• Nukuu ya Ukaribisho
  • Maswali ya mara kwa mara
  • Mawasiliano Yetu
Ifakara Town Council

Jamhuri ya Muungano wa Tanzania
Ofisi ya Rais Tawala za Mikoa na Serikali za Mitaa
Halmashauri ya Mji Ifakara

  • Mwanzo
  • Kuhusu Sisi
    • Dira na Dhamira
    • Historia
    • Taswira
  • Wilaya
    • Babati
    • Mbulu
    • Hanang
    • Kiteto
    • Simanjiro
  • Idara
    • Rasilimali Watu
    • Planning and Management
    • Fedha na Biashara
    • Ukaguzi wa Ndani
    • Manunuzi & Ugavi
    • Uchumi na Uzalishaji
    • Miundombinu
    • Serikali za Mitaa
    • Ustawi wa Jamii
    • TEHAMA
    • Afya
    • Elimu
    • Maji
  • Machapisho
    • Fomu
    • Miongozo
    • Hatua
    • Ripoti
  • Uwekezaji
    • Investment One
    • Investment Two
    • Investment Three
    • Investment Four
    • Investment Five
  • Kituo cha Habari
    • Habari
    • Matangazo
    • Kapu
    • Utamaduni,Sanaa & Michezo
    • Hotuba
    • Taarifa kwa Vyombo vya Habari
    • Videos

Biteko awatoa hofu Watanzania kuhusu Umeme

Posted on: April 1st, 2024

Naibu Waziri Mkuu na Waziri wa Nishati,Mhe.Dkt Doto Biteko, amefanya Ziara katika Kituo cha kuzalisha umeme Kidatu Ifakara Wilayani Kilombero leo Aprili 1,2024.

Ziara hiyo ni kutokana na kukatika kwa Umeme Nchi nzima kutokana na kuzima kwa Gridi ya Taifa hali ambayo imesababishwa na hitilafu katika Mitambo ya umeme ikiwa chanzo chake ni Mvua Kubwa zinazoendelea.

Hata hivyo Dkt.Biteko amewataka Wananchi kutokuwa na wasiwasi wa kuendelea kwa hali hiyo kwani Matengenezo ya urekebishaji wa Mitambo yanaendelea."Hali hii ni hitilafu katika Mitambo ya umeme na TANESCO wanashughulikia kwa uharaka na umakini ili kuwaondolea adha Watanzania, niwahakikishie Watanzania wenzangu kuwa kwa sasa hakuna Mgao wa umeme" Amesema  Dkt.Biteko.

Sambamba na hayo Biteko amewataka Wataalam wa TANESCO kufanya marekebisho haraka iwezekenavyo kufanya marekebisho haraka iwezekenavyo mara tu hitilafu ya umeme inapojitokeza ili kuepusha hasara kwa Watanzania hasa ambao shughuli zao za Kiuchumi zinategea Nishati hiyo.

Akimuwakilisha Mkuu wa Mkoa wa Morogoro Mhe.Kighoma Malima, Mkuu wa Wilaya ya Kilombero Mhe.Dunstan Kyobya Ameahidi kusimamia Miundombinu ya kituo hicho ili kuepusha adha ya aina yoyote inayohusu umeme kwa Wananchi.

Latest Announcements

  • TANGAZO LA MAOMBI YA MPIGA KURA KUPIGA KURA YA RAIS WA JAMHURI YA MUUNGANO WA TANZANIA KATIKA KITUO TOFAUTI NA KITUO ALICHOJIANDIKISHA

    read more
  • TANGAZO LA ULIPAJI WA ADA NA USHURU KWA WANANCHI, WAFANYABIASHARA NA TAASISI MBALIMBALI IFAKARA MJI

    read more
  • View More

Habari Mpya

  • MAANDALIZI YA MPANGO MKAKATI WA HALMASHAURI KWA MWAKA 2026/27 HADI 20230/31
  • MKURUGENZI WA HALMASHAURI YA MJI IFAKARA, TIMU YA MENEJIMENTI WAPONGEZWA
  • MHESHIMIWA KASSIM FAYA NAKAPALA ASHINDA NAFASI YA MWENYEKITI WA HALMASHAURI YA MJI IFAKARA
  • MHESHIMIWA KASSIM FAYA NAKAPALA ASHINDA NAFASI YA MWENYEKITI WA HALMASHAURI YA MJI IFAKARA
  • KATIBU WA CHAMA CHA MAPINDUZI WILAYA YA KILOMBERO AWATAKA MADIWANI KUHAKIKISHA KERO ZA WANANCHI ZINATATULIWA
  • More

Mawasiliano Yetu

Ofisi ya Rais Tawala za Mikoa na Serikali za Mitaa Halmashauri ya Mji Ifakara
Kibaoni - Bomani
Sanduku la Barua: 433 Ifakara
Simu ya Mezani: +255 (0)23 - 2934212
Barua Pepe: td@ifakaratc.go.tz / info@ifakaratc.go.tz
Simu ya Mkononi: -

Kurasa za Haraka

  • CHF
  • Ramani ya halmashauri ya mji wa Ifakara
  • MATOKEO KIDATO CHA NNE 2024
  • BOFYA HAPA KUOMBA KITAMBULISHO CHA WAJASILIAMALI WADOGO
  • MATOKEO YA KIDATO CHA PILI 2024
  • MATOKEO YA KIDATO CHA SITA 2024

Kurasa Mfanano

  • Tovuti kuu ya serikali
  • Wizara ya Tamisemi
  • Wizara ya utumishi wa uma
  • Tovuti ya mkoa wa Morogoro
  • Tovuti ya Ajira Tanzania

Mitandao ya Kijamii

  • Like us on Facebook
  • Follow us on Twitter
  • Find us on Youtube
  • Follow us on Instagram

Copyright ©2016 GWF . All rights reserved.

  • Kanusho
  • Sera ya Uhifadhi
  • Maswali ya mara kwa mara
  • Ramani