyokamilika
    • Itakayotekelezwa
  • Machapisho
    • CHF iliyoboreshwa
    • Miongozo
    • Ripoti
    • Kanuni
    • Mkataba wa Huduma kwa Mteja
  • Kituo cha Habari
    • Taarifa kwa Vyombo vya Habari
    • Hotuba
    • Maktaba ya Video
    • Maktaba ya Picha
  • Mifumo

HALMASHAURI YA MJI IFAKARA YAADHIMISHA MIAKA 63 YA UHURU KWA KUPANDA MITI ELFU KUMI

Posted on: December 9th, 2024

Halmashauri ya Mji Ifakara Imeadhimisha  miaka 63 ya Uhuru kwa Kupanda miti elfu 10 katika Kata ya Mbassa.


Tukio hilo limeongozwa na  Mkuu wa Wilaya ya Kilombero Mhe.Wakili Dunstan Kyobya ambapo miti hiyo ilipandwa kando ya mto Lumemo uliopo Kata ya Mbasa.


Aidha Mkuu huyo wa Wilaya alimshukuru Rais wa Jamhuri ya  Muungano wa Tanzania Mhe. Dkt. Samia Suluhu Hassan kwa kuleta fedha Kwa ajili ya ujenzi wa tuta la kuzuia maji ya Mto Lumemo kwenda kwenye makazi ya watu na kusababisha mafuriko.


" Leo tumepanda miti kando ya Mto Lumemo ikiwa ni maelekezo ya  Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Mhe. Dkt. Samia Suluhu Hassan  Kwamba kila Wilaya,Kila mwananchi Kupanda mti siku ya 9 Disemba kama uhifadhi wa mazingira hivyo niziombe taasisi zingine kuja kupata maeneo ya kutengeneza garden kuanzia daraja la Machipi mpaka Lipangalala kuwe na maeneo ya kuvutia."Amesema Mhe.Kyobya


Kwa upande wake Kaimu Mkurugenzi wa Halmashauri ya Mji Ifakara Bibi. Witness Kimoleta aliutaka uongozi wa Kata ya Mbassa kuitunza miti hiyo ili kuhakikisha inakua vizuri.


" Afisa Maendeleo ya Jamii ahakikishe  miti inapandwa katika Eneo hili na pia nitoe wito na niagize Serikali ya Kijiji na Kata ya Mbassa kuhakikisha Ulinzi na usalama wa maeneo haya yaliyokwisha pandwa miti ili iweze kukua vizuri". Alieleza Bibi. Kimoleta.


Nae Katibu Tawala wa Wilaya ya Kilombero Bw. Abraham Mwaikwila  aliwasihi Wananchi kushiriki shughuli za Kijamii katika maeneo mbalimbali ikiwemo Kupanda miti, kufanya usafi  sehemu mbalimbali.


" Ifakara tuna NGOs nyingi ambazo zina jihusisha na Uhifadhi wa Mazingira hivyo niwasihi wazidi kujitokeza kupata maeneo ya kupanda miti ili kutunza Mazingira  yetu. Alisema Bw. Mwaikwila

Matangazo

  • KUITWA USAILI BVR TARAFA YA MANG'ULA February 07, 2025
  • KUITWA USAILI BVR TARAFA YA IFAKARA February 07, 2025
  • KUITWA USAILI BVR TARAFA YA KIDATU February 07, 2025
  • TANGAZO KWA WATUMISHI WOTE HALMASHAURI YA MJI IFAKARA November 01, 2022
  • Ona yote

Habari Mpya

  • MKUTANO WA TRA NA WAFANYABIASHARA WILAYA YA KILOMBERO

    March 05, 2025
  • HAMASA YATOLEWA KWA JAMII YA WAFUGAJI KUSHIRIKI MAADHIMISHO SIKU YA WANAWAKE DUNIANI PAMOJA NA UBORESHAJI WA DAFTARI LA KUDUMU LA WAPIGA KURA IFAKARA TC

    February 27, 2025
  • MAFUNZO KWA WATENDAJI NGAZI YA JIMBO JUU YA UBORESHAJI WA DAFTARI LA KUDUMU LA WAPIGA KURA

    February 22, 2025
  • UBORESHAJI WA DAFTARI LA KUDUMU LA WAPIGA KURA JIMBO LA KILOMBERO KUANZA TAREHE 1 MACHI, 2025 HADI TAREHE 7 MACHI 2025

    February 24, 2025
  • Ona yote

Video

Shangwe la Mkesha wa Mwenge 2025 Uwanja wa CCM Mkamba Kidatu Msanii wa Muziki MC Hamza akiimba na wanaIfakara, Tarehe 17-04-2025.
More Videos

Kurasa za Haraka

  • MATOKEO KIDATO CHA NNE 2024
  • MATOKEO YA KIDATO CHA SITA 2024
  • MATOKEO YA KIDATO CHA PILI 2024
  • Ramani ya halmashauri ya mji wa Ifakara
  • BOFYA HAPA KUOMBA KITAMBULISHO CHA WAJASILIAMALI WADOGO
  • CHF

Kurasa Mfanano

  • Tovuti kuu ya serikali
  • Wizara ya Tamisemi
  • Wizara ya utumishi wa uma
  • Tovuti ya mkoa wa Morogoro
  • Tovuti ya Ajira Tanzania

World visitors tracker

world map hits counter

Visitors Counter

free HitCounter

Location Map

Mawasiliano Yetu

    Kibaoni - Bomani

    Sanduku la Barua: 433 Ifakara

    Simu ya Mezani: +255 (0)23 - 2934212

    Simu ya Mkononi: -

    Barua Pepe: td@ifakaratc.go.tz / info@ifakaratc.go.tz

Other Contacts

   

    • Sera ya Uhifadhi
    • Kanusho
    • Ramani
    • Huduma

Haki Miliki @2018 Halmashauri ya Mji wa Ifakara . Haki zote zimehifadhiwa