• Mawasiliano Yetu |
    • Maswali ya mara kwa mara |
    • Barua pepe za Watumishi |
    • Malalamiko |
Ifakara Town Council
Ifakara Town Council

Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Ofisi ya Rais Tawala za Mikoa na Serikali za Mitaa Halmashauri ya Mji Ifakara

  • Mwanzo
  • Kuhusu Sisi
    • Wasifu wa Halmashauri
    • Dira na Dhamira
    • Maadili ya msingi
    • Mikakati
  • Utawala
    • Muundo wa Halmashauri
    • Idara
      • Ujenzi
      • Utawala na Rasilimali Watu
      • Fedha na Biashara
      • Mipango,Takwimu & Ufuatiliaji
      • Elimu Msingi
      • Elimu Sekondari
      • Afya
      • Usafi na Mazingira
      • Kilimo,Ushirika & Umwagiliaji
      • Mifugo na Uvuvi
      • Maji
      • Maendeleo ya Jamii
      • Ardhi na Maliasili
    • Vitengo
      • Manunuzi & Ugavi
      • Sheria
      • TEHAMA
      • Uchaguzi
      • Ufugaji Nyuki
      • Mkaguzi wa Ndani
  • Fursa za Uwekezaji
    • Maeneo ya Uwekezaji
  • Huduma
    • Ukodishaji wa Mitambo
    • Upimaji,Usanifu wa Viwanja,Majengo &Mashamba
  • Madiwani
    • Orodha ya waheshimiwa Madiwani
    • Kamati za kudumu
    • Ratiba za kudumu
    • Kata
      • Mbasa
      • Katindiuka
      • Mlabani
      • Lumemo
      • Kibaoni
      • Viwanja sitini
      • Ifakara
      • Michenga
      • Lipangalala
  • Miradi
    • Miradi inayoendelea
    • Miradi Iliyokamilika
    • Itakayotekelezwa
  • Machapisho
    • CHF iliyoboreshwa
    • Miongozo
    • Ripoti
    • Kanuni
    • Mkataba wa Huduma kwa Mteja
  • Kituo cha Habari
    • Taarifa kwa Vyombo vya Habari
    • Hotuba
    • Maktaba ya Video
    • Maktaba ya Picha
  • Mifumo

WATUMISHI WA HALMASHAURI YA MJI IFAKARA WATAKIWA KUFANYA KAZI KWA BIDII NA WELEDI

Posted on: January 23rd, 2025

Mkurugenzi wa Halmashauri ya Mji Ifakara Bi. Zahara Michuzi amewataka Watumishi wa Halmashauri ya Mji Ifakara kufanya Kazi kwa weledi , maarifa na  kuzingatia kanuni, Sheria ,maadili na miongozo ya Utumishi wa Umma.


Hayo ameyasema leo Alhamisi Januari 23,2025  katika Kikao cha Wafanyakazi wote kilichofanyika katika Ukumbi wa Mikutano uliopo Halmashauri ya Mji Ifakara.


Bi. Zahara alisisitiza umuhimu wa Kila mfanyakazi kutoa huduma Bora katika eneo lake la Kazi  na kuhakikisha kila mmoja anahakikisha  Malengo ya Halmashauri yanafikiwa, huku akiwataka Wafanyakazi kutoa huduma kwa Usahihi , uharaka na kwa ufanisi.


" Kila mtu akawajibike katika eneo lake la kazi, tufanye kazi kwa ushirikiano mkubwa ili kuboresha utendaji kazi katika kila Idara". Alieleza Bi. Zahara na kuongeza

" Tuhakikishe tunatoa  huduma bora kwa Wananchi ,tuwasikilize na  tukatatue kero zao ili jamii yetu izidi kustawi ". Alimaliza Bi. Zahara


Awali Mkuu wa Idara ya Utawala na Usimamizi wa Rasilimaliwatu wa Halmashauri ya Mji Ifakara Bw. Rashidi Semngoya aliwasisitiza  watumishi wote kuzingatia kanuni, miongozo, Sheria  na taratibu za Utumishi wa Umma katika kutekeleza majukumu yao ya kila siku.


Aidha ,Watumishi hao walikula kiapo cha Utii, Uadilifu  na kutunza Siri.


Nae mmoja wa Watumishi hao Bw.David Kapanga ambaye ni Mkaguzi wa ndani wa  Halmashauri ya Mji Ifakara aliahidi kutekeleza yale yote waliyoambiwa katika kikao hicho na kuahidi kuishi katika kiapo walichoapa na  kuzingatia miongozo yote ya Utumishi wa Umma katika kutimiza Malengo ya Halmashauri ya Mji Ifakara.








Matangazo

  • KUITWA USAILI BVR TARAFA YA MANG'ULA February 07, 2025
  • KUITWA USAILI BVR TARAFA YA IFAKARA February 07, 2025
  • KUITWA USAILI BVR TARAFA YA KIDATU February 07, 2025
  • TANGAZO KWA WATUMISHI WOTE HALMASHAURI YA MJI IFAKARA November 01, 2022
  • Ona yote

Habari Mpya

  • MKUTANO WA TRA NA WAFANYABIASHARA WILAYA YA KILOMBERO

    March 05, 2025
  • HAMASA YATOLEWA KWA JAMII YA WAFUGAJI KUSHIRIKI MAADHIMISHO SIKU YA WANAWAKE DUNIANI PAMOJA NA UBORESHAJI WA DAFTARI LA KUDUMU LA WAPIGA KURA IFAKARA TC

    February 27, 2025
  • MAFUNZO KWA WATENDAJI NGAZI YA JIMBO JUU YA UBORESHAJI WA DAFTARI LA KUDUMU LA WAPIGA KURA

    February 22, 2025
  • UBORESHAJI WA DAFTARI LA KUDUMU LA WAPIGA KURA JIMBO LA KILOMBERO KUANZA TAREHE 1 MACHI, 2025 HADI TAREHE 7 MACHI 2025

    February 24, 2025
  • Ona yote

Video

Shangwe la Mkesha wa Mwenge 2025 Uwanja wa CCM Mkamba Kidatu Msanii wa Muziki MC Hamza akiimba na wanaIfakara, Tarehe 17-04-2025.
More Videos

Kurasa za Haraka

  • MATOKEO KIDATO CHA NNE 2024
  • MATOKEO YA KIDATO CHA SITA 2024
  • MATOKEO YA KIDATO CHA PILI 2024
  • Ramani ya halmashauri ya mji wa Ifakara
  • BOFYA HAPA KUOMBA KITAMBULISHO CHA WAJASILIAMALI WADOGO
  • CHF

Kurasa Mfanano

  • Tovuti kuu ya serikali
  • Wizara ya Tamisemi
  • Wizara ya utumishi wa uma
  • Tovuti ya mkoa wa Morogoro
  • Tovuti ya Ajira Tanzania

World visitors tracker

world map hits counter

Visitors Counter

free HitCounter

Location Map

Mawasiliano Yetu

    Kibaoni - Bomani

    Sanduku la Barua: 433 Ifakara

    Simu ya Mezani: +255 (0)23 - 2934212

    Simu ya Mkononi: -

    Barua Pepe: td@ifakaratc.go.tz / info@ifakaratc.go.tz

Other Contacts

   

    • Sera ya Uhifadhi
    • Kanusho
    • Ramani
    • Huduma

Haki Miliki @2018 Halmashauri ya Mji wa Ifakara . Haki zote zimehifadhiwa