• Mawasiliano Yetu |
    • Maswali ya mara kwa mara |
    • Barua pepe za Watumishi |
    • Malalamiko |
Ifakara Town Council
Ifakara Town Council

Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Ofisi ya Rais Tawala za Mikoa na Serikali za Mitaa Halmashauri ya Mji Ifakara

  • Mwanzo
  • Kuhusu Sisi
    • Wasifu wa Halmashauri
    • Dira na Dhamira
    • Maadili ya msingi
    • Mikakati
  • Utawala
    • Muundo wa Halmashauri
    • Idara
      • Ujenzi
      • Utawala na Rasilimali Watu
      • Fedha na Biashara
      • Mipango,Takwimu & Ufuatiliaji
      • Elimu Msingi
      • Elimu Sekondari
      • Afya
      • Usafi na Mazingira
      • Kilimo,Ushirika & Umwagiliaji
      • Mifugo na Uvuvi
      • Maji
      • Maendeleo ya Jamii
      • Ardhi na Maliasili
    • Vitengo
      • Manunuzi & Ugavi
      • Sheria
      • TEHAMA
      • Uchaguzi
      • Ufugaji Nyuki
      • Mkaguzi wa Ndani
  • Fursa za Uwekezaji
    • Maeneo ya Uwekezaji
  • Huduma
    • Ukodishaji wa Mitambo
    • Upimaji,Usanifu wa Viwanja,Majengo &Mashamba
  • Madiwani
    • Orodha ya waheshimiwa Madiwani
    • Kamati za kudumu
    • Ratiba za kudumu
    • Kata
      • Mbasa
      • Katindiuka
      • Mlabani
      • Lumemo
      • Kibaoni
      • Viwanja sitini
      • Ifakara
      • Michenga
      • Lipangalala
  • Miradi
    • Miradi inayoendelea
    • Miradi Iliyokamilika
    • Itakayotekelezwa
  • Machapisho
    • CHF iliyoboreshwa
    • Miongozo
    • Ripoti
    • Kanuni
    • Mkataba wa Huduma kwa Mteja
  • Kituo cha Habari
    • Taarifa kwa Vyombo vya Habari
    • Hotuba
    • Maktaba ya Video
    • Maktaba ya Picha
  • Mifumo

HALMASHAURI YA MJI IFAKARA YANUNUA GARI LA TAKA ILI KUWEKA MJI SAFI NA KUBORESHA MAZINGIRA

Thursday 9th, October 2025
@

HALMASHAURI YA MJI IFAKARA YANUNUA GARI KWAAJILI YA KUZOA TAKA NA KUWEKA MJI SAFI

Halmashauri ya Mji Ifakara imenunua Gari kwaajili ya kubeba taka na kuweka Mji Safi. Gari hilo limezinduliwa  Jumatatu tarehe 22 Septemba 2025 na Mkuu wa Wilaya ya Kilombero Mhe. Wakili Dunstan Kyobya nje ya Ofisi za Halmashauri ya Mji Ifakara.

Awali Mkurugenzi wa Halmashauri ya Mji Ifakara Bi. Pilly Kitwana alieleza kuwa Gari hilo limenunuliwa kutokana na Mapato ya ndani ya Halmashauri  na Bajeti hiyo ilipangwa ili kuondokana na adha iliyokuwepo awali ya uzoaji taka.

Wakati huohuo Mkuu wa Idara ya Utawala na Usimamizi wa Rasilimaliwatu Bw. Rashidi Semngoya alisema kuwa kutokana na ujio wa gari hilo lenye uwezo wa kubeba taka  nyingi kwa wakati mmoja  alitoa wito kwa wananchi wa Ifakara kuhifadhi taka kwenye vyombo mahususi ili taka hizo ziweze kuchukuliwa kirahisis na watoe ada /tozo za taka bila shuruti.

" Ninaamini Gari hili tutalitumia na kulitunza vizuri ili liweze kutoa huduma kwa kipindi kirefu zaidi na kuhakikisha Mji wetu unakua safi muda wote ". Alisisitiza Bwana Semngoya.

Nae Mkuu wa Kitengo cha Usafi na Udhibiti wa Taka ngumu Bw. Gabriel Malisa  alieleza jinsi Mji utakavyokuwa Msafi kwani hii ni nyenzo muhimu na wananchi wanapaswa kuchangia kulipa ada za taka ili huduma hiyo iendelee kuwa nzuri.

Kwa upande wake Mgeni Rasmi wakati wa Hafla hiyo ya Uzinduzi Mhe. Wakili Dunstan Kyobya alisisitiza kuendelea kutolewa kwa Elimu ya Usafi wa Mazingira kwa Wananchi wa Halmashauri ya Mji Ifakara  katika ngazi za Mtaa, Vijiji, Vitongoji, na Taasisi zote.

" Changamoto ya Usafi wa Mji ilikuwa kubwa sana , uwepo wa Gari hiii utakuwa Muarobaini wa kwenda kuondoa uchafu wote katika maeneo yote na kila Duka liwe na chomboo cha kuhifadhia taka ". Alisema Mhe. Kyobya.



Matangazo

  • TANGAZO LA MAOMBI YA MPIGA KURA KUPIGA KURA YA RAIS WA JAMHURI YA MUUNGANO WA TANZANIA KATIKA KITUO TOFAUTI NA KITUO ALICHOJIANDIKISHA September 18, 2025
  • TANGAZO LA ULIPAJI WA ADA NA USHURU KWA WANANCHI, WAFANYABIASHARA NA TAASISI MBALIMBALI IFAKARA MJI October 03, 2025
  • Ona yote

Habari Mpya

  • BENKI YA CRDB YAKABIDHI VITI NA MEZA 100 SHULE YA SEKONDARI MAHUTANGA

    October 08, 2025
  • CHUO KIKUU CHA SOKOINE CHA KILIMO (SUA) KUWEZESHA VIJANA KUONGEZA UZALISHAJI NA MNYORORO WA THAMANI WA MAZAO - HALMASHAURI YA MJI IFAKARA

    October 06, 2025
  • KAMATI YA USALAMA YA WILAYA YA KILOMBERO (KU) YAMPONGEZA MKURUGENZI WA HALMASHAURI YA MJI IFAKARA BI . PILLY KITWANA KWA USIMAMIZI MZURI WA MIRADI YA MAENDELEO

    October 03, 2025
  • WAZEE WATAKIWA KUENDELEA KUDUMISHA AMANI NCHINI

    October 01, 2025
  • Ona yote

Video

Shangwe la Mkesha wa Mwenge 2025 Uwanja wa CCM Mkamba Kidatu Msanii wa Muziki MC Hamza akiimba na wanaIfakara, Tarehe 17-04-2025.
More Videos

Kurasa za Haraka

  • MATOKEO KIDATO CHA NNE 2024
  • MATOKEO YA KIDATO CHA SITA 2024
  • MATOKEO YA KIDATO CHA PILI 2024
  • Ramani ya halmashauri ya mji wa Ifakara
  • BOFYA HAPA KUOMBA KITAMBULISHO CHA WAJASILIAMALI WADOGO
  • CHF

Kurasa Mfanano

  • Tovuti kuu ya serikali
  • Wizara ya Tamisemi
  • Wizara ya utumishi wa uma
  • Tovuti ya mkoa wa Morogoro
  • Tovuti ya Ajira Tanzania

World visitors tracker

world map hits counter

Visitors Counter

free HitCounter

Location Map

Mawasiliano Yetu

    Kibaoni - Bomani

    Sanduku la Barua: 433 Ifakara

    Simu ya Mezani: +255 (0)23 - 2934212

    Simu ya Mkononi: -

    Barua Pepe: td@ifakaratc.go.tz / info@ifakaratc.go.tz

Other Contacts

   

    • Sera ya Uhifadhi
    • Kanusho
    • Ramani
    • Huduma

Haki Miliki @2018 Halmashauri ya Mji wa Ifakara . Haki zote zimehifadhiwa