• Mawasiliano Yetu |
    • Maswali ya mara kwa mara |
    • Barua pepe za Watumishi |
    • Malalamiko |
Ifakara Town Council
Ifakara Town Council

Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Ofisi ya Rais Tawala za Mikoa na Serikali za Mitaa Halmashauri ya Mji Ifakara

  • Mwanzo
  • Kuhusu Sisi
    • Wasifu wa Halmashauri
    • Dira na Dhamira
    • Maadili ya msingi
    • Mikakati
  • Utawala
    • Muundo wa Halmashauri
    • Idara
      • Ujenzi
      • Utawala na Rasilimali Watu
      • Fedha na Biashara
      • Mipango,Takwimu & Ufuatiliaji
      • Elimu Msingi
      • Elimu Sekondari
      • Afya
      • Usafi na Mazingira
      • Kilimo,Ushirika & Umwagiliaji
      • Mifugo na Uvuvi
      • Maji
      • Maendeleo ya Jamii
      • Ardhi na Maliasili
    • Vitengo
      • Manunuzi & Ugavi
      • Sheria
      • TEHAMA
      • Uchaguzi
      • Ufugaji Nyuki
      • Mkaguzi wa Ndani
  • Fursa za Uwekezaji
    • Maeneo ya Uwekezaji
  • Huduma
    • Ukodishaji wa Mitambo
    • Upimaji,Usanifu wa Viwanja,Majengo &Mashamba
  • Madiwani
    • Orodha ya waheshimiwa Madiwani
    • Kamati za kudumu
    • Ratiba za kudumu
    • Kata
      • Mbasa
      • Katindiuka
      • Mlabani
      • Lumemo
      • Kibaoni
      • Viwanja sitini
      • Ifakara
      • Michenga
      • Lipangalala
  • Miradi
    • Miradi inayoendelea
    • Miradi Iliyokamilika
    • Itakayotekelezwa
  • Machapisho
    • CHF iliyoboreshwa
    • Miongozo
    • Ripoti
    • Kanuni
    • Mkataba wa Huduma kwa Mteja
  • Kituo cha Habari
    • Taarifa kwa Vyombo vya Habari
    • Hotuba
    • Maktaba ya Video
    • Maktaba ya Picha
  • Mifumo

SIKU YA WAVUVI DUNIANI NOVEMBER 21 IFAKARA TOKOMEZA UVUVI HARAMU.

Posted on: November 21st, 2018

Wavuvi wa Halmashauri ya Mji Ifakara watakiwa kulinda Mto Kilombero na Mabwawa yanayopatikana katika Halmashauri yao kwa kupinga Uvuvi haramu na kutoogopa vitisho vya Wavuvi haramu hasa hasa wanaotumia Kokola yaani Nyavu inayovua Samaki Wadogo  Wadogo na kuharibu Mazalia ya Samaki.

Hayo yameelezwa na Diwani wa Kata ya Lipangalala Mh.William Makoti   Alipokua anafungua mkutano wa wavuvi uliyofanyika Kivukoni katika siku ya Wavuvi Duniani ambayo uadhimishwa tarehe 21 mwezi wa 11 kila mwaka .

‘’Ulinzi wa kokola ni sisi wenyewe na tukisema hatutaki uvuvi haramu kutoka moyoni basi uvuvi haramu hautokuwepo, kwani wao ni wachache kuliko sisi na sheria inaturuhusu kulinda mito na mabwa yetu cha muhimu tushirikiane kulipinga jambo hili ili vizazi vyetu vije kunufaika na mto huu’’. Alisisitiza Makoti.

Kwa upande wake Ndg.Masamja Joram ambaye ni Afisa Uvuvi Halmashauri ya Mji Ifakara alianza kwa kufafanua vifungu vya sheria za Uvuvi na kanuni zake ambazo zinatoa muongozo wa namna ambavyo Jamii itahusika katika kusimamia Rasilimali za uvuvi.

‘’Sera ya Uvuvi ya mwaka 1997 inaelekeza namna ambavyo Rasilimali za Uvuvi zinatakiwa zisimamiwe na jamii husika halkazalika sheria ya uvuvi namba 22 ya mwaka 2003 inaelekeza pia namna ambavyo Jamii itahusika katika usimamizi wa Rasilimali za Uvuvi, na  kanuni za mwaka 2009 pia ivyo ivyo zinatoa muongozo wa Jamii kuhusika’’. Alifafanua Masanja.

Baada ya ufafanuzi huo Masanja aliwataka Wavuvi hao kushirikiana na uongozi wa Kata  kuunda Jumuiya Shirikishi ya Wavuvi yaani BMU (Beach Management Unit) kama inavyoelekezwa na sheria ya Uvuvi ya mwaka 2003 kuwa jamii husika isimamie na kulinda Rasilimali za Uvuvi ili kutokomeza Uvuvi haramu.

Kwa upande wa Wavuvi wamekubali jambo hilo na kupanga tarehe ya  mwisho wa kuchukua fomu za kugombea nafasi mbali mbali za uwongozi wa jumuia hiyo ambayo ni tarehe 10/01/2019 na uchaguzi utafanyika tarehe 20/01/2019.

Jukumu la kulinda Rasilimali za Taifa ni la kila Mtanzania hivyo utakapoona uharibifu wa Rasilimali yoyote. Tafadhari toa taarifa kwenye vyombo vya sheria ili kuinusuru Rasilimali hiyo.

Matangazo

  • KUITWA USAILI BVR TARAFA YA MANG'ULA February 07, 2025
  • KUITWA USAILI BVR TARAFA YA IFAKARA February 07, 2025
  • KUITWA USAILI BVR TARAFA YA KIDATU February 07, 2025
  • TANGAZO KWA WATUMISHI WOTE HALMASHAURI YA MJI IFAKARA November 01, 2022
  • Ona yote

Habari Mpya

  • WATUMISHI HALMASHAURI YA MJI IFAKARA NA HALMASHAURI YA WILAYA MLIMBA WAJENGEWA UWEZO JUU YA UTEKELEZAJI WA MFUMO WA USIMAMIZI WA UTENDAJI KAZI KATIKA UTUMISHI WA UMMA (e -UTENDAJI).

    June 26, 2025
  • WATUMISHI HALMASHAURI YA MJI IFAKARA NA HALAMSAHURI YA WILAYA MLIMBA WAJENGEWA UWEZO JUU YA UTEKELEZAJI WA MFUMO WA USIMAMIZI WA UTENDAJI KAZI KATIKA UTUMISHI WA UMMA (e -UTENDAJI).

    June 26, 2025
  • WAKULIMA WA HALMASHAURI YA MJI IFAKARA WAHAKIKISHIWA KUENDELEA KUZALISHA MAZAO NA KUPATA FAIDA ZAIDI KUPITIA MFUMO WA STAKABADHI GHALANI

    June 11, 2025
  • VIZIMBA MAALUM VYA KUTUPA MAKOPO YA VIUWATILIFU VYATAKIWA KUJENGWA KATIKA KATA ZA HALMASHAURI YA MJI IFAKARA.

    June 05, 2025
  • Ona yote

Video

Shangwe la Mkesha wa Mwenge 2025 Uwanja wa CCM Mkamba Kidatu Msanii wa Muziki MC Hamza akiimba na wanaIfakara, Tarehe 17-04-2025.
More Videos

Kurasa za Haraka

  • MATOKEO KIDATO CHA NNE 2024
  • MATOKEO YA KIDATO CHA SITA 2024
  • MATOKEO YA KIDATO CHA PILI 2024
  • Ramani ya halmashauri ya mji wa Ifakara
  • BOFYA HAPA KUOMBA KITAMBULISHO CHA WAJASILIAMALI WADOGO
  • CHF

Kurasa Mfanano

  • Tovuti kuu ya serikali
  • Wizara ya Tamisemi
  • Wizara ya utumishi wa uma
  • Tovuti ya mkoa wa Morogoro
  • Tovuti ya Ajira Tanzania

World visitors tracker

world map hits counter

Visitors Counter

free HitCounter

Location Map

Mawasiliano Yetu

    Kibaoni - Bomani

    Sanduku la Barua: 433 Ifakara

    Simu ya Mezani: +255 (0)23 - 2934212

    Simu ya Mkononi: -

    Barua Pepe: td@ifakaratc.go.tz / info@ifakaratc.go.tz

Other Contacts

   

    • Sera ya Uhifadhi
    • Kanusho
    • Ramani
    • Huduma

Haki Miliki @2018 Halmashauri ya Mji wa Ifakara . Haki zote zimehifadhiwa