• Nukuu ya Ukaribisho
  • Maswali ya mara kwa mara
  • Mawasiliano Yetu
Ifakara Town Council

Jamhuri ya Muungano wa Tanzania
Ofisi ya Rais Tawala za Mikoa na Serikali za Mitaa
Halmashauri ya Mji Ifakara

  • Mwanzo
  • Kuhusu Sisi
    • Dira na Dhamira
    • Historia
    • Taswira
  • Wilaya
    • Babati
    • Mbulu
    • Hanang
    • Kiteto
    • Simanjiro
  • Idara
    • Rasilimali Watu
    • Planning and Management
    • Fedha na Biashara
    • Ukaguzi wa Ndani
    • Manunuzi & Ugavi
    • Uchumi na Uzalishaji
    • Miundombinu
    • Serikali za Mitaa
    • Ustawi wa Jamii
    • TEHAMA
    • Afya
    • Elimu
    • Maji
  • Machapisho
    • Fomu
    • Miongozo
    • Hatua
    • Ripoti
  • Uwekezaji
    • Investment One
    • Investment Two
    • Investment Three
    • Investment Four
    • Investment Five
  • Kituo cha Habari
    • Habari
    • Matangazo
    • Kapu
    • Utamaduni,Sanaa & Michezo
    • Hotuba
    • Taarifa kwa Vyombo vya Habari
    • Videos

MADIWANI WILAYA YA KILOMBERO WAPATIWA MAFUNZO YA KUWAJENGEA UWEZO

Posted on: January 5th, 2026

MADIWANI WA HALMASHAURI YA MJI IFAKARA NA HALMASHAURI YA  WILAYA YA MLIMBA  WAPATIWA MAFUNZO YA  KUWAJENGEA UWEZO


Na: Nuru Mangalili- Ifakara TC,Habari


Waheshimiwa Madiwani wa Halmashauri ya Mji Ifakara na  Halmashauri ya Wilaya ya  Mlimba wamepatiwa Mafunzo katika kuwawezesha kutekeleza Majukumu yao kwa ufanisi  na  Uendeshaji wa Halmashauri zao.


Mafunzo hayo yanatolewa kwa Madiwani waliochaguliwa katika Uchaguzi Mkuu wa tarehe 29 Oktoba 2025 yanalenga kuwawesha kutekeleza Majukumu yao kwa Ufanisi hususani  kwenye uendeshaji wa shughuli za Maendeleo na utoaji wa huduma kwa Wananchi.


Mafunzo hayo ya Siku tatu  yameanza Leo tarehe 5 Januari 2026 na yanatarajiwa Kufikia tamati tarehe 7 Januari  2026 katika Ukumbi wa Halmashauri ya Mlimba uliopo Halmashauri ya Mji Ifakara.


Mada mbalimbali  zinafundishwa katika Mafunzo hayo ikiwemo Uongozi na Utawala Bora,  Sheria za Uendeshaji wa Shughuli za Serikali za Mitaa, Muundo , Majukumu na Madaraka ya Serikali za Mitaa, Uendeshaji wa Vikao na Mikutano katika Mamlaka za Serikali za Mitaa,Mipango Bajeti na Usimamizi wa Miradi ya Maendeleo, Usimamizi na Udhibiti wa Fedha Katika Mamlaka za Serikali za Mitaa, Usimamizi wa Watumishi katika Mamlaka za Serikali za Mitaa, Usimamizi wa Ardhi katika Mamlaka za Serikali za Mitaa,Wajibu ,Majukumu ,Haki na Stahiki za Diwani.

Latest Announcements

  • TANGAZO LA MAOMBI YA MPIGA KURA KUPIGA KURA YA RAIS WA JAMHURI YA MUUNGANO WA TANZANIA KATIKA KITUO TOFAUTI NA KITUO ALICHOJIANDIKISHA

    read more
  • TANGAZO LA ULIPAJI WA ADA NA USHURU KWA WANANCHI, WAFANYABIASHARA NA TAASISI MBALIMBALI IFAKARA MJI

    read more
  • View More

Habari Mpya

  • MKURUGENZI HALMASHAURI YA MJI IFAKARA AKAGUA MWITIKIO WA WANAFUNZI KURIPOTI SHULENI
  • KAMISHNA WA OPERESHENI NA MAFUNZO AKAGUA KITUO KIPYA CHA POLISI KIBAONI ,IFAKARA
  • KAYA MASKINI ZILIZO TAMBULIWA ZAINGIZWA KWENYE MFUMO ILI KUWEZESHA SERIKALI KUTOA HUDUMA KWA HARAKA NA KWA UFANISI
  • HALMASHAURI YA MJI IFAKARA YAENDELEA NA UTAMBUZI WA KAYA MASKINI
  • MADIWANI WILAYA YA KILOMBERO WATAKIWA KUIBUA NA KUSIMAMIA MIRADI YA MAENDELEO KATIKA KATA
  • More

Mawasiliano Yetu

Ofisi ya Rais Tawala za Mikoa na Serikali za Mitaa Halmashauri ya Mji Ifakara
Kibaoni - Bomani
Sanduku la Barua: 433 Ifakara
Simu ya Mezani: +255 (0)23 - 2934212
Barua Pepe: td@ifakaratc.go.tz / info@ifakaratc.go.tz
Simu ya Mkononi: -

Kurasa za Haraka

  • CHF
  • Ramani ya halmashauri ya mji wa Ifakara
  • MATOKEO KIDATO CHA NNE 2024
  • BOFYA HAPA KUOMBA KITAMBULISHO CHA WAJASILIAMALI WADOGO
  • MATOKEO YA KIDATO CHA PILI 2024
  • MATOKEO YA KIDATO CHA SITA 2024

Kurasa Mfanano

  • Tovuti kuu ya serikali
  • Wizara ya Tamisemi
  • Wizara ya utumishi wa uma
  • Tovuti ya mkoa wa Morogoro
  • Tovuti ya Ajira Tanzania

Mitandao ya Kijamii

  • Like us on Facebook
  • Follow us on Twitter
  • Find us on Youtube
  • Follow us on Instagram

Copyright ©2016 GWF . All rights reserved.

  • Kanusho
  • Sera ya Uhifadhi
  • Maswali ya mara kwa mara
  • Ramani