• Nukuu ya Ukaribisho
  • Maswali ya mara kwa mara
  • Mawasiliano Yetu
Ifakara Town Council

Jamhuri ya Muungano wa Tanzania
Ofisi ya Rais Tawala za Mikoa na Serikali za Mitaa
Halmashauri ya Mji Ifakara

  • Mwanzo
  • Kuhusu Sisi
    • Dira na Dhamira
    • Historia
    • Taswira
  • Wilaya
    • Babati
    • Mbulu
    • Hanang
    • Kiteto
    • Simanjiro
  • Idara
    • Rasilimali Watu
    • Planning and Management
    • Fedha na Biashara
    • Ukaguzi wa Ndani
    • Manunuzi & Ugavi
    • Uchumi na Uzalishaji
    • Miundombinu
    • Serikali za Mitaa
    • Ustawi wa Jamii
    • TEHAMA
    • Afya
    • Elimu
    • Maji
  • Machapisho
    • Fomu
    • Miongozo
    • Hatua
    • Ripoti
  • Uwekezaji
    • Investment One
    • Investment Two
    • Investment Three
    • Investment Four
    • Investment Five
  • Kituo cha Habari
    • Habari
    • Matangazo
    • Kapu
    • Utamaduni,Sanaa & Michezo
    • Hotuba
    • Taarifa kwa Vyombo vya Habari
    • Videos

MKUTANO WA KWANZA WA BARAZA LA MADIWANI HALMASHAURI YA MJI IFAKARA

Posted on: December 4th, 2025

Mkutano wa Kwanza wa Baraza la Madiwani Halmashauri ya Mji Ifakara umefanyika  tarehe 4 Disemba 2025 katika Ukumbi wa Mikutano wa Mlimba uliopo Halmashauri ya Mji Ifakara.Katika tukio hilo Waheshimiwa  Madiwani Wateule 26 walikula Kiapo cha Utii na Uadilifu mbele ya Mheshimiwa Hakimu Mkazi Mahakama ya Wilaya ya Kilombero Bestina Saning'o na Tamko la Kimaandishi kwa Mkurugenzi wa Halmashauri ya Mji Ifakara Bi. Pilly Kitwana .

Aidha Madiwani walisaini Fomu ya Ahadi ya Uadilifu kwa Viongozi wa Umma mbele ya Kamishna wa Maadili.

Katika Baraza hilo Wajumbe walimchagua Mwenyekiti wa Halmashauri ya Mji Ifakara Mhe . Kassim Faya Nakapala kwa kura za ndiyo 21 katik ya kura 27 za Wajumbe zilizopigwa na kumchagua Mhe. Andrew Matajiri kuwa Makamu Mwenyekiti wa Halmashauri ya Mji Ifakara kwa kupigiwa kura 21 za ndiyo kati ya Kura Halali 27 ambapo Hakuna Kura iliyoharibika.

Aidha Kamati za Kudumu za Halmashauri ya Mji Ifakara ziliundwa pamoja na kupitisha Ratiba za Vikao pamoja na kupokea taarifa ya Mkurugenzi wa Halmashauri ya Mji Ifakara Bi. Pilly Kitwana kuhusu utekelezaji wa Shughuli za Halmashauri kipindi ambacho Baraza la Madiwani lilivunjwa.

Latest Announcements

  • TANGAZO LA MAOMBI YA MPIGA KURA KUPIGA KURA YA RAIS WA JAMHURI YA MUUNGANO WA TANZANIA KATIKA KITUO TOFAUTI NA KITUO ALICHOJIANDIKISHA

    read more
  • TANGAZO LA ULIPAJI WA ADA NA USHURU KWA WANANCHI, WAFANYABIASHARA NA TAASISI MBALIMBALI IFAKARA MJI

    read more
  • View More

Habari Mpya

  • MAANDALIZI YA MPANGO MKAKATI WA HALMASHAURI KWA MWAKA 2026/27 HADI 20230/31
  • MKURUGENZI WA HALMASHAURI YA MJI IFAKARA, TIMU YA MENEJIMENTI WAPONGEZWA
  • MHESHIMIWA KASSIM FAYA NAKAPALA ASHINDA NAFASI YA MWENYEKITI WA HALMASHAURI YA MJI IFAKARA
  • MHESHIMIWA KASSIM FAYA NAKAPALA ASHINDA NAFASI YA MWENYEKITI WA HALMASHAURI YA MJI IFAKARA
  • KATIBU WA CHAMA CHA MAPINDUZI WILAYA YA KILOMBERO AWATAKA MADIWANI KUHAKIKISHA KERO ZA WANANCHI ZINATATULIWA
  • More

Mawasiliano Yetu

Ofisi ya Rais Tawala za Mikoa na Serikali za Mitaa Halmashauri ya Mji Ifakara
Kibaoni - Bomani
Sanduku la Barua: 433 Ifakara
Simu ya Mezani: +255 (0)23 - 2934212
Barua Pepe: td@ifakaratc.go.tz / info@ifakaratc.go.tz
Simu ya Mkononi: -

Kurasa za Haraka

  • CHF
  • Ramani ya halmashauri ya mji wa Ifakara
  • MATOKEO KIDATO CHA NNE 2024
  • BOFYA HAPA KUOMBA KITAMBULISHO CHA WAJASILIAMALI WADOGO
  • MATOKEO YA KIDATO CHA PILI 2024
  • MATOKEO YA KIDATO CHA SITA 2024

Kurasa Mfanano

  • Tovuti kuu ya serikali
  • Wizara ya Tamisemi
  • Wizara ya utumishi wa uma
  • Tovuti ya mkoa wa Morogoro
  • Tovuti ya Ajira Tanzania

Mitandao ya Kijamii

  • Like us on Facebook
  • Follow us on Twitter
  • Find us on Youtube
  • Follow us on Instagram

Copyright ©2016 GWF . All rights reserved.

  • Kanusho
  • Sera ya Uhifadhi
  • Maswali ya mara kwa mara
  • Ramani