• Nukuu ya Ukaribisho
  • Maswali ya mara kwa mara
  • Mawasiliano Yetu
Ifakara Town Council

Jamhuri ya Muungano wa Tanzania
Ofisi ya Rais Tawala za Mikoa na Serikali za Mitaa
Halmashauri ya Mji Ifakara

  • Mwanzo
  • Kuhusu Sisi
    • Dira na Dhamira
    • Historia
    • Taswira
  • Wilaya
    • Babati
    • Mbulu
    • Hanang
    • Kiteto
    • Simanjiro
  • Idara
    • Rasilimali Watu
    • Planning and Management
    • Fedha na Biashara
    • Ukaguzi wa Ndani
    • Manunuzi & Ugavi
    • Uchumi na Uzalishaji
    • Miundombinu
    • Serikali za Mitaa
    • Ustawi wa Jamii
    • TEHAMA
    • Afya
    • Elimu
    • Maji
  • Machapisho
    • Fomu
    • Miongozo
    • Hatua
    • Ripoti
  • Uwekezaji
    • Investment One
    • Investment Two
    • Investment Three
    • Investment Four
    • Investment Five
  • Kituo cha Habari
    • Habari
    • Matangazo
    • Kapu
    • Utamaduni,Sanaa & Michezo
    • Hotuba
    • Taarifa kwa Vyombo vya Habari
    • Videos

Rasimu ya Mpango na Bajet kwa Mwaka 2024/2025

Posted on: February 14th, 2024


Baraza la Madiwani la Halmashauri ya Mji Ifakara limeridhia na kupitisha Rasimu ya mpango na Bajeti kwa Mwaka wa Fedha 2024/2025 kupitia kikao maalum cha Baraza la Bajet kilichofanyika Februari 13,2024 yenye Makadirio ya Mapato na Matumizi ya Shilingi Bilioni 50.86(Tsh.50,867,773,610.00).

Kati ya fedha hizo Tsh.10,016,886,100.00 ni kwaajili ya Ruzuku ya Miradi ya Maendeleo, Tsh.32,910,590,000.00 ni Mishahara na Tsh.1,352,863,000.00 ni Ruzuku ya Matumizi ya kawaida.


Aidha Tsh.6,587,394,510/= zinatarajiwa kukusanywa toka katika vyanzo vya Mapato ya ndani na kati ya Fedha hizo Tsh.1,969,106,760/= zinatarajiwa kutumika kutekeleza Miradi ya Maendeleo, Tsh.2,953,660,140/= ni za matumizi ya kawaida na Tsh.1,664,627,610/= ni Mapato fungwa.

Jumla ya vipaumbele  vimebainishwa katika Bajeti ya Mwaka wa Fedha 2024/2025 ambavyo ni Elimu, Afya,Kilimo Mifugo na uvuvi,Utawala bora,Michezo, Miradi ya kimkakati,TEHAMA na Mawasiliano.

Bajeti hii ya Mwaka wa Fedha 2024/2025 imepanda kutoka Shilingi Bilioni 39.3 ya Mwaka 2023/2024 hadi kufikia Shilingi Bilioni 50.8 ambayo ni sawa na ongezeko la asilimia 15

Latest Announcements

  • TANGAZO LA MAOMBI YA MPIGA KURA KUPIGA KURA YA RAIS WA JAMHURI YA MUUNGANO WA TANZANIA KATIKA KITUO TOFAUTI NA KITUO ALICHOJIANDIKISHA

    read more
  • TANGAZO LA ULIPAJI WA ADA NA USHURU KWA WANANCHI, WAFANYABIASHARA NA TAASISI MBALIMBALI IFAKARA MJI

    read more
  • View More

Habari Mpya

  • MAANDALIZI YA MPANGO MKAKATI WA HALMASHAURI KWA MWAKA 2026/27 HADI 20230/31
  • MKURUGENZI WA HALMASHAURI YA MJI IFAKARA, TIMU YA MENEJIMENTI WAPONGEZWA
  • MHESHIMIWA KASSIM FAYA NAKAPALA ASHINDA NAFASI YA MWENYEKITI WA HALMASHAURI YA MJI IFAKARA
  • MHESHIMIWA KASSIM FAYA NAKAPALA ASHINDA NAFASI YA MWENYEKITI WA HALMASHAURI YA MJI IFAKARA
  • KATIBU WA CHAMA CHA MAPINDUZI WILAYA YA KILOMBERO AWATAKA MADIWANI KUHAKIKISHA KERO ZA WANANCHI ZINATATULIWA
  • More

Mawasiliano Yetu

Ofisi ya Rais Tawala za Mikoa na Serikali za Mitaa Halmashauri ya Mji Ifakara
Kibaoni - Bomani
Sanduku la Barua: 433 Ifakara
Simu ya Mezani: +255 (0)23 - 2934212
Barua Pepe: td@ifakaratc.go.tz / info@ifakaratc.go.tz
Simu ya Mkononi: -

Kurasa za Haraka

  • CHF
  • Ramani ya halmashauri ya mji wa Ifakara
  • MATOKEO KIDATO CHA NNE 2024
  • BOFYA HAPA KUOMBA KITAMBULISHO CHA WAJASILIAMALI WADOGO
  • MATOKEO YA KIDATO CHA PILI 2024
  • MATOKEO YA KIDATO CHA SITA 2024

Kurasa Mfanano

  • Tovuti kuu ya serikali
  • Wizara ya Tamisemi
  • Wizara ya utumishi wa uma
  • Tovuti ya mkoa wa Morogoro
  • Tovuti ya Ajira Tanzania

Mitandao ya Kijamii

  • Like us on Facebook
  • Follow us on Twitter
  • Find us on Youtube
  • Follow us on Instagram

Copyright ©2016 GWF . All rights reserved.

  • Kanusho
  • Sera ya Uhifadhi
  • Maswali ya mara kwa mara
  • Ramani