-
Feb 24
-
Feb 26
-
Feb 19
-
Feb 07
-
Feb 03
-
Feb 02
-
Jan 30
-
Jan 25
Wananchi wa Jimbo la Kilombero wametakiwa kushiriki katika Zoezi la Uboreshaji wa Daftari la Kudumu la Wapiga Kura linalotarajiwa kuanza kuanzia Tarehe 1Machi, 2025 hadi tarehe 7 Machi 2025 katika Kat
read moreWaandishi Wasaidizi na Waendeshaji wa Vifaa vya Bayometriki (BVR) Jimbo la Kilombero Februari 26 ,2025 wamepatiwa Mafunzo kuelekea zoezi hilo linalotarajiwa kufanyika kuanzia 1-7 Machi 202
read moreKamati ya Kudumu ya Bunge ya Viwanda, Biashara, Kilimo na Mifugo, ikiongozwa na Mwenyekiti wake Mhe. Deodatus Philip Mwanyika (Mb), imefanya ziara yake katika Miradi mbalimbali inayopatikana Halmashau
read moreMkuu wa Wilaya ya Kilombero Mhe. Wakili Dunstan Kyobya amesema uwepo wa Kampuni ya Sukari Kilombero uwe chachu ya kuwanufaisha wakulima wa Miwa katika Wilaya hiyo . Hayo ameyasema
read moreMkuu wa Wilaya ya Kilombero Mhe.Wakili Dunstan Kyobya leo februari 3,2025 amezitaka taasisi zote zinazosimamia kesi za madai kutenda haki pia wafanye kazi Kwa weledi,uadilifu pamoja na uwajibika
read moreKufuatia kukithiri Kwa wimbi la utapeli na wizi wa mitandaoni Mamlaka ya Mawasiliano Tanzania (TCRA) imetoa mafunzo Kwa Madiwani,Viongozi wa Serikali za Mitaa,vijiji na Kata wa Halmashauri ya Mji Ifak
read moreMradi huo ulitekelezwa katika Shule nne za Halmashauri ya Mji Ifakara ambazo ni Miembeni, Katindiuka , Kining'ina na Kibaoni ambapo ulianza kutekelezwa mwaka 2018 hadi 2022 na Taasisi ya Afya If
read moreWilaya ya Kilombero Januari 25,2025 imezindua Maadhimisho ya Wiki ya Sheria nchini katika Viwanja vya Mahakama ya Wilaya ya Kilombero iliyopo Halmashauri ya Mji Ifakara . Uzinduzi huo ulitang
read more
Ofisi ya Rais Tawala za Mikoa na Serikali za Mitaa
Halmashauri ya Mji Ifakara
Kibaoni - Bomani
Sanduku la Barua: 433 Ifakara
Simu ya Mezani: +255 (0)23 - 2934212
Barua Pepe: td@ifakaratc.go.tz / info@ifakaratc.go.tz
Simu ya Mkononi: -
Copyright ©2016 GWF . All rights reserved.