• Nukuu ya Ukaribisho
  • Maswali ya mara kwa mara
  • Mawasiliano Yetu
Ifakara Town Council

Jamhuri ya Muungano wa Tanzania
Ofisi ya Rais Tawala za Mikoa na Serikali za Mitaa
Halmashauri ya Mji Ifakara

  • Mwanzo
  • Kuhusu Sisi
    • Dira na Dhamira
    • Historia
    • Taswira
  • Wilaya
    • Babati
    • Mbulu
    • Hanang
    • Kiteto
    • Simanjiro
  • Idara
    • Rasilimali Watu
    • Planning and Management
    • Fedha na Biashara
    • Ukaguzi wa Ndani
    • Manunuzi & Ugavi
    • Uchumi na Uzalishaji
    • Miundombinu
    • Serikali za Mitaa
    • Ustawi wa Jamii
    • TEHAMA
    • Afya
    • Elimu
    • Maji
  • Machapisho
    • Fomu
    • Miongozo
    • Hatua
    • Ripoti
  • Uwekezaji
    • Investment One
    • Investment Two
    • Investment Three
    • Investment Four
    • Investment Five
  • Kituo cha Habari
    • Habari
    • Matangazo
    • Kapu
    • Utamaduni,Sanaa & Michezo
    • Hotuba
    • Taarifa kwa Vyombo vya Habari
    • Videos

WAKULIMA WANATIKIWA KULIMA KILIMO CHENYE TIJA ILI WANUFAIKE NA MFUMO WA STAKABADHI MAZAO GHALANI.

Posted on: September 13th, 2024

Viongozi wa vyama vya ushirika vya msingi (AMCOS) Halmashauri ya Mji Ifakara watakiwa kuhamasisha wakulima kujikita katika kilimo cha mazao ya kimkakati.

Akizungumza katika kikao kazi kilichofanyika mapema wiki hii Afisa ushirika Halmashauri ya Mji Ifakara Ndugu. Issa Kiluwa amewasisitiza viongozi wa vyama vya ushirika vya msingi (AMCOS) kusaidia katika ukusanyaji wa zao la mbaazi ili wakulima waweze kuuza kwa bei nzuri kupitia mfumo wa stakabadhi mazao ghalani.

"Siku ya leo tumekutana na vyama vya ushirika vya msingi (AMCOS) Kwa lengo la kujadili au kutathimini msimu wa zao la Ufuta pia kujipanga na msimu unaokuja wa zao la Mbaazi kwani msimu huu Ifakara AMCOS tumeuza Tani 247.84",alisema Kiluwa.

Mmoja wa viongozi hao ndugu Edwin Daudi amewataka Ma Afisa kilimo kutoa Elimu ya kutosha Kwa wakulima ili waweze kulima kilimo chenye tija Kwa kuzitambua mbegu na mazao bora yatakayo wapatia kipato.

"Wakulima wanatamani kulima mazao ya kifedha yanayoweza kuwainua haraka pia ma bwana shamba inabidi wawe karibu na wakulima ili watambue mmea ni nini na unahitaji nini pia watu wengi bado wanalima kilimo cha zamani inabidi tubadilike."alisema Daudi



Latest Announcements

  • TANGAZO LA MAOMBI YA MPIGA KURA KUPIGA KURA YA RAIS WA JAMHURI YA MUUNGANO WA TANZANIA KATIKA KITUO TOFAUTI NA KITUO ALICHOJIANDIKISHA

    read more
  • TANGAZO LA ULIPAJI WA ADA NA USHURU KWA WANANCHI, WAFANYABIASHARA NA TAASISI MBALIMBALI IFAKARA MJI

    read more
  • View More

Habari Mpya

  • MAANDALIZI YA MPANGO MKAKATI WA HALMASHAURI KWA MWAKA 2026/27 HADI 20230/31
  • MKURUGENZI WA HALMASHAURI YA MJI IFAKARA, TIMU YA MENEJIMENTI WAPONGEZWA
  • MHESHIMIWA KASSIM FAYA NAKAPALA ASHINDA NAFASI YA MWENYEKITI WA HALMASHAURI YA MJI IFAKARA
  • MHESHIMIWA KASSIM FAYA NAKAPALA ASHINDA NAFASI YA MWENYEKITI WA HALMASHAURI YA MJI IFAKARA
  • KATIBU WA CHAMA CHA MAPINDUZI WILAYA YA KILOMBERO AWATAKA MADIWANI KUHAKIKISHA KERO ZA WANANCHI ZINATATULIWA
  • More

Mawasiliano Yetu

Ofisi ya Rais Tawala za Mikoa na Serikali za Mitaa Halmashauri ya Mji Ifakara
Kibaoni - Bomani
Sanduku la Barua: 433 Ifakara
Simu ya Mezani: +255 (0)23 - 2934212
Barua Pepe: td@ifakaratc.go.tz / info@ifakaratc.go.tz
Simu ya Mkononi: -

Kurasa za Haraka

  • CHF
  • Ramani ya halmashauri ya mji wa Ifakara
  • MATOKEO KIDATO CHA NNE 2024
  • BOFYA HAPA KUOMBA KITAMBULISHO CHA WAJASILIAMALI WADOGO
  • MATOKEO YA KIDATO CHA PILI 2024
  • MATOKEO YA KIDATO CHA SITA 2024

Kurasa Mfanano

  • Tovuti kuu ya serikali
  • Wizara ya Tamisemi
  • Wizara ya utumishi wa uma
  • Tovuti ya mkoa wa Morogoro
  • Tovuti ya Ajira Tanzania

Mitandao ya Kijamii

  • Like us on Facebook
  • Follow us on Twitter
  • Find us on Youtube
  • Follow us on Instagram

Copyright ©2016 GWF . All rights reserved.

  • Kanusho
  • Sera ya Uhifadhi
  • Maswali ya mara kwa mara
  • Ramani