• Mawasiliano Yetu |
    • Maswali ya mara kwa mara |
    • Barua pepe za Watumishi |
    • Malalamiko |
Ifakara Town Council
Ifakara Town Council

Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Ofisi ya Rais Tawala za Mikoa na Serikali za Mitaa Halmashauri ya Mji Ifakara

  • Mwanzo
  • Kuhusu Sisi
    • Wasifu wa Halmashauri
    • Dira na Dhamira
    • Maadili ya msingi
    • Mikakati
  • Utawala
    • Muundo wa Halmashauri
    • Idara
      • Ujenzi
      • Utawala na Rasilimali Watu
      • Fedha na Biashara
      • Mipango,Takwimu & Ufuatiliaji
      • Elimu Msingi
      • Elimu Sekondari
      • Afya
      • Usafi na Mazingira
      • Kilimo,Ushirika & Umwagiliaji
      • Mifugo na Uvuvi
      • Maji
      • Maendeleo ya Jamii
      • Ardhi na Maliasili
    • Vitengo
      • Manunuzi & Ugavi
      • Sheria
      • TEHAMA
      • Uchaguzi
      • Ufugaji Nyuki
      • Mkaguzi wa Ndani
  • Fursa za Uwekezaji
    • Maeneo ya Uwekezaji
  • Huduma
    • Ukodishaji wa Mitambo
    • Upimaji,Usanifu wa Viwanja,Majengo &Mashamba
  • Madiwani
    • Orodha ya waheshimiwa Madiwani
    • Kamati za kudumu
    • Ratiba za kudumu
    • Kata
      • Mbasa
      • Katindiuka
      • Mlabani
      • Lumemo
      • Kibaoni
      • Viwanja sitini
      • Ifakara
      • Michenga
      • Lipangalala
  • Miradi
    • Miradi inayoendelea
    • Miradi Iliyokamilika
    • Itakayotekelezwa
  • Machapisho
    • CHF iliyoboreshwa
    • Miongozo
    • Ripoti
    • Kanuni
    • Mkataba wa Huduma kwa Mteja
  • Kituo cha Habari
    • Taarifa kwa Vyombo vya Habari
    • Hotuba
    • Maktaba ya Video
    • Maktaba ya Picha
  • Mifumo

DC Kyobya azindua wodi ya kujifungulia wakina mama wajawazito na vifaa tiba,kituo cha Afya kibaoni

Posted on: October 28th, 2024

Mkuu wa Wilaya ya Kilombero Mhe. Wakili Dunstan Kyobya leo Jumatatu tarehe 28 Oktoba 2024 amezindua Wodi ya kujifungulia wakina mama  wajawazito katika Kituo cha Afya Kibaoni kilichopo Halmashauri ya Mji Ifakara  pamoja na Vifaa tiba ikiwemo Kiti cha Kung'olea meno ( Dental Chair) , mashine ya kufulia pamoja na Mashine ya Mionzi (X Ray).


Aidha alimshukuru Mhe. Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Dkt. Samia Suluhu Hassan kwa kuleta kiti cha kisasa cha kung' olea meno chenye thamani  ya Shilingi Milioni 21, Mashine ya kufulia yenye thamani ya Shilingi Milioni 22, pamoja na Mashine ya mionzi (X Ray) yenye thamani ya Shilingi Milioni 566.


Vile vile, Mhe. DC alimshukuru Mdau SOLIDARMED kwa kukarabati wodi ya Kujifungulia kina mama na pia  alimshukuru Mbunge wa Jimbo la Kilombero Mhe. Abubakari Asenga kwa kusaidia upatikanaji wa Vitanda katika wodi hiyo ya kina mama.


" Shukrani kwa Mhe. Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania  Mhe. Dkt . Samia Suluhu Hassan kwa kutuletea vifaa  tiba hivi,  kwani vitatatua changamoto nyingi katika Hospitali hii  hivyo kila mtumiaji , wagonjwa na wanaifakara kwa ujumla tunapaswa kuvitunza ili viendelee kutusaidia ". Alisema Mhe. Kyobya


Kwa upande wake Mganga Mfawidhi wa Kituo hicho Daktari Dorcas Ng'wandu alishukuru kwa upatikanaji wa Vifaa hivyo na kuahidi kuvitumia vizuri.


Aidha Mhe. Kyobya alitumia nafasi hiyo kumpongeza Mkurugenzi wa Halmashauri ya Mji Ifakara Bi .Zahara Michuzi kwa kusimamia vizuri Utekelezwaji wa miradi mbalimbali  ya Maendeleo katika Halmashauri hiyo.






Matangazo

  • KUITWA USAILI BVR TARAFA YA MANG'ULA February 07, 2025
  • KUITWA USAILI BVR TARAFA YA IFAKARA February 07, 2025
  • KUITWA USAILI BVR TARAFA YA KIDATU February 07, 2025
  • TANGAZO KWA WATUMISHI WOTE HALMASHAURI YA MJI IFAKARA November 01, 2022
  • Ona yote

Habari Mpya

  • MKUTANO WA TRA NA WAFANYABIASHARA WILAYA YA KILOMBERO

    March 05, 2025
  • HAMASA YATOLEWA KWA JAMII YA WAFUGAJI KUSHIRIKI MAADHIMISHO SIKU YA WANAWAKE DUNIANI PAMOJA NA UBORESHAJI WA DAFTARI LA KUDUMU LA WAPIGA KURA IFAKARA TC

    February 27, 2025
  • MAFUNZO KWA WATENDAJI NGAZI YA JIMBO JUU YA UBORESHAJI WA DAFTARI LA KUDUMU LA WAPIGA KURA

    February 22, 2025
  • UBORESHAJI WA DAFTARI LA KUDUMU LA WAPIGA KURA JIMBO LA KILOMBERO KUANZA TAREHE 1 MACHI, 2025 HADI TAREHE 7 MACHI 2025

    February 24, 2025
  • Ona yote

Video

Shangwe la Mkesha wa Mwenge 2025 Uwanja wa CCM Mkamba Kidatu Msanii wa Muziki MC Hamza akiimba na wanaIfakara, Tarehe 17-04-2025.
More Videos

Kurasa za Haraka

  • MATOKEO KIDATO CHA NNE 2024
  • MATOKEO YA KIDATO CHA SITA 2024
  • MATOKEO YA KIDATO CHA PILI 2024
  • Ramani ya halmashauri ya mji wa Ifakara
  • BOFYA HAPA KUOMBA KITAMBULISHO CHA WAJASILIAMALI WADOGO
  • CHF

Kurasa Mfanano

  • Tovuti kuu ya serikali
  • Wizara ya Tamisemi
  • Wizara ya utumishi wa uma
  • Tovuti ya mkoa wa Morogoro
  • Tovuti ya Ajira Tanzania

World visitors tracker

world map hits counter

Visitors Counter

free HitCounter

Location Map

Mawasiliano Yetu

    Kibaoni - Bomani

    Sanduku la Barua: 433 Ifakara

    Simu ya Mezani: +255 (0)23 - 2934212

    Simu ya Mkononi: -

    Barua Pepe: td@ifakaratc.go.tz / info@ifakaratc.go.tz

Other Contacts

   

    • Sera ya Uhifadhi
    • Kanusho
    • Ramani
    • Huduma

Haki Miliki @2018 Halmashauri ya Mji wa Ifakara . Haki zote zimehifadhiwa