• Nukuu ya Ukaribisho
  • Maswali ya mara kwa mara
  • Mawasiliano Yetu
Ifakara Town Council

Jamhuri ya Muungano wa Tanzania
Ofisi ya Rais Tawala za Mikoa na Serikali za Mitaa
Halmashauri ya Mji Ifakara

  • Mwanzo
  • Kuhusu Sisi
    • Dira na Dhamira
    • Historia
    • Taswira
  • Wilaya
    • Babati
    • Mbulu
    • Hanang
    • Kiteto
    • Simanjiro
  • Idara
    • Rasilimali Watu
    • Planning and Management
    • Fedha na Biashara
    • Ukaguzi wa Ndani
    • Manunuzi & Ugavi
    • Uchumi na Uzalishaji
    • Miundombinu
    • Serikali za Mitaa
    • Ustawi wa Jamii
    • TEHAMA
    • Afya
    • Elimu
    • Maji
  • Machapisho
    • Fomu
    • Miongozo
    • Hatua
    • Ripoti
  • Uwekezaji
    • Investment One
    • Investment Two
    • Investment Three
    • Investment Four
    • Investment Five
  • Kituo cha Habari
    • Habari
    • Matangazo
    • Kapu
    • Utamaduni,Sanaa & Michezo
    • Hotuba
    • Taarifa kwa Vyombo vya Habari
    • Videos

MAFUNZO ELEKEZI KWA WATENDAJI WA KATA,VIJIJI NA MITAA

Posted on: January 6th, 2025

Watendaji wa Kata,Vijiji na Mitaa wa Halmashauri ya Mji Ifakara, Halmashauri ya Wilaya ya Mlimba pamoja na Ulanga wamepatiwa mafunzo ya maadili na utaratibu wa kazi za utumishi wa umma.

Mafunzo hayo walipatiwa na wawezeshaji kutoka Chuo cha Serikali za Mitaa Hombolo cha Jijini Dodoma,leo Januari 6/2025 katika Halmashauri ya Mji Ifakara.

Afisa Utumishi Mwandamizi kutoka Chuo cha Serikali za Mitaa Hombolo Bw. Beyond Samwel Madege aliwataka watendaji hao kuheshimu sheria,utaratibu pamoja na kutunza Siri za Ofisi ikiwemo kufuata maadili ya Utumishi wa Umma.

"Watendaji mnatakiwa kufuata taratibu za Utumishi wa Umma na kuwa waadilifu kazini pia mkaepuke vitendo vyenye kuchafua sifa ya Utumishi,"alisema Madege.

Hata hivyo Mkuu wa Wilaya ya Kilombero Mhe.Wakili Dunstan Kyobya amewataka watendaji hao kujenga Mahusiano mazuri baina yao na wananchi ili kuweza kutoa huduma bora na kuleta maendeleo katika jamii Kwa pamoja.

Dc Kyobya aliongeza kuwa anahitaji Watendaji hao kwenda kusimamia mapato na Miradi mbalimbali ya maendeleo katika Kata na Mitaa yao pia wakahakikishe wale wote wanaofanya kazi zao ndani ya mita 60 usawa wa vyanzo vya maji kuacha kufanya shughuli zote za kijamii katika eneo hilo.






Latest Announcements

  • TANGAZO LA MAOMBI YA MPIGA KURA KUPIGA KURA YA RAIS WA JAMHURI YA MUUNGANO WA TANZANIA KATIKA KITUO TOFAUTI NA KITUO ALICHOJIANDIKISHA

    read more
  • TANGAZO LA ULIPAJI WA ADA NA USHURU KWA WANANCHI, WAFANYABIASHARA NA TAASISI MBALIMBALI IFAKARA MJI

    read more
  • View More

Habari Mpya

  • MAANDALIZI YA MPANGO MKAKATI WA HALMASHAURI KWA MWAKA 2026/27 HADI 20230/31
  • MKURUGENZI WA HALMASHAURI YA MJI IFAKARA, TIMU YA MENEJIMENTI WAPONGEZWA
  • MHESHIMIWA KASSIM FAYA NAKAPALA ASHINDA NAFASI YA MWENYEKITI WA HALMASHAURI YA MJI IFAKARA
  • MHESHIMIWA KASSIM FAYA NAKAPALA ASHINDA NAFASI YA MWENYEKITI WA HALMASHAURI YA MJI IFAKARA
  • KATIBU WA CHAMA CHA MAPINDUZI WILAYA YA KILOMBERO AWATAKA MADIWANI KUHAKIKISHA KERO ZA WANANCHI ZINATATULIWA
  • More

Mawasiliano Yetu

Ofisi ya Rais Tawala za Mikoa na Serikali za Mitaa Halmashauri ya Mji Ifakara
Kibaoni - Bomani
Sanduku la Barua: 433 Ifakara
Simu ya Mezani: +255 (0)23 - 2934212
Barua Pepe: td@ifakaratc.go.tz / info@ifakaratc.go.tz
Simu ya Mkononi: -

Kurasa za Haraka

  • CHF
  • Ramani ya halmashauri ya mji wa Ifakara
  • MATOKEO KIDATO CHA NNE 2024
  • BOFYA HAPA KUOMBA KITAMBULISHO CHA WAJASILIAMALI WADOGO
  • MATOKEO YA KIDATO CHA PILI 2024
  • MATOKEO YA KIDATO CHA SITA 2024

Kurasa Mfanano

  • Tovuti kuu ya serikali
  • Wizara ya Tamisemi
  • Wizara ya utumishi wa uma
  • Tovuti ya mkoa wa Morogoro
  • Tovuti ya Ajira Tanzania

Mitandao ya Kijamii

  • Like us on Facebook
  • Follow us on Twitter
  • Find us on Youtube
  • Follow us on Instagram

Copyright ©2016 GWF . All rights reserved.

  • Kanusho
  • Sera ya Uhifadhi
  • Maswali ya mara kwa mara
  • Ramani