Mh.Mkuu wa Wilaya ya Kilombero Hanji Godigodi (kulia) pamoja na Mkurugenzi wa Halmashauri ya Mji Ifakara Ndg. Lena Nkaya (kushoto) akiwa katika uhamasishaji wa uchangiaji wa nguvu na mali katika ujenzi wa miradi ya maendeleo akiwa katika kijiji cha Msolwa Station ameshiriki shughuli mbalimbali za uhamasishaji akizindua ziara yake kuelekea sherehe za miaka sitini (60) ya Uhuru na Hamsini na tisa (59) ya Jamhuri.
Kibaoni - Bomani
Sanduku la Barua: 433 Ifakara
Simu ya Mezani: +255 (0)23 - 2934212
Simu ya Mkononi: 0738 223 543
Barua Pepe: td@ifakaratc.go.tz / info@ifakaratc.go.tz
Haki Miliki @2018 Halmashauri ya Mji wa Ifakara . Haki zote zimehifadhiwa