Mkuu wa wilaya ya Kilombeo Mhe.Wakili Dunstan Kyobya ametembelea miradi ya ujenzi wa Hospitali pamoja na Ofisi za Makao Makuu ya Halmashauri ya Mji Ifakara na kusisitiza usafi pia kukamilisha ujenzi huo kwa wakati.
Haki Miliki @2018 Halmashauri ya Mji wa Ifakara . Haki zote zimehifadhiwa