Mkurugenzi wa Halmashauri ya Mji wa Ifakara Bi. Pili Ramadhani Kitwana aliteuliwa na Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania kuwa Mkurugenzi wa Mji Ifakara Tarehe 24/01/2025 akiwa ni Mkurugenzi wa sita tangu Mamlaka ya Mji Ifakara ilipopata hadhi ya Halmashauri ya Mji.
Kibaoni - Bomani
Sanduku la Barua: 433 Ifakara
Simu ya Mezani: +255 (0)23 - 2934212
Simu ya Mkononi: -
Barua Pepe: td@ifakaratc.go.tz / info@ifakaratc.go.tz
Haki Miliki @2018 Halmashauri ya Mji wa Ifakara . Haki zote zimehifadhiwa